meningitis
JF-Expert Member
- Nov 17, 2010
- 8,425
- 4,768
Nimesikia rfa kipindi cha michezo kuwa kanumba amefariki lkn chanzo hawaja sema,
We Bajabiri vp? Mbona umeshangaa sana kuhusu huyo Lulu? Unamjua sana au!...
kanumba ndo nani?
Kama chanzo ni LULU...wasimpe gape huyo mtoto...kata jiua sasa hivi.
mkuu! Hakuna kuomba hapa, kifo chake kama inasemekana, 7bu ni mapenzi, while huyu lulu c mke wake. Mungu wa kweli hana muda wakusikiliza kelele. Infact, tasnia ya filamu ni 1 ya kitengo cha shetani.! Sorry huo ndo ukweli
Nimeona habari alikuwa na lulu, ni lulu yupi huyo? Au ndo huyuhuyu asiyeishiwa skendo? Kama ni yeye basi mapenzi yame mkost
Tusimpangie Mungu cha kufanya the guy never involved God in any way,after death judgement hes tomenting and cursing in the abbys now.Tusikitike hilo
Najaribu kutafakari bado Lulu ana ubavu gani wa kumsukuma Kanumba,nakosa kuelewa na kupata picha!
hahahahahah,
i thought Kale kalulu kalikopgwa makisi ya shingo na KIGOSI