Edson
JF-Expert Member
- Mar 7, 2009
- 9,933
- 5,394
sijui kama marehemu alikuwa na future na haka kabinti.....alitakiwa kuwa na kifua kipana maana kale kabinti hakana mipaka kila mtu anaweza kujipumzisha nako.......inaonekana ugomvi ulikuwa mkubwa sana maana kabinti nako kamechubuka na kuumia sana.....