calvingyan
Member
- Mar 28, 2012
- 47
- 6
Kipimo ni nini?
Alikuja juu ghafla, mara akawa na kampuni, mara akaanza kufyatua movie kila kukicha, mara akanza kuigiza na wanaigeria.....so alikuwa midomoni mwa watu na machoni mwa luninga za watu...!!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kipimo ni nini?
Polen jaman bt supastars jfunzen kuptia hlo tukio
OMG!!
He died because of that Bitch.....!!!
Hili siyo swali bali unaleta utoto tu hapa jamvini......hivi inakuingia akilini mtu amiliki kampuni halafu hasitoe ajila? open ur eyes young Man!!Kanumba alikuwa ana create jobs kivipi?
Baada ya kutukana nipe tofauti za utu kati ya Kanumba na Lulu!: tafakari msemo huu:" show me your friends so i tell who you are".
Suluhisho langu ni kuwa yale maonyesho ya maiti yangefanywa shamba la bibi maana sasa hivi Sinza haipitiki ! Pia wamsafirishe kwa Chopper !Kila mtu atatoa suluhisho lake..
Chief Of Protocol![]()
Junior Member
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Add as Friend
Send Private Message
Add to Ignore List
User Notes (0)
Find latest posts
Find latest started threads
View Conversations
Likes Received (0)
Likes Given (0)
[h=5]Mini Statistics[/h] Join Date 6th April 2012 Last Activity Today 14:02
acha jazba kaka, ninyi wana filamu za bongo hakika mnapaswa kujifunza mengi hapoWajifunze nini? Una uhakika gani na chanzo cha kifo chake?