Tanzanian actor Steven Kanumba reported dead

tatizo, chanzo cha kifo ni ngono na mtoto mdogo lulu hivyo hasitaili heshima
 
Kumbe Lulu ni Mmachame?
Nazidi kuwachukia dada zangu wa kimachame..
Kwani wewe anakupenda nani?? Ubaguzi hadi msibani??Magamba yamewaathiri sana hadi ubongoni...
 
Mkuu wa kaya atatia team leo nafikiri kuhani msiba kabla hajapaa zake Malawi
 
Kwa mujibu wa maelezo ya Ndugu yake Kanumba ambaye alikuwepo nyumbani hapo ni kwamba, Kanumba na Lulu walikuwa wakibishiana juu ya simu ya lulu, kwani Lulu alikuwa anaongea na simu na bwana mwingine, kanumba alipotaka kumnyang'anya ndipo walipoanza kusukumana na kanumba akaanguka na kujigonga vibaya!
Lulu kwa sasa anashikiliwa kituo cha polisi!
 
'NASKITIKA SANA NAPOISH BILA MTOTO'
MANENO AMBAYO KANUMBA ALIMWAMBIA TUESDAY KIHANGALA.
Sosi😛lanetbongo on e.a radio
 

kama nilivyowaahidi nitawaletea updates sasa Lulu(hot Lulu)yupo kituoni police
na mahututi kwani anamaumivu na majeraha mengi sana usoni,lulu kapasuliwa pia na Kanumba,hawa watu walikuwa wapenzi wa muda mrefu,chanzo ni simu jamani,kanumba aliona lulu anapigiwa simu za kuitwa sana kwenye madili,sasa jamaa(marehemu Kanumba)akashikwa wivu,duuu mapenzi ni hatarii

SOURCE:PRETTY SINTAH
 
aiseeee.....EATV live wabongo wanapigana kwenye msiba....msela mmojna anasema hakukuja kuuza sura
muigizaji mmoja kawaka hasira eti jamaa anakosea.....
msela anasema yeye sio chizi kwenda pale msibani......
 
Kuangukia kichwa kinavyoshinda kwenye drier(aka heater) ni flagile, hata kama angekuwa amevaa helmeti asingepona!
 
naona wasanii kibao kama kina ray lakini mavazi ni kama wanaact movie nyingine
 
watu wanagombana msibani!? Hii ni ajabu sana!!
 
Kwani hawa wasanii wenzake wanajaribu kuficha nini? Si mtu aliyekuwa eneo la tukio la ashasema aligombana na Lulu?
Sasa hadi kugombana na waombolezaje kisa kuficha ukweli. SO WHAT?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…