LadyAJ
JF-Expert Member
- Oct 21, 2015
- 7,173
- 9,642
Kwann Mkuu !? Nafananaje naeKila nikisoma yule dada alieolewa na mtoto wa 'pm' nakukumbuka wewe.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwann Mkuu !? Nafananaje naeKila nikisoma yule dada alieolewa na mtoto wa 'pm' nakukumbuka wewe.
No. Nilikusoma tu ulivyokkuwa na uhakika Z kaolewa kwenye familia bora sasa nimekuja kusoma humu kumbe ni usanii tu.Kwann Mkuu !? Nafananaje nae
Usanii UPI? Kuna nani hapeni kusogelewa na uwaridi na yeye anukie? Kufahamiana tu na familia ya Waziri mkubwa ndio ndoto ya watanzania wengi kumbuka kila mtu ana TBT kwa hiyo TBT za shaban zisikutisheNo. Nilikusoma tu ulivyokkuwa na uhakika Z kaolewa kwenye familia bora sasa nimekuja kusoma humu kumbe ni usanii tu.
Nisingependa kukujibu
Abeeeh carba [emoji7]
Ndio waja leo[emoji30][emoji30][emoji30]Abeeeh carba [emoji7]
Naona hata uvivu ujue interview yenyewe inaonekana mpoozo acha tusubiri nyingine kama zipoNdio waja leo[emoji30][emoji30][emoji30]
Haya pitia interview