[emoji23] [emoji23] [emoji23]Sisi wa huku ushetu hatuwezi kuelewa hii habari.
Ndio nani huyo??
Sisi huku tunamfahamu Zari tu.!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23] [emoji23] [emoji23]Sisi wa huku ushetu hatuwezi kuelewa hii habari.
Ndio nani huyo??
Sisi huku tunamfahamