Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ungejua wanajiolojia wa Tanzania wanaomboleza parefu sana, usingeitoa hii habari kwa staili hii.
prof Muta was Great, ana atabaki akikumbukwa sana kwa mchango wake.
Mutharika ni mwanasiasa, wengi hawamfuatilii sana labda uwe unapenda kufuatilia siasa za kimataifa. Huyo profesa ni mtu mdogo sana, wanaomjua sana ni wanafunzi wake. IGP mstaafu naye, ni mtu mkubwa lakini kizazi cha sasa hawamjui labda sisi wakongwe.
Kanumba amejizolea sifa sana katika movie ndio maana wengi wanamlilia
Baba mchungaji kume umestaafu?
tungoje hyo kesho labda atafufuka!Amekufa pamoja na yesu... R.I.P Kanumba
hata kama ndiye lakini hakufundisha wizi.
tena imeandikwa. Aziniye na mwanamke, hana akili kabisa!
Wanajiolojia tu ndiyo wanaoomboleza.
Yaani ni sawa na wanafamilia wote kuomboleza kifo cha mmoja wa wanafamilia yao