tindikalikali
JF-Expert Member
- Jan 14, 2011
- 4,854
- 1,129
kanumba ni kijana mmoja wa kitanzania aliyechangia kupotosha maadili ya kiafrika kupitia filamu zake za kipuuzi. Huyu mtoto kachangia sana watoto, mabinti na vijana wetu kupotoka kimaadili, hawashikiki nyumbani, hawashkiki shuleni wala kanisani. Watoto wetu walianza mapenzi mapema kupitia filamu za huyu bwana. Ngono imepelekea kifo chake.!
Go to hell you stupidity boy.
Hivi vifo kwa vijana vinatisha mno.
Prof Mtakyawa wa geology university of Dar na Bingu wa Mthalika wamekufa Leo! Ajabu msiba wa Kanumba umefunika hata msiba wa prof wa mawe
Wote rest in peace
Rt rev masa
wewe wa wapi? yaani mtu keshafariki ataelekeaje mochwari tena?
...na sharia je, inasemaje?
We wako pia umetimiza????!!!toa kwanza boriti kwenye jicho lako ndipo utakapoona kibanzi kwenye jicho la mwenzako......
Je wewe umetimiza wajibu wako?
Je unatimiza wajibu wako
je una uhakika kadri unavyoishi unatimiza wajibu wako?
Amekufa pamoja na yesu... R.I.P Kanumba
Wandugu, watu kama akina Kanumba nchi nyingine huwapa VIP passport na huwa wanapewa mazishi ya Kitaifa, nchi zinazotambua mchango wa wasanii hawa katika kukuza jina la taifa husika katika nchi mbalimbali duniani na hata katika maendeleo ya nchi hasa katika kuelimisha nk
J e kanumba anastahili mazishi ya kitaifa?
Toka nimeingia naona kanumba, kanumba..kanumba msaanii..mi hata simjui, yaan nipo ktk hii nchi afu hata cjui kinachoendelea..daa!