Tanzanian actor Steven Kanumba reported dead

Poleni wafiwa. Leo ndo nimeona picha ya Lulu humu ndani, na watoto wananiuliza Kanumba ndiyo nani? Walipoona picha wakasema wamemuona kwenye matangazo. Am very far from bongo movies na hao celebrities wao sijui. Kwa kumsikia habari zake Kanumba alijitahidi katika tasnia ya filamu Tanzania.

Siseni alale pema peponi sasa, maana maisha ya mtu yanamfuata mara anapokufa kwahiyo yupo pale anapostahili kwa sasa hata tuombe mara ngapi.
Poleni wafiwa kwa majonzi, hasa wazazi na ndugu. Kifo chake kinaonyesha kuwa cha ghafla na utata huu wa chanzo unaongeza huzuni.
 
Usishangae Kanumba anaigiza filamu ya yesu, na kesho akafufuka. Yule ni mburudishaji maarufu vuteni subira mpaka j3 ndio tuamini

RIP mburudishaji
 
'mimi nilikua the greatest yeye ni the Great'RAY ON CLOUDS
 
Alikuwa great kwa wapenda maigizo na mashost wote. Nasikia party zote zimecanceliwa, kisa mashost wote wameenda sinza kwenye msiba.
RIP the Great!
hata wewe ni great kwako...ndio maana unauza nyago kwenye thread yake....kudadadeki
 
Bwana ametwaa na jina la Bwana libarikiwe.Tuliobaki hai tukumbuke mshahara wa dhambi ni mauti.
 
uzuri wa Tanzania bwana..hakuna mochwari za masuperstar, wala viongozi, wala matajiri..wote mochwari yetu ni ile ile..
tutadharauliana sana huku kitaa ila kule tunakutana na hakuna dharau!
REST IN PEACE KANUMBA..WE ARE COMING!!!
Kuna mochwari za ma VIP mkuu...moja ipo mikocheni.
 
Hivi ni source of his death au ni cause of his death unconfirmed? Kina Nyani Ngabu na Dada yangu Sweety Radhia tusaidieni hapo!
 

Hivi ni source of his death au ni cause of his death unconfirmed? Kina Nyani Ngabu na Dada yangu Sweety Radhia tusaidieni hapo!
 
lakini bado taarifa rasmi za mazingira ya kifo chake bado zinachunguzwa,
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…