Tanzanian actor Steven Kanumba reported dead

Kipimo ni nini?

Alikuja juu ghafla, mara akawa na kampuni, mara akaanza kufyatua movie kila kukicha, mara akanza kuigiza na wanaigeria.....so alikuwa midomoni mwa watu na machoni mwa luninga za watu...!!!
 
huyu jamaa ni mgeni nini? mbona anachanganya mkaa na mchele? ndugu tunaomba uulize wenyeji njia za kwenda unakotaka kufikaa! this is siasa forum bana.
 
OMG!!
He died because of that Bitch.....!!!

Baada ya kutukana nipe tofauti za utu kati ya Kanumba na Lulu!: tafakari msemo huu:" show me your friends so i tell who you are".
 
da yan kuna watu wana akil za ajabu hv kwel watu wanaomboleza huyu analeta masihala du shame up on u
 
Ndg wafiwa wote poleni kwa msiba wa kipenzi chetu Kanumba,najua ni pengo ambalo halitazibika kamwe,bcoz hatotokea Kanumba mwingine,Juma atabaki kua Juma,Ray atabaki kua Ray na Mtitu atabaki kua Mtitu.
Ila wanadamu tumeghafrika sana juu ya hii dunia,tumejisahau na kuona kila kitu ni Duniani,tumeichana Akhera na kuipamba Dunia,hii imepelekea mpaka sasa tunaogopa kufa,maana ukifa basi ujue huko unakoenda baada ya duniani hukujenga japo kibanda cha nyasi kama kile cha"hayati mzee MUNDU"ili ufikie,sasa utaenda kuishi chini ya mti?
Jee nani atakua tayari kwenda sehemu ambayo anasubiliwa kwa mapanga na marungu?
M/mungu aliumba dunia,kisha akawamba viumbe akiwamo mwanadamu,lengo la kumuumba mwanadamu ni kuja Duniani kumuabudu tuu,haya mengine ya riziki ni ziada tuu.
Kama marehemu yeyote katimiza wajibu wake hapa Duniani hatuna haja ya kusikitika pindi M/mungu anapochukua hazina yake.
Baada ya hilo naomba kuacha swali.
Je Kanumba katimiza wajibu wake hapa Duniani??
"NAOMBA KUWAKILISHA"
M/mungu ailaze roho ya marehemu Kanumba peponi!
 
Hivi vicheche hivi ni noma!
Kwa nini supastars wetu wa Uswahilini (pamoja na Slaa) hawataki kuoa/kuolewa watulie?!
 
Hongera mkuu kwa maneno yako ya hekima vipi wewe umejiandaa kwa hii safari?
 
Lexus, markII GX 110, Hiace, Kiwanja Mpiji, Bank accounts, marafiki, wapenzi, umaarufu, kupendwa, ndoto za kufika Hollywood, Ndoto za kujenga maghorofa, ndoto za kuingia ulingo wa kisiasa,.....Vyooote hivyo huwa vinaachana na wewe katika siku moja inayoitwa siku yako ya kufa. Kisha unaenda mbele ya hukumu yako. Ni mwenyezi Mungu tu ndiye unakuwa mbele zake hata baada ya kifo.

Kwa hiyo tunajifunza kukumbuka hilo. Yeyote, wakati wowote, mahala popote kwa sababu yeyote ile yanaweza kumkuta. Tumwombe Mwenyezi Mungu zaidi na zaidi, hatujui yatakayojiri. The great man is gone!!!!
 
Mbona huulizi TLP, CHAUSTA, NCCR-mageuzi, CUF, NRA, SAU...............wameupokeaje msiba huo? Na ukijua utafanya nini?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…