Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mkuu! Hakuna kuomba hapa, kifo chake kama inasemekana, 7bu ni mapenzi, while huyu lulu c mke wake. Mungu wa kweli hana muda wakusikiliza kelele. Infact, tasnia ya filamu ni 1 ya kitengo cha shetani.! Sorry huo ndo ukweli
Eherrychris, Kudadeki!!! Bonge la spin doctor, jf bwana, we acha tu!! Kila mtu anaibuka na hadithi yake, mwingine atasema, ati oohh, bla bla!! In totality huyu binti Elizabeth aka Lulu ni balaaaaaaaaa!!!!View attachment 51187
Hakuna katika maandiko matakatifuTusimpangie Mungu cha kufanya the guy never involved God in any way,after death judgement hes tomenting and cursing in the abbys now.Tusikitike hilo
Clouds TV naona Ray,Claud, Stive Nyerere wapo live wakihojiwa na bi Regina
Msiba ni sinza vatican. Michango yenu inahitajika sana.more update please
tujifunze kutafakari angalau hata kidogo. Liyumba ni marehemu na chumbani walikuwa wawili sasa hii simulizi kaitoa Lulu? Give me a break..........ukweli ni kuwa:-
"Do not deceive yourself. God is not mocked. Whatever a man sow that he shall also reap........................." Galatians 6:7
Kwa taarifa nilizonazo hususani baada ya ile movie aliyoicheza Nigeria na TZ kwa pamoja uvumi ulikwisha kuzagaa kuwa afya yake ilikuwa na mushkeli mkubwa.....................cocktail ya kibongo ilimpa siha marejeo ambayo sanasana ilisaidia kuharibu viungo ndani ya mwili wake.......................figo, maini, moyo n.k.....................suala la kuanguka is typical kwa wengi wenye khali yake....................kule malawi Bingu naye alidondoka......sijui Lulu alikuwepo kule kumvisha kaputula?