KIM KARDASH
JF-Expert Member
- Sep 21, 2011
- 5,139
- 1,147
kanumba alikua mhaya au?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ninyi wasanii vipi? wewe unaona sawa kwa jinsi mazingira ya kifo yalivyomkuta msanii mwenzenu? umri ule hakupaswa kuishi kihuni, anyway, R.I.P kanumba
kanumba alikua mhaya au?
Ndugu achana na hilo jitu, litakutoa nje ya mada sana hilo, sijui ni jini au vipi! Lipo kwa kutetea ujinga tu.Kama unanituhumu kuwahukumu Alshaabab, Alqaeda, Boko haraam na WENYE KUWAUNGA MKONO kwa hakika niko tayari shutumu hadi kukuche wala sitabadilika kwasababu na wewe utakuwa mmoja wao kwa hakika.
NDUGU ACHA UDOGMATISM KTK VITU VYA MSINGI VINAVOHUSU MAISHA YAKO KAMA DINI,USIPENDE SANA KUHUBIRIWA KUHUSU DINI,CHUKUA VITABU VYA DINI UVISOME,SOMA BIBLIA UIJUE,NA USIPENDE KUSOMEWA
NAN KAKUAMBIA KUA KTK DINI YA UISLAM WATU KAMA ALSHABAAB,ALQAEDA,BOKO HARAM NA WENGNE WENGI WANARUHUSIWA KUFANYA IVO NA SHERIA ZA DINI HII??
Je hao MAKASISI MASHOGA,WALAWITI,WANAOFANYA MACHAFU NA WATAWA WA KIKE KILA SIKU WAMERUHISIWA?
Acha kuishi kwa propaganda,mwisho wa siku ukiondoka hapa ulimwenguni unaondoka pekeyako...!
Huduma za afya zingeweza kuzuia kanumba asisukumane na LULU au...?
Tuheshimu privacy ya wafiwa katika kipindi hiki kigumu. Kesho tutaongea hayo mengine.R.I.P Kanumba ila umetuachia funzo kuwa wazazi ni MUNGU wa pili duniani ...LULU sasa kwako yametimia ni zamu ya dunia kukufunza walimwengu tulishatimiza wajibu wetu lakini hukutusikia
Zembwela please usipitie uzi huu,no hastahili kupewa state burial. Kwani ye nani hapa Tanzania, katufanyia nini cha kumkumbuka. Mwisho wenu mtaomba hata naye Zembwela azikwe kwa state burial.
.
Wewe na akili zako za kujaza kizibo cha bia huwezi kuona mbali. Nenda shule ndio utaelewa zaidi.Huduma za afya zingeweza kuzuia kanumba asisukumane na LULU au...?
Mbona huulizi TLP, CHAUSTA, NCCR-mageuzi, CUF, NRA, SAU...............wameupokeaje msiba huo? Na ukijua utafanya nini?
Ndo maana nimesema ana 100% record we *****