Tanzanian actor Steven Kanumba reported dead

Tanzanian actor Steven Kanumba reported dead

Msimuhukumu huyu mtoto; kinachotakiwa hapa ni autopsy report kuhusu sababu ya kifo cha Kanumba. Ninadhani kuwa tuna utaratibu wa kufanya post mortem examination kwenye mwili wa marehemu iwapo kifo chake kinahusisha na uvunjaji sheria.

Miezi michache iliyopita tuliona PDiddy akianguka ghafla na kufariki bila kuguswa na mtu yeyote, inawezekana kulikuwa na sababu nyingine kama vile stroke iliyotokea kwa Merehemu Kanumb wakati Lulu anamsukuma, ambayo bado ingechukua uhai wa marehemu hata bila kusukumwa na Lulu kama ambavyo ilivyotokea kwa Marehemu PDiddy. Kujua chanzo cha kifo ni jambo la muhimu kwanza kabla ya kujadili mazingira ya kifo hicho.

Tukishajua sababu za kifo mjadala utatusidia nini mkuu! he is gone and will never come back again. so painfull.
 
Hivi mmeshajiuliza ni nani aliekuwa akiongea na huyo binti kwa cm kabla ya mtafaruku?think out of de box great thinker..anajckiaje hivi sasa huyo jamaa?
 
Acheni ujinga basi ...
Hata siku wiki haijaisha mmesha anza haya ..
Aibu kwa kweli...
 
We uliyepost ndo mshamba na mbwiga.. Unatumia msiba wa kanumba RIP kudhalilisha wengne.. Hcho kpnd hata mi nimekitazama.. Hakuzungumza kwa mtazamo wako hafifu.. Ye alisema kwamba akifanya hk kama kununua lexus na kanumba hufanya and vice versa. Kwa hvyo alivyozungumzia kiwanja na mengne ilikuwa kutilia mkazo huja yake, kitu ambacho kila mtu hufanya. Kuwe na upeo mpana kidogo.

Kama lilivyo jina lako, Mbu mbu mbu. Nadhani wewe ndiye Ray, toa hizo earphone masikioni upate akili kidogo.
 
....ni wale watu ambao ukikaa nao jambo dogo kwao tayari mtu anaringa..Inferiority complex
tatizo kubwa sana kwenye jamii yetu,yote aliyosema Ray yeye kanote la lexus tu.

Haya mdandia mada. kipindi chenyewe hukuangalia ulitaka ni 'note nini? wehu wako au ile station label ya clouds tv?
 
Ni lini polisi walifika eneo la tukio wakachunguza? Siku nzima watu wamekuwa wanamiminika nyumbani kwa marehemu, vielelezo vyote vya ushahidi vimeshapotea, watu wanatembea, wanashika kila kitu. Polisi watafanye uchunguzi vipi wakati eneo liko contaminated?

Week chache afande Chagonja kabla ya kwenda Songea kuchunguza vurugu alitoa 'conclusion' ya report, sasa hata kwenye kifo cha Steven Kanumba wanaonekana kufanya mambo kama tuko zama za ujima.

Na ujue hao polisi ni magumashi waulize wamejuaje kuwa marehemu alikunywa Jackie Daniel? Uchunguzi unaweza kuona alcohol lakini sio BRAND ya kinywani. Masimulizi tu haya!

tukio la mauaji halikutokea nyumba nzima bali katika chumba. Yawezekana pia hicho chumba kimefungwa kwa uchunguzi zaidi. Nadhani hili hukulifikiria
 
tuache unafiki hili ni fundisho kwa wote hasa sis vidume.....inawezekana baba hakuwa responsible kwajamaa kama ilivyo jadi yetu waafrica....imenishangaza pia....kama umecheck interview TBC1 baba anasema anasuburi wife kasafiri ...wapia watazika kwa babu yake Kanumba mwanza....huku thread 1 humu inaonyesha picha za mama yupo Air port Bukoba anasafiri kuja dar....why not father also? tusubir ukweli mengi yataongewa
 
Usiku wa kuamkia Ijumaa (Jana) niliota ndoto ya ajabu. Kwamba nilikuwa katika mji fulani mkubwa, lakini ghafla mawinguni upande wa magharibi nilikiona kikundi cha wasanii, walikuwa kama wa tano hivi. Wote wakiwa ndani ya suti nyeusi na mashati meupe na bulls' tie. Nilivyo waona ilikuwa kama vile "projector" ilikuwa mahali na kutumia mawindu kuwa kama 'screen'. Picha za wale wasanii zilikuwa ni aina ya pasipoti ila zilikuwa kubwa sana na nilimfahamu kiongozi wa kikundi kile aliyekuwa mbele na ukubwa wake wa pale mbele aliwaziba wengine wa nyuma. Huyu mtu alikuwa ni Steve. Basi sikujali.Lakini nikaenda mji mwingine mdogo, kule tena ile picha ikaibuka. Safari hii wale wasanii wakaimba sana mziki wakifurahi (ilikuwa kama move hivi). walipomaliza ile picha ikatoweka, na mimi nikasema vijana hawa wameanza usanii hivi karibuni lakini wamestawi sana.

