Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Pole kameshasema, apaBongo akampendi mtu wala hana mipango na yeyote(may b ur money) kanampenda Justine B yule dogo wa USA so check outtehe tehe with all respect jamaa alipokuwa anahojiwa na zamaradi alisema lulu ni kama mdogo wake kumbe jamaa alikua ana kula mzigo behind the scene...hata mm nakatamani haka kalulu....
kwel mapnz yn mambo,kam ndivo kwl kanastahl kfungo.
unaweza kukuta alikuwa ni mkuu wa kaya.....
Mkuu wa kaya, anatua lini msibani?
Aliambatana na kanumba holiwud kajifunza uigizaji. Ni sharti ahudhurie
Tanzania hatuna ubunifu, Nchi za wenzetu sanaa inaingiza kipato kikubwa sana mfano America, carrebean Jamaica. Sisi tumeng'ang'ana na bia na magari. Soko la filam za kitanzania ni kubwa sana Afrika mashariki na kati. Mfano ziara za akina kanumba kongo DRC palikuwa hapatoshi full eskot. Lakini je ni jitihada gani zimefanywa na serikali katika ku exploit soko hili la film?. Tupotupo tu tumekalia politiki ndo maana uchumi unadorora, shilingi anaporomoka thamani na hakuna ubunifu tena. Wakati America uchumi wao unategemea uuzaji wa huduma ( service industry including sanaa ya music na film ss tunaashangaa tuu Tuamke jamani tuwe wabunifu)
sasa uyu mtoto under 18 itakuwaje?
Naomba tukatendee haki haka katoto!. Mwenye mamlaka ya kutaja chanzo cha kifo ni daktari, na mwenye mamlaka ya kumtaja mhusika ni jeshi la polisi!.
Nashauri subirini taarifa ya dakitari kuhusu chanzo cha kifo. Mpaka sasa hakuna uthibitisho kuwa Lulu alimsukuma, inawezekana kwenye purukushani hiyo, ni Kanumba mwenyewe ali bugi step akateleza na kuanguka bila kusukumwa na yoyote!.
Hata kama ni kweli Lulu alimsukuma, chanzo cha kifo sio lazima kiwe kimetokana na kusukumwa!. Inawezekana Kanumba alikuwa na heart problem, pressure etc, hivyo alipokasirika pressure zikapanda, au akapata heart failure ndipo akaanguka!.
Hata kama ni kweli alijigonga, subirini madaktari wathibitishe chanzo cha kifo ndipo tuendelee kujadili!.
Najua msiba huu ni huzuni kubwa, lakini nawaombeni sana, lets not be judgemental kwa Lulu!.
Mimi ni miongoni mwa waumini wakubwa wa the doctrine of "karma", kuwa there is nothing new under the sun, hakuna coincidence wala bahati mbaya, lolote ambalo limetokea, lilikuwa litokee tuu, yaani siku ya mpendwa wetu Kanumba ndio ilikuwa imefika, saa ilipotimia Mungu akamuita, hata asingesukumwa, angefia usingizini!.
After all, there is life after life and life before life!, death ni change tuu ya life form from physical body to spiritual body!.
Rip Kanumba.
Pasco
Wewe ni daktari aliyemchunguza baada ya kufa?