Tanzanian President John Magufuli expected in the country Monday

Tanzanian President John Magufuli expected in the country Monday

Kenya has imported more than $6.6 million’s worth of maize from Tanzania and Uganda in the past one month amid claims of contamination of its own maize in government stores, as a result of which the retail price of a 2kg packet has risen by $0.15 in the past three months.

This development comes barely three months after Kenya and Uganda sold more than 10,000 tonnes to Tanzania to help fight starvation in neighbouring Malawi.

READ: Kenya turns down maize buy request from drought-hit Malawi

WE BUY WITH CASH $$$$$................
SECRET:....WE BUY CHEAPLY AT THROW AWAY PRICE FROM YOU PEASANT FARMERS,THE UNHCR AND WFPBUYS FROM US THEN WE TRANSPORT TO WAR ZONES AS FAR AS SOUTH SUDAN,ERITREA AND SOMALIA.....IN SHORT WE SOURCE.
We make 3 times the $$$$.........who is smarter????

Nawaambieni hampo ligi yetu nyie!
Waambie ukweli hawa mazombie Nyangau hataki ujinga mse!!

Tunanunua maize bags 90kgs toka TZ at 700/- wholesale price kwa uwingi alafu tuna kuja tuna saga tunaiuzia UN WFP ETC ilo ziende somalia sudan eritrea etc pia tuna deploy uko ku prolong war ....ilobiashara izidi
1477811810949.jpg
1477811835305.jpg
1477811850625.jpg



Mtaisoma number
 
[emoji16] [emoji16] [emoji16] [emoji16]
How can u do that wakati hundreds of thousands Kenyans are dying of hunger as we speak.
Pitia hapa.
m.dw.com/en/hundreds-of-thousands-face-hunger-in-kenya/a-19345933

In fact HUNGER is Kenya's traditional enemy. Wazee wa middle income country [emoji3] [emoji3] [emoji3]
1477811976301.png
 
Apa EAC kuna nchi inayoweza kutengeneza budget kwa kutumia vyanzo vya ndani tu bila kutegemea misaada nchi zingne?????
Tz tunauwezo wa kujitegemea kwa sio zaidi ya 60% vipi kuhusu apo Kenya ???
Kenya toka 2011 hatujapata msaada
 
IMHO I don't think this is a right time for JPM to visit Kenya! Especially looking at the attitude demonstrated by Uhuru after losing a regional pipeline deal n recently on EPA! I wonder who advices JPM? That corrupt Uhuru will try to use the visit to garner more support towards the 2017 election!
 
Kenya toka 2011 hatujapata msaada
Wewe inaonekana uwezo wako ni mdogo sana. Ila umepata bahati ya kujua kutumia mtandao basi.

Hayo mambo nenda kawadanganye kijijini kwenu sio hapa kwa watu wenye uwezo mkubwa wa kudadavua mambo.

Unajiaibisha sana na kuwavua nguo wakenya wote waonekane kichwani empty kama wewe.

Hivi misaada ya msosi mnayopata kutoka mashirika ya misaada duniani huo sio msaada.
Kwikwikwikwi.
 
Wacha hasira, kama huwezi kuhimili majadiliano humu ndani bora unapita kimya. Dunia siku hizi kijiji, watu wanayajua mambo ya kila nchi ndani ya sekunde mbili. Leo hii tunajadili siasa za Wamarekani hata zaidi yao wenyewe. Sasa wewe ukijitia presha kisa Magu wako ameanikwa kimataifa utaumwa bure.

Mimi nilikua namjibu mwenzio ambaye amesema tutapiga selfie nyingi na Magu ili kumshobokea, nikamwambia itategemea na nani. Wale tunaojihabarisha mambo ya dunia hii hatuwezi poteza muda huo maana tunajua na kuona huko anakotoka mnavyolalamika.

Yeye aje kibiashara na tutamkaribisha tena sana maana nchi zetu hizi zinahusiana pakubwa kibiashara. Sisi ni majirani na tumeunganishwa kwenye kiuno, hata aje rais yupi haitokua rahisi kuvunja huu uhusiano. Tena alivyo rais wa maamuzi ya haraka anaweza kuibuka na kauli za kuboresha zaidi mahusiano.

Lakini hayo ya kuetegemea tumshobokee na kujikombakomba labda wale Wakenya wasio na muda wa kujihabarisha, lakini sio wengine kama mimi.

endelea kujidanganya, Magu anafahamika dunua zima kwa mambo makubwa anayoyafanya, ww hata ukibeza haiathiri chochote. hao unaoita wanalalamika ni wale wanaoendekeza siasa, ila ukweli unajulikana dunia yote. najua kwanini unambeza Magu.
 
Kenya ni lower income middle country lazima wasaidiwe tu. ....upper middle income wenyewe wanasaidiwa itakua ninyi ambao still mnarundo la watu masikini na majanga ya njaa ??
 
facebook page ya kenyatta uone watanzania kila siku wanafungua roho zao hapo na utendakazi wa uhuru..... kila siku utaina watu kutoka mozambique, ghana, namibia wanajazana hapo wakipongeza....... we inaonekana ni mara ya kwanza kuona rais wako akiongelewa nchi nyengine... huku hilo ni jambo la kawaida sana, usiwache iingie kwa akili yako, utakua unajidanganya bure tu..... huyo magu wenu, akipewa uongozi hapa kenya hatakaa hata miezi miwili, akifunga stesheni moja au apinge upinzani kukusanyika mahali flani, hakutakalika, hakuna biashara yoyote itasonga mbele,....... wakenya wanapenda vile anapambana na ufisadi, lakini hicho pekee ndo kitu wanachopenda, hayo mengine awafanyiayo tunawaonea huruma sana, poleni sana kwa kupelekwa kama vitoto vidogo vya shule na JPM ndie mwalimu mkuu
Daah umepiga ikulu mkuu.
 
Tunakusanya tshstrillion 15 kwa mwaka kama sikosei katika taarifa za tra na budget ilikua 29trillion au kuna vyanzo mbadala??

Sent from my SM-J200H using JamiiForums mobile app
Mkuu hiyo 29trillion inajumuisha pesa za mikopo toka vyanzo vingine ambazo huwezi jumlisha kwenye makusanyo ya ndani.
 
IMHO I don't think this is a right time for JPM to visit Kenya! Especially looking at the attitude demonstrated by Uhuru after losing a regional pipeline deal n recently on EPA! I wonder who advices JPM? That corrupt Uhuru will try to use the visit to garner more support towards the 2017 election!
Hahaha sasa wewe wajua right time? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom