Tanzanian Muslims strip to protest detention without trial

Tanzanian Muslims strip to protest detention without trial

Nadhani wewe umeanza kulisoma leo gazeti hilo. Hata kama kinachoongelewa kina ukweli ndani. Soma zaidi hilo gazeti ndani yake. Utakuta kuna chembechembe zenye lengo la kuichafua Tanzania. Issue siyo contents bali ni context ya gazeti. Soma vizuri na ufuatilie gazeti lenyewe.
4ccbf87379488714638d9d835007a2b8.jpg
 
Watz siku hizi akili zenu zimegeuka zikawa kinyumbunyumbu vile. Yaani mnasoma habari kisha mnanza kulialia kuhusu gazeti za Kenya. Hakuna anayebisha kuhusu uhalisia wa habari yenyewe. Hakuna anayesema kuna dhuluma inaendelea au hamna. Mnaruka na kuanza kutuonyesha sijui Kenya inavodhulumu waislamu. Hapo nabaki nikijiuliza WTF? Kuna shida mahali.
 
Tanzania ni nchi ya ajabu sana hivi maajuzi wamemfungia mwanadada flani kupost chochote kwenye Instagram yake ati kwa kuwa alipost picha za utupu

Si bora huyo, je yule ninyi mliyemvua nguo ndo mnaona mlimtendea haki?
 
Si bora huyo, je yule ninyi mliyemvua nguo ndo mnaona mlimtendea haki?

Kuna tofauti kubwa sana baina ya mob justice barabarani na sera ya serikali, kwa kifupi serikali haiwezi kubadilika na kuwa kama wavaa milegezo wa mtaani na kubuni sera kiholela.
PR spinners wa Bongo huwa mnatia huruma, sio kila kitu kinaendana.
 
Kuna tofauti kubwa sana baina ya mob justice barabarani na sera ya serikali, kwa kifupi serikali haiwezi kubadilika na kuwa kama wavaa milegezo wa mtaani na kubuni sera kiholela.
PR spinners wa Bongo huwa mnatia huruma, sio kila kitu kinaendana.
Hujajibu swali, mlimtendea haki?
 
Magazeti yenyu hayana Uhuru kwa kuogopa kufungwa na magufuli...sasa habari kama hizi mnazitupilia chini ya carpet. Bahati dunia ya sasa si lazma uwe on ground ndo upate habari........hivi najaribu kuimagine serikali ya Kenya imeagiza kufungwa kwa daily nation au standard [emoji23] [emoji23]





Tanzania ni nchi ya ajabu sana hivi maajuzi wamemfungia mwanadada flani kupost chochote kwenye Instagram yake ati kwa kuwa alipost picha za utupu
Jamaa amekupa jubu hapa chini

[emoji116] [emoji116] [emoji116] [emoji116] [emoji116] [emoji116] [emoji116]
Heri huku wako kwenye mikono salama na haki itatendeka one day.

GOK imeua mashehe wangapi Mombasa kwa kuwatuhumu tu kuwa wanashirikiana na Al shabaab?

Mohammed Idris,Aboud Rogo,Makaburi wote walipigwa shaba tena hawakuwa hata na fimbo mkononi vipi kuhusu vijana wakiislamu wasio hata na address wameuwawa wangapi?

Wakenya mno mambo mengi mno ya kujadili kuhusu mustakabali wenu kuliko hizi ligi za NANI MTANI JEMBE?
Mkuu, umesema ukweli mtupu, sio kumaliza mashehe tuu, GoK inamaliza hata uchumi wa pwani.
 
Kuna tofauti kubwa sana baina ya mob justice barabarani na sera ya serikali, kwa kifupi serikali haiwezi kubadilika na kuwa kama wavaa milegezo wa mtaani na kubuni sera kiholela.
PR spinners wa Bongo huwa mnatia huruma, sio kila kitu kinaendana.

Kuna kile kikosi Kenya kazi yake ni kula sahani moja Waislamu. Walikuwa wana vaa nguo nyeusi tuu na kutumia magari ya kiraia.
 
Back
Top Bottom