stevenmmole
New Member
- Apr 7, 2012
- 1
- 0
unaweza kuwa unatembeza maji ya Kandoro mtaani na umesajili kampuni na hujampa mtu ajira. Ungenieleza vizuri tu bila kashfa anumba alikuwa anatengeneza ajira vipi, kigumu nini hapo kichwa panzi wewe?Hili siyo swali bali unaleta utoto tu hapa jamvini......hivi inakuingia akilini mtu amiliki kampuni halafu hasitoe ajila? open ur eyes young Man!!
Young-Master chapa viboko wote wako uchi mpaka msibani. Hawa wasanni aibu kwelikweli aisee
Wewe ni mbishi hadi kwenu wanajua !unaweza kuwa unamiliki kampuni ya kusambaza maji ya Kandoro mtaani na wewe ndio supplier, accountant, msambazaji, marketer etc. na hujamtengenezea mtu ajira.
We ungenieleza vizuri tu, Kanumba alitengeneza ajiri kivipi, kigumu nini hapo kwenye kichwa chako panzi hicho?
i wish it was a lie and just another movie he is participating, so bad so sad i wish to wake up and find its just a bad dream but he is alive, i wish he just wakes up, life life life, death death death, oh my God its hard to believe, why this time and year, i just pray this year to end as fast as it can, we have had so many loses already, our Good Lord spare us any other pain please,and please comfort us now.