Tanzanian socialite, Mange Kimambi apewa talaka rasmi

Tanzanian socialite, Mange Kimambi apewa talaka rasmi

Tusimuombee mabaya dada yetu.Tumpe faraja na moyo wa ujasiri.Apambane zaidi
Hatupati chochote kwa matatizo yake.
 
Nimefurah kupita maelezo maana Yule dada kwa kujishaua Na kutukana watu, bora abaki hukohuko maana anavyo mponda magufuli uwiiiiiiiii yangu macho
 
MANGE KASHARUD WAPENDWA ASANTEN KWA MAOMBI YENU. Ngoja ntafute popcorn zilipo maana cjui kuna mabomu gan Leo.
 
Tusimuombee mabaya dada yetu.Tumpe faraja na moyo wa ujasiri.Apambane zaidi
Hatupati chochote kwa matatizo yake.
Dada yako huyo, wacha ufala wewe dada yako wewe labda wa Instagram. Sio yetu pumbavu
 
Back
Top Bottom