Tanzanian MP's still believe Kenya is the giant of East Africa

Tanzanian MP's still believe Kenya is the giant of East Africa


summary of all my post tanzania bado mko na njaa ya chakula haina aja kubishana..everything has been presented and verified ukame pia iko tanzania so wacheni kua na midomo refu ati tanzania hakuna njaa!!!!
 
Huyo mbunge sijui ni chama gani ila yuko vizuri sana, hivi Watanzania hukwama wapi, yaani wana mbunge kama huyu anayetiririka nondo lakini bdo huwa wanachelewa kwenye kila kitu.
 
A third world
summary of all my post tanzania bado mko na njaa ya chakula haina aja kubishana..everything has been presented and verified ukame pia iko tanzania so wacheni kua na midomo refu ati tanzania hakuna njaa!!!!
A third world country who still believes in witchcrafts and Sorcery😬😬
Screenshot_20200925-181747_1601047108645.jpg
 
summary of all my post tanzania bado mko na njaa ya chakula haina aja kubishana..everything has been presented and verified ukame pia iko tanzania so wacheni kua na midomo refu ati tanzania hakuna njaa!!!!

Malizia summary yako kwa kuonesha Tanzania ikipokea food aid sababu ya njaa
 
Everyone in Tanzanian know that Kenya is the giant in this region and then followed by Ethiopia. Hawa was huku jf their low IQ can`t allow them to think straight.
Giant in failing to pay health workers
 
kwa njaa na misifa ni kweli kunya ni ma-giant wa East africa
 
summary of all my post tanzania bado mko na njaa ya chakula haina aja kubishana..everything has been presented and verified ukame pia iko tanzania so wacheni kua na midomo refu ati tanzania hakuna njaa!!!!
Hahahaha Tanzania ikiwa na njaa Kenya nzima itakua ndani ya kaburi miaka 100 iliopita
 
Tanzania ni nchi kubwa kwa uchawi, omba omba, kuuza dawa za kulevya na umaskini.
Niujinga umekujaa au njaa imekuzidi....mbana siwaoni hapo mkituzidi[emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Screenshot_20200604-102538.jpg
 
Back
Top Bottom