Tanzanian actor Steven Kanumba reported dead

malipo ya dhambi ni mauti , mungu ameamua kuwanyoshea kidole wale wote wenye tabia zenye kufanana na hizo za lulu na wengine.Mwenye sikio na asikie.
 
Maskini Kanumba. Mara mia angebakia na Kind Sepetu. Leo hii angekuwa anakula bata la Pasaka. Halafu nimecheki mahojiano ya haka kaa Elizabeth "Silk" kwenye Mikasi, na instincts zangu ziliamshwa na jinsi anavyozungumza kwa confidence kubwa huku akipinda mdomo. Kwa kweli ilikuwa siyo sahihi kabisa kwa Kanumba kuwa na demu wa miaka 18 ambaye ni so immature na ambaye bado hormones zinatawala tabia yake.
 

We umejenga kwenu? Inawezekana wazee wako wamepiga dash ucku huu wkt kijana wao unahangaika na JF. Tuache kujadili maisha binafsi ya watu kila familia ina matatizo yake
 
Mleta thread umeona wazi umbea na kujadili familia ya mtu,watu hawapendi. Kama SK alikuwa tajiri ukweli wowote haupo maana jamaa mauti yamemkuta kwa Landlord wake.
 
Interest zinatofautiana wengine hawana clue na maigizo ya bongo so kutokumjua Kanumba sio issue...kuna watu hawamjui hata Lionel Messi kwasababu hawana interest na soka kabisa
 
Mpaka aina ya pombe aliyokunywa hapo lazima polisi nao wamulike. Wanataka kuleta magumashi style,au cooked report.
 
yeye ndio anawalipa?
lakini hutajiri unaozungumziwa hapo ni mapato ya shs milioni
mia 300 sasa hakuna matumizi? SAWA hakuna matumizi milioni 300 ni kama paund 100,000/=hivi huu ni utajiri ?????
 
Wachangiaji wengi apa wanafiki...
Si mseme tu ukweli may be iyo thread hakuiona...
Mleta mada ni kweli kanumba alikua na bif na baba yake na nimeona mama ndo anasubiriwa badala ya baba
 
Huyu huyu pongezi kwa LULU tena huzuni kwa kifo cha SK . Wewe si bure utakuwa kama POPO!
 
Wasanii,mm,siwapendi watu hawa kabisa.Ni muendelezo wa Hollywood,ambayo imeichafua dunia kabisa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…