Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
sasa haka katoto kalimzidi vp nguvu???
.unaweza kukuta alikuwa ni mkuu wa kaya.....
Hatuwezi tambua yaliyo mbele yetu!Dah inasikitisha sana...na wengine tujifunze maugomvi hayasaidii..sasa kwani angempatia hiyo simu akajionea mwenyewe yasingetokea yote haya. ndo shida za kuwa na wapenzi micharuko mpenzi aliyetulia ukimuomba simu yake atakupatia kiulaini tu
Dah inasikitisha sana...na wengine tujifunze maugomvi hayasaidii..sasa kwani angempatia hiyo simu akajionea mwenyewe yasingetokea yote haya. ndo shida za kuwa na wapenzi micharuko mpenzi aliyetulia ukimuomba simu yake atakupatia kiulaini tu
sheria ya ndoa ya nchi au ya kidini? ebu fafanua
Duh!hii kali ya mwaka 2012!unaweza kukuta alikuwa ni mkuu wa kaya.....
hicho kitoto kipo lumande mpaka kijulikane source ya kifo cha the great k.so hatuwezi kujua now what was the source.
sasa haka katoto kalimzidi vp nguvu???
Huyu ni mwigizaji maarufu na mwenye vituko wa hapa Tanzania!kwani wewe ni raia wa nchi gani?mwenye picha ya lulu atuwekee jukwani.kwani Lulu ninani?