Tanzanian socialite, Mange Kimambi apewa talaka rasmi

lemutuz anajisifia alivyongea na watu wa IT rwanda na kuhack instagram ya mange. na pia makonda kaenda usa kwa shuguli maalum.......huyu kubwa jingi jana hiyo hiyo akawa anatamba anaenda SA kupata ujuzi zaidi ya kumnasa mange. lemutuz growup
 
lemutuz anajisifia alivyongea na watu wa IT rwanda na kuhack instagram ya mange. na pia makonda kaenda usa kwa shuguli maalum.......huyu kubwa jingi jana hiyo hiyo akawa anatamba anaenda SA kupata ujuzi zaidi ya kumnasa mange. lemutuz growup
Mmmmmh naaanza kupata ukakasi hilo LA makonda kwenda Kwa shughuli maalumu lina mashaka na uelewa wa makonda pia kwani naelewa watu wa shughuli maalumu hata huwezi kujua
 
Pole sana hata misemo hauijui vizuri. Mwaka huu mchungu kwa role model wako,just wait and watch.
Hata wahenga walisema polepole sio mwendo na chelewa chelewa utakuta mwana si wako.
 
Ndo kesha uwawa hivyo 🤮 na wote ni mavumbi sasa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…