leylahenry
New Member
- Apr 7, 2012
- 3
- 0
Msimuhukumu huyu mtoto; kinachotakiwa hapa ni autopsy report kuhusu sababu ya kifo cha Kanumba. Ninadhani kuwa tuna utaratibu wa kufanya post mortem examination kwenye mwili wa marehemu iwapo kifo chake kinahusisha na uvunjaji sheria.
Miezi michache iliyopita tuliona PDiddy akianguka ghafla na kufariki bila kuguswa na mtu yeyote, inawezekana kulikuwa na sababu nyingine kama vile stroke iliyotokea kwa Merehemu Kanumb wakati Lulu anamsukuma, ambayo bado ingechukua uhai wa marehemu hata bila kusukumwa na Lulu kama ambavyo ilivyotokea kwa Marehemu PDiddy. Kujua chanzo cha kifo ni jambo la muhimu kwanza kabla ya kujadili mazingira ya kifo hicho.
Binadamu bwana! Ukiweka title ambayo wengi tungeweza kuelewa ina cost nini!
We uliyepost ndo mshamba na mbwiga.. Unatumia msiba wa kanumba RIP kudhalilisha wengne.. Hcho kpnd hata mi nimekitazama.. Hakuzungumza kwa mtazamo wako hafifu.. Ye alisema kwamba akifanya hk kama kununua lexus na kanumba hufanya and vice versa. Kwa hvyo alivyozungumzia kiwanja na mengne ilikuwa kutilia mkazo huja yake, kitu ambacho kila mtu hufanya. Kuwe na upeo mpana kidogo.
mbona mwenyewe alisema hatumii kilevi cha aina yoyote ile?
....ni wale watu ambao ukikaa nao jambo dogo kwao tayari mtu anaringa..Inferiority complex
tatizo kubwa sana kwenye jamii yetu,yote aliyosema Ray yeye kanote la lexus tu.
Ni lini polisi walifika eneo la tukio wakachunguza? Siku nzima watu wamekuwa wanamiminika nyumbani kwa marehemu, vielelezo vyote vya ushahidi vimeshapotea, watu wanatembea, wanashika kila kitu. Polisi watafanye uchunguzi vipi wakati eneo liko contaminated?
Week chache afande Chagonja kabla ya kwenda Songea kuchunguza vurugu alitoa 'conclusion' ya report, sasa hata kwenye kifo cha Steven Kanumba wanaonekana kufanya mambo kama tuko zama za ujima.
Na ujue hao polisi ni magumashi waulize wamejuaje kuwa marehemu alikunywa Jackie Daniel? Uchunguzi unaweza kuona alcohol lakini sio BRAND ya kinywani. Masimulizi tu haya!
chit chatRahisi sana kutabiri mechi iliyokwisha kuchezwa.
huyo kanumba ni baba yako au mjomba wako mpaka umwote???Usiku wa kuamkia Ijumaa (Jana) niliota ndoto ya ajabu. Kwamba nilikuwa katika mji fulani mkubwa, lakini ghafla mawinguni upande wa magharibi nilikiona kikundi cha wasanii, walikuwa kama wa tano hivi. Wote wakiwa ndani ya suti nyeusi na mashati meupe na bulls' tie. Nilivyo waona ilikuwa kama vile "projector" ilikuwa mahali na kutumia mawindu kuwa kama 'screen'. Picha za wale wasanii zilikuwa ni aina ya pasipoti ila zilikuwa kubwa sana na nilimfahamu kiongozi wa kikundi kile aliyekuwa mbele na ukubwa wake wa pale mbele aliwaziba wengine wa nyuma. Huyu mtu alikuwa ni Steve. Basi sikujali.Lakini nikaenda mji mwingine mdogo, kule tena ile picha ikaibuka. Safari hii wale wasanii wakaimba sana mziki wakifurahi (ilikuwa kama move hivi). walipomaliza ile picha ikatoweka, na mimi nikasema vijana hawa wameanza usanii hivi karibuni lakini wamestawi sana.
Saa hivi wakati naangalia historia ya marehemu TBC, ile ndoto niliyokwisha isahau ika-flash kwenye kioo cha dirisha. Ndipo nimekumbuka ndoto hii nakuiweka hapa.
Kama baba yake hakujijengea imekula kwake.
Afu ukute hata hakuwa responsible father.
Tukishajua sababu za kifo mjadala utatusidia nini mkuu! he is gone and will never come back again. so painfull.
Usiku wa kuamkia Ijumaa (Jana) niliota ndoto ya ajabu. Kwamba nilikuwa katika mji fulani mkubwa, lakini ghafla mawinguni upande wa magharibi nilikiona kikundi cha wasanii, walikuwa kama wa tano hivi. Wote wakiwa ndani ya suti nyeusi na mashati meupe na bulls' tie. Nilivyo waona ilikuwa kama vile "projector" ilikuwa mahali na kutumia mawindu kuwa kama 'screen'. Picha za wale wasanii zilikuwa ni aina ya pasipoti ila zilikuwa kubwa sana na nilimfahamu kiongozi wa kikundi kile aliyekuwa mbele na ukubwa wake wa pale mbele aliwaziba wengine wa nyuma. Huyu mtu alikuwa ni Steve. Basi sikujali.Lakini nikaenda mji mwingine mdogo, kule tena ile picha ikaibuka. Safari hii wale wasanii wakaimba sana mziki wakifurahi (ilikuwa kama move hivi). walipomaliza ile picha ikatoweka, na mimi nikasema vijana hawa wameanza usanii hivi karibuni lakini wamestawi sana.
Saa hivi wakati naangalia historia ya marehemu TBC, ile ndoto niliyokwisha isahau ika-flash kwenye kioo cha dirisha. Ndipo nimekumbuka ndoto hii nakuiweka hapa.
kakuambia kanumba au???Wakuu nimesikia tetesi kuwa marehemu Steven Kanumba eti alikuwa hapatani na baba yake mzee Charles Kanumba?nimeona nyumba anayoishi baba yake Steven iliyopo Ngokolo mkoani Shinyanga haiendani na utajiri aliokuwa nao marehemu,ina maana Steven alishindwa kumjemgea baba yake nyumba.