Saa hivi wakati naangalia historia ya marehemu TBC, ile ndoto niliyokwisha isahau ika-flash kwenye kioo cha dirisha. Ndipo nimekumbuka ndoto hii nakuiweka hapa.
huyo kanumba ni baba yako au mjomba wako mpaka umwote???
kama umeota mtu subiri ni ndani ya familia yako na akishakufa utufahamishe. nyie watu mliokwenda kunywa kikombe kwa Babu wa loliondo mnashida sana hayo maji mliyonyoshwa na babu yatawasumbua mpaka mkome.
ipo siku utaota unakufa utasema ??? unaleta mambo ya babu wa loliondo hapa au kakutuma????
 
jamani ... kanumba alidai hatumii kilevi cha aina yoyote... Lulu alidai hana mchumba ... yote. yaha waliongea hadharani katika vyombo vya habariv...

kwanini watu wadanganye.. ? nyie wasanii kama swali lipo personal si mkatae kujibu kuliko kijopa mapromo.. ona sasa mnaumbuka...

I hate lies..
 
Tukishajua sababu za kifo mjadala utatusidia nini mkuu! he is gone and will never come back again. so painfull.

Swali lako lina majibu mawili:

JIBU la KWANZA: Hakuna tunaloweza kufanya kuhusu uhai wa huyu ndugu yetu uliopotea. Uhai ni kitu chenye thamani sana duniani kote, haununuliwi kwa pesa yoyote. Ukishpotea, basi ni kweli umekwenda na hakuna namna ya kuurudisha. Hata wauaji wanapohukumiwa kunyongwa, hiyo huwa hairudishi uhai wa waliouwawa na wauaji hao. Kwa hali hiyo, ni kweli kuwa itabidi tuendelee kuomboleza tukijua kuwa huyu kipenzi chetu ndiyo hatunaye tena.

JIBU LA PILI:Tukishajua sababu ya kifo, ndipo tuhukumu kama kimetokana na Lulu au ni cha asili ambacho kingetoea hata kama Lulu hakuwapo. Iwapo itajulikana kuwa kifo hicho kimetokana na Lulu hasi hapo ndipo sheria itachukua mkondo wake dhidi ya huyo Lulu.
 
Usiku wa kuamkia Ijumaa (Jana) niliota ndoto ya ajabu. Kwamba nilikuwa katika mji fulani mkubwa, lakini ghafla mawinguni upande wa magharibi nilikiona kikundi cha wasanii, walikuwa kama wa tano hivi. Wote wakiwa ndani ya suti nyeusi na mashati meupe na bulls' tie. Nilivyo waona ilikuwa kama vile "projector" ilikuwa mahali na kutumia mawindu kuwa kama 'screen'. Picha za wale wasanii zilikuwa ni aina ya pasipoti ila zilikuwa kubwa sana na nilimfahamu kiongozi wa kikundi kile aliyekuwa mbele na ukubwa wake wa pale mbele aliwaziba wengine wa nyuma. Huyu mtu alikuwa ni Steve. Basi sikujali.Lakini nikaenda mji mwingine mdogo, kule tena ile picha ikaibuka. Safari hii wale wasanii wakaimba sana mziki wakifurahi (ilikuwa kama move hivi). walipomaliza ile picha ikatoweka, na mimi nikasema vijana hawa wameanza usanii hivi karibuni lakini wamestawi sana.

Saa hivi wakati naangalia historia ya marehemu TBC, ile ndoto niliyokwisha isahau ika-flash kwenye kioo cha dirisha. Ndipo nimekumbuka ndoto hii nakuiweka hapa.

Wewe ni nani tena unatutabiria bao la ushindi wakati mpira umeshaisha na ushindi unajulikana? Hata Yahya tapeli hakuwa kama wewe! alitabiri kimachale! alikuwa anasoma kwanza picha linakwendaje ndiyo aropoke
 
Wakuu nimesikia tetesi kuwa marehemu Steven Kanumba eti alikuwa hapatani na baba yake mzee Charles Kanumba?nimeona nyumba anayoishi baba yake Steven iliyopo Ngokolo mkoani Shinyanga haiendani na utajiri aliokuwa nao marehemu,ina maana Steven alishindwa kumjemgea baba yake nyumba.
kakuambia kanumba au???
ni majungu ya mtaani au kakuambia baba yake sasa kanumba kashakufa unamuuliza nani? kwa nini ukumwoliza akiwa hai nyie watu mliokunywa kikombe kwa babu wa loliondo mna shida sana au
kakutuma babu wa loliondo hayo ni mambo ya ukoo hayakuhusu wewe wala ngamia mzee unataka
kuingiza wazee kwenye umbeya kanywe tena kikombe kwa babu mara ya pili


 
Back
Top Bottom