Tanzanian actor Steven Kanumba reported dead

malipo ya dhambi ni mauti , mungu ameamua kuwanyoshea kidole wale wote wenye tabia zenye kufanana na hizo za lulu na wengine.Mwenye sikio na asikie.

Kwa muda mrefu nilikua pembeni nikiufuatilia mjadala huu kwa njia ya kusoma tu bila kuchangia chochote,lakini mpaka kufikia hapa page 7 nimeamua kuvunja ukimya niseme tu baada ya kutafakari michango mbalimbali ya wachangiaji wa thread hii nimejiridhisha kwamba KANUMBA hakua akipendwa na watu wengi hapa nyumbani kwao Tanzania
 
mnaosema hakuna tatizo hebu angalieni YouTube kipindi cha mkasi kanumba alipokuwa anahojiwa na salama aliulizwa kama anadhani ray ana wivu na kuiga kila anachofanya .. kanumba aliongea maneno kama hayo... anachofanya ray ni kulipiza... hapo...
 
R.I.P Kanumba the great, wewe umetangulia wengine tupo nyuma yako!! kila nafsi itaonja umauti haijalishi ni kwa namna gani
 
Huyo Ray Mwizi,yeye na Johari walimwibia yule mnyakyusa.zamu yao inakuja
 
Katika hali isiyo ya kawaida au kawaida nimewasikia watu wakizungumza kwa ujasiri kuwa huyo lulu anatumiwa na hawa jamaa wa LTK KATIKA kufanikisha mambo mengi tu ambayo wadau hawaku yataja hata hivyo waliendelea kutema maneno kuwa ni mpango ambao ulisukwa kwa ustadi mkubwa na wa hali ya juu sana baada ya THE GREAT KUTANGAZA nia yake ya kugombea ubunge katika jimbo la shinyanga kupitia chadema.

wakaendelea kusema tusitegemee kupata majibu ya kuridhisha kutoka kwa madaktari wanaomfanyia uchunguzi kujua kifo chake.Hata huyo lulu anaeshikiliwa ataachiwa muda wowotw utakapotimia.

msiniulize source,haya nimeyasikia watu wakiyajadiri nikiwa katika pita pita zangu .
Hapa tutasikia mengi sana kuhusu THE GREAT.

nawakilisha.

mungu tuokoe.​
 
Hata sijui niamini yupi Kanumba alisema hanywi, Lulu akasema hana boyfriend na alikuwa single, Polisi wanasema Kanumba kanywa pombe kali tena "uchunguzi" unaonyesha ni kinywaji gani.....kipi ni kipi??
 
hata kama baba hakuwa responsible, hakutakiwa ku react vile kwa mzaz wake aliechangia kumleta duniani.
ni upendo gan alisisitiza enz za uhai wake wakati alikuwa hampend mzee wake?
Yaan hata amri ya Mungu ya kuheshm baba na mama hakuifuata?
anyway....Mungu ailaze roho yake mahali panapoctahili....amen
 
Afande Sele naye katangaza Nia Morogoro Mjini,ila yeye nafikiri kupitia CUF,Kilichotokea sasa:AMEKULA KICHAPO KIKALI SANA KUTOKA KWA VIJANA WA SAID MWEMA mpaka hamu nadhani imemwisha.Ushauri wangu:Nguli wote wanaotaka nia kupitia upinzani hebu wauchune kwanza kwa sasa maana CCM wana-Stress za Arumeru,Lema anawasumbua so kmila mtu mbele yao sasa hivi ni adui mkubwa sana,watatumaliza,twende polepole!!!!!
 
Ha ha haaaaaaaaaaaa yani lengo lako washabiki wa kanumba wawachukie jamaa na kuwa na hasira nao kisa wamemuua kipenzi chao sio?

Acha hizo kifo cha kanumba kimetokana na wivu wa kupindukia wa mapenzi ambao kanumba sio wa kwanza kufa kwa wivu wa kimapenzi.

R.I.P. Brother
 
hayo ndo niliyo yasikia kutoka midomoni mwa watu...si mimi


 
Binadamu bwana! Ukiweka title ambayo wengi tungeweza kuelewa ina cost nini!

Bueno. Por lo menos usted ha conocer la raelity. Sasa sijui unachogomea ni nini hasa, umeona hoja, changia, au kama unaona huna cha kuandika, unaweza kupost "...napita tu" na bado ukaeleweka.
Usipende umaarufu...
 
hayo ndo niliyo yasikia kutoka midomoni mwa watu...si mimi

Hapa tuna msiba mzito halafu nyie wengine mnaleta zenu za kuleta-acheni wafiwa wakae kwa amani katika kipindi hiki kigumu

Kuhusu LULU anahitaji maombi yetu huyu binti, pamoja na madudu yake mengi kwenye hili naamini huyu mtoto ni victim-anahitaji huruma badala ya criticism
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…