Tanzania hatuna ubunifu, Nchi za wenzetu sanaa inaingiza kipato kikubwa sana mfano America, carrebean Jamaica. Sisi tumeng'ang'ana na bia na magari. Soko la filam za kitanzania ni kubwa sana Afrika mashariki na kati. Mfano ziara za akina kanumba kongo DRC palikuwa hapatoshi full eskot. Lakini je ni jitihada gani zimefanywa na serikali katika ku exploit soko hili la film?. Tupotupo tu tumekalia politiki ndo maana uchumi unadorora, shilingi anaporomoka thamani na hakuna ubunifu tena. Wakati America uchumi wao unategemea uuzaji wa huduma ( service industry including sanaa ya music na film ss tunaashangaa tuu Tuamke jamani tuwe wabunifu)