Tanzanian actor Steven Kanumba reported dead

Mengi xana yatasemwa na magazeti ya udaku ndo yawe makini ktk kupotosha wananchi kuhusu kifo cha Kanumba
 
Lord have mercy kuanzia asubuhi mi najua ni mtu mzima, this girl is possessed and a devil in human form.jamani watoto wa siku hizi loh, i give up and salute hivi kumbe sasa hivi naweza kugombania mume wangu na mtoto yalaa sitaki hata kuwaza embu nitoke hapa
 
Wakuu jitahidini kuwa waelewa kidogo kwani huyu kanumna ni kama ndui kwamba kila mtanzania anaufahamu nayo?kwa kuwa kila mtanzania anayo?wengine kazi zetu za ukuli saa ngapi napata muda wa kuangalia tv na kufuatiliamagazeti?ila angalau nikiingia humu jf napata habari.sasa mtu anapouliza inamaana anataka.kujua kama mnaona hatari kutomjua huyu mtu haya....
 
yaan jamani, haya maisha yatofautiana usione watu tunatembea barabarani, ukajua tuna elewa kinachoendelea duniani, kila mtu anamatatizo yake!
 
Lowasa lazima aibukie kwenye msiba huu baada ya msiba wa mkwewe Arumeru.Kama Kanumba alikuwa mlipa kodi mzuri namaanisha alikuwa analipa tra dvd na vcd zake basi tangazeni msiba wa kitaifa.
 
Hili siyo swali bali unaleta utoto tu hapa jamvini......hivi inakuingia akilini mtu amiliki kampuni halafu hasitoe ajila? open ur eyes young Man!!
unaweza kuwa unatembeza maji ya Kandoro mtaani na umesajili kampuni na hujampa mtu ajira. Ungenieleza vizuri tu bila kashfa anumba alikuwa anatengeneza ajira vipi, kigumu nini hapo kichwa panzi wewe?
 
Young-Master chapa viboko wote wako uchi mpaka msibani. Hawa wasanni aibu kwelikweli aisee

Tulia mkuu, wala usiwe na haraka nimeenda kuleta gari la fire halafu maji yake nimeweka ***** maana nimeona adhabu ya viboko nitawaaibisha sasa acha wajiaibishe wenyewe.
 
hana cha maana cha kumfanya apewe hiyo heshima, ni muhuni tu na ngono zembe ndo zimemuua
 
Wakuu nimesikia tetesi kuwa marehemu Steven Kanumba eti alikuwa hapatani na baba yake mzee Charles Kanumba?nimeona nyumba anayoishi baba yake Steven iliyopo Ngokolo mkoani Shinyanga haiendani na utajiri aliokuwa nao marehemu,ina maana Steven alishindwa kumjemgea baba yake nyumba.
 
Wasanii ni kioo kwa jamii LAKINI hii ya Kanumba na LULU sipati taswira yake.Wasanii waliobaki wajifunze
 
ramsey wa aseno bila shaka kesho atascore dhidi ya mancty
 
hapana,msiba wake umegusa watanzania wengi,na kweli kama msanii amekuwa na mchango mkubwa kwa taifa ila mazishi ya kitaifa big NO
 
Mungu ailaze Roho ya marehemu mahali pema peponi.Kila nafsi itaonja mauti.Ametangulia safari yetu ni 1.hatuwezi kujua ukweli halisi ila Mungu pia Amlinde kiumbe wake Lulu,yeye ndie muamuzi wa kila jambo.
 
Wewe ni mbishi hadi kwenu wanajua !
 

Naye atafuta kila chozi kutoka katika macho yao, na kifo hakitakuwapo tena, wala maombolezo wala kilio wala maumivu hayatakuwapo tena. Mambo ya zamani yamepitilia mbali.-Ufunuo 21:4.
 
If you can cheaply get a state burial then I deserve one when am due.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…