Tanzanian President John Magufuli expected in the country Monday


Hayo hayo uliyoyataja!........kalb wahed!
 
Yeah... mnakula albino juu mnaamini wana wapea pesa!!....sawa jibambe
Povu tayari limeshaanza kukutoka.
Tunaongelea kuongea lugha ya waingereza mbona sasa unaanza kupayuka payuka kama kichwa chako hakina ubongo!!!?
 
Et free country ilhali hela ya bajeti tu,shida ni MSAADA KUTOKA KWA HAO WAZUNGU /MALKIA mnaowaponda humu
Tuambie Tanzania inajisimamia bajeti yake kwa asilimia ngapi?
Shenzi type!
 
....@Annael....You are such a loser....You talk as if you know anything really!!....Just forget about this story you are not helping yourself a minute....Just do something better with yourself
 
Hayo hayo uliyoyataja!........kalb wahed!
Nimekupa mtihani mdogo tu nioneshe matunda ya nchi yako ya kenya. Nchi maskini raia zake wamemezeshwa propaganda za kuwa wao ni rich.

Kama vipi uliza matunda ya nchi ya ahadi hapa Africa Tanzania, nami nitakuonesha na kukufumbua macho.
 
Povu tayari limeshaanza kukutoka.
Tunaongelea kuongea lugha ya waingereza mbona sasa unaanza kupayuka payuka kama kichwa chako hakina ubongo!!!?

SAHIHI YAKO/ SIGNATURE (ME. I AM THE GOD)ni kwa kiingereza, mbona mnafik wa kupindukia dogo?......tatizo nini?
Afu hata kingereza chenyewe haukijui....sasa"ME I AM GOD" ndio nini hiyo?
 
SAHIHI YAKO/ SIGNATURE (ME. I AM THE GOD)ni kwa kiingereza, mbona mnafik wa kupindukia dogo?......tatizo nini?
Afu hata kingereza chenyewe haukijui....sasa"ME I AM GOD" ndio nini hiyo?
Sasa umejuaje kama ni kingereza kama hujui maana yake!!!?

Mbona uwezo wako wa kutafakari ni mdogo sana?
 
Sasa umejuaje kama ni kingereza kama hujui maana yake!!!?

Mbona uwezo wako wa kutafakari ni mdogo sana?

Nishakuambia wewe ni zumbekuku tu!

Hamna kitu kama hicho dogo ,hukijui kiingereza shenzi wewe!

Nafikiri tatizo ni wale walimu wa Rwanda mliowaajiri wakawafunzeni kiingereza ...tehehehe!
 


Kenya has imported more than $6.6 million’s worth of maize from Tanzania and Uganda in the past one month amid claims of contamination of its own maize in government stores, as a result of which the retail price of a 2kg packet has risen by $0.15 in the past three months.

This development comes barely three months after Kenya and Uganda sold more than 10,000 tonnes to Tanzania to help fight starvation in neighbouring Malawi.

READ: Kenya turns down maize buy request from drought-hit Malawi

WE BUY WITH CASH $$$$$................
SECRET:....WE BUY CHEAPLY AT THROW AWAY PRICE FROM YOU PEASANT FARMERS,THE UNHCR AND WFPBUYS FROM US THEN WE TRANSPORT TO WAR ZONES AS FAR AS SOUTH SUDAN,ERITREA AND SOMALIA.....IN SHORT WE SOURCE.
We make 3 times the $$$$.........who is smarter????

Nawaambieni hampo ligi yetu nyie!
 
Nishakuambia wewe ni zumbekuku tu!

Hamna kitu kama hicho dogo ,hukijui kiingereza shenzi wewe!

Nafikiri tatizo ni wale walimu wa Rwanda mliowaajiri wakawafunzeni kiingereza ...tehehehe!
Kwikwikwi. Navyokuona kwa mbali umejaa mapovu mdomoni.

Sasa nimekuuliza swali fupi tu. Umejuaje kuwa hicho ni kingereza?
Mbona unajiteKENYA na kucheka mwenyewe.

Acheni kutumiwa na wazungu kama toilet paper bana.

Huwezi ukajisifia Lugha ya kizungu na kuiponda lugha yako ya kiswahili. Vipi wewe!!
Kuongea kingereza au kuandika kingereza hainamaana kwamba unachukia lugha yako.
Lakini inapofika unaiponda lugha yako hapa kunakuwa na ulakini. Kwamba huenda wewe bado ni mtumwa wa fikra au wewe ni limbukeni.
 
Sina mda wa kupoteza na litoto hili.........kawatafute waganda/wanyarwanda.....ama wamalawi huenda mkaendana , hao mpo ligi moja!
Acha nkawatafute wa Ethiopia na wasomali wenzangu mie!
Goodbye!
 
Maskini akipata matako hulia mbwata. Ni kama nyie maskini kutoka kenya.
Mmeshakula sasa mmeshiba. Wakati mnalia lia kwamba tuwape msaada wa chakula mlikuwa mnapiga magoti.

Mmeshiba sasa mnatoa ufyuzi. Tumewapa mahindi kama ndugu zetu kwa bei chee ili msife. Sasa mnaaza kupayuka baada ya kusiba.
 
[emoji16] [emoji16] [emoji16] [emoji16]
How can u do that wakati hundreds of thousands Kenyans are dying of hunger as we speak.
Pitia hapa.
m.dw.com/en/hundreds-of-thousands-face-hunger-in-kenya/a-19345933

In fact HUNGER is Kenya's traditional enemy. Wazee wa middle income country [emoji3] [emoji3] [emoji3]
 
Wacha galana iishe ndio utaona waTZ watakavyo teseka

Agric produce zao market ni kenya galana ikikamilika kenya haita hitaji maindi yao tena ....mtaona watu na Tents kwa kenyan highways wakizunguka na Magunia za maindi wakijaribu kusmamisha mkenya yeyote anunue maindi for just 200/- a bag 90kgs Galana inakuja ....mtatii vitu zitakapo anza kuozea shambani!!
 
Apa EAC kuna nchi inayoweza kutengeneza budget kwa kutumia vyanzo vya ndani tu bila kutegemea misaada nchi zingne?????
Tz tunauwezo wa kujitegemea kwa sio zaidi ya 60% vipi kuhusu apo Kenya ???
 
Apa EAC kuna nchi inayoweza kutengeneza budget kwa kutumia vyanzo vya ndani tu bila kutegemea misaada nchi zingne?????
Tz tunauwezo wa kujitegemea kwa sio zaidi ya 60% vipi kuhusu apo Kenya ???
Kwa sasa ni 80% mkuu! Nadhani by 2025 itakuwa ni 100%
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…