Poleni wafiwa. Leo ndo nimeona picha ya Lulu humu ndani, na watoto wananiuliza Kanumba ndiyo nani? Walipoona picha wakasema wamemuona kwenye matangazo. Am very far from bongo movies na hao celebrities wao sijui. Kwa kumsikia habari zake Kanumba alijitahidi katika tasnia ya filamu Tanzania.
Siseni alale pema peponi sasa, maana maisha ya mtu yanamfuata mara anapokufa kwahiyo yupo pale anapostahili kwa sasa hata tuombe mara ngapi.
Poleni wafiwa kwa majonzi, hasa wazazi na ndugu. Kifo chake kinaonyesha kuwa cha ghafla na utata huu wa chanzo unaongeza huzuni.
Siseni alale pema peponi sasa, maana maisha ya mtu yanamfuata mara anapokufa kwahiyo yupo pale anapostahili kwa sasa hata tuombe mara ngapi.
Poleni wafiwa kwa majonzi, hasa wazazi na ndugu. Kifo chake kinaonyesha kuwa cha ghafla na utata huu wa chanzo unaongeza huzuni.