Tanzanian made clean animations

Tanzanian made clean animations

Great work goodguy Yaani kila siku animation zako zinakuja na improvement sana. Big up
Thnx a lot brother, yeah ni moja ya vile vi2 ambavyo the more u do the better it gets!
Hopefully later contents zitakua za ukwel zaidi
🙂
 
unakoelekea ni kutengeneza za 3D na ukishafanikiwa hilo utaweza kupata mkwanja mkubwa sana kwa kutengeneza vipindi na program zenye malipo makubwa
 
@[MENTION]Good Guy[/MENTION] , Nice work man... u really are improving... Awesome Work...
 
imefikia quality kama ya anime za kijapan hapo inatosha kabisa. mimi naprefer 2d over 3d, maana 3d huwa inaniumiza kichwa kuna wakati nasikia kutapika kabisa. kinachotakiwa sasa hivi ni kupata tu stori nzuri
 
Good Guy samahani kwa kuchelewa kucomment.nilitazama kazi yako jioni nikiwa barabarani kurejea nyumbani.sasa ndio naitazama kwa utulivu zaidi.hakika unazidi kuimprove.nimependa concept yako.hongera kaka.
 
Last edited by a moderator:
Good job Mkuu.......unatumia software gani.......jaribu pia toon Boom Studio ina vitu vya kweli zaidi.
 
mr. Good Guy mie bana nimefurahishwa na improvements, we jamaa na mr. wickerman asee siku moja ntakaa muwe waalimu wangu

:focus: nimefurahishwa sana asee kutoka stick figures mpaka hii kitu, hongera sana, nimependa audio/visual sync imeenda poa,

ila mwanzoni yale maneno hujachagua font ya kipolisi si unajuaga zile font, halafu kungekuwa au kama utatengeneza moja ya kiswahili, itanoga zaidi

ila hapo ulipofikia nakushauri anza kutengeneza stori za dakika kumi
 
Last edited by a moderator:
unakoelekea ni kutengeneza za 3D na ukishafanikiwa hilo utaweza kupata mkwanja mkubwa sana kwa kutengeneza vipindi na program zenye malipo makubwa
True bro, i worked with 3D a while back ila ikawa 2 over whelming for me!!
Nna plans za kujump in again!!
Thanx 4 the comment to 🙂
 
imefikia quality kama ya anime za kijapan hapo inatosha kabisa. mimi naprefer 2d over 3d, maana 3d huwa inaniumiza kichwa kuna wakati nasikia kutapika kabisa. kinachotakiwa sasa hivi ni kupata tu stori nzuri
Big thanks Chief, mwishon tried putting anime taste (eyes thing), just trying different things!
Glad you liked it mkuu. Yeah 3d sema kwel its good to some extent mara nyingine mpaka inaumiza macho!
Kuna animations 2D ukiangalia, saf sana!

 
Good Guy samahani kwa kuchelewa kucomment.nilitazama kazi yako jioni nikiwa barabarani kurejea nyumbani.sasa ndio naitazama kwa utulivu zaidi.hakika unazidi kuimprove.nimependa concept yako.hongera kaka.

From you, t means alot! Tnx mkuu. Learnt techniques 2 vital sana pia as i did this piece!! So future work zitakua more smooth and great!
 
Good job Mkuu.......unatumia software gani.......jaribu pia toon Boom Studio ina vitu vya kweli zaidi.

ahh softwares ni
ADOBE FLASH= for animation
AUDACITY=for audio, u know kutengeneza tengeneza saut iwe fresh
also ku render animations nzima kwa mkupuo nmegundua inaleta shida kwene machine so nakua na render vipisi na kuviunga na
ADOBE PREMIER.
Toon boom nlitumia zamaan ikanisumbua ila now umeisema imma check it out nione making animation nayo ka kuna any differences
 
mr. Good Guy mie bana nimefurahishwa na improvements, we jamaa na mr. wickerman asee siku moja ntakaa muwe waalimu wangu

:focus: nimefurahishwa sana asee kutoka stick figures mpaka hii kitu, hongera sana, nimependa audio/visual sync imeenda poa,

ila mwanzoni yale maneno hujachagua font ya kipolisi si unajuaga zile font, halafu kungekuwa au kama utatengeneza moja ya kiswahili, itanoga zaidi

ila hapo ulipofikia nakushauri anza kutengeneza stori za dakika kumi

Brother C6 , big thnx 1st of ol! Wanted 2 do another stick thing nkakumbuka jamaa atamaindi tena huyu 😀
:focus:
Yeah hii ki2 ts not 100 percent perfect, again japo kuna simple story naifata hapo ila mainly nlitaka test non stickfigures zinakuaje (This is thee first animation nmewah fanya isio na stick figure, FIRST) so kinda overlooked some things here and there ila next stuff itakua more polished and more epic (hopefully 🙂 )
-Also yeah working on getting story nzuri ya kuielezea kwa kibongo (cjapata ilionivuti), kuna one or two zitakuja (ikiwepo muendelezo wa hii focusing on the life of ds guy who is actually a nice guy at day n viscious killer at night, i liked d idea)
All in all appreciate everything mkuu, hope to gt more comments in the future
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom