Dr Matola PhD
JF-Expert Member
- Oct 18, 2010
- 60,050
- 104,466
Bila kumtaja Mbowe kwa siku huwa unawashwa? ni nani aliyekuuliza watu waliotuma salamu za pole? do you think mnaweka kuondowa attention za watu kwa dhuluma zenu kwa kuudandia msiba huu?Msiba ni sinza vatican. Michango yenu inahitajika sana.
Freeman Mbowe, Rais na Waziri mkuu wote wametuma salam za pole
mungu amlaze mahali pema peponi.
ni kweli mkuu.hata maiti ilivyokuwa inashushwa pale muhimbili ray alikuwa busy kweli kuipiga picha maiti
Umenikumbusha wimbo wa mkenya mmoja alipinga msemo wako kwani hata kama tulijuwa marehemu
....alikuwa mlevi - muweke mahala pema peponi!
....alikuwa mzinzi - muweke pema peponi!
....alikuwa mwivi - muweke pema peponi!
....alikuwa anazama chumvini - mlaze pema peponi!
Jameni hatuwezi kumpangia amuweke wapi! Jina la Bwana lihimidiwe!
BREAKING NEWS LULU AKAMATWA AKIWA UCHI NI KIWEWE KIMEMSHIKA soma zaid blog ya sinta .. PRETTY SINTAH
Kwa sasa siyo wakati muafaka wa kulumbana, cha muhimu kama msiba haujakugusa unaweza kujikalia tu kimya.Bila kumtaja Mbowe kwa siku huwa unawashwa? ni nani aliyekuuliza watu waliotuma salamu za pole? do you think mnaweka kuondowa attention za watu kwa dhuluma zenu kwa kuudandia msiba huu?
Bila kumtaja Mbowe kwa siku huwa unawashwa? ni nani aliyekuuliza watu waliotuma salamu za pole? do you think mnaweka kuondowa attention za watu kwa dhuluma zenu kwa kuudandia msiba huu?
Kama alikuwa hajaOKOKA basi tena RIP doesn't help; SORRY for him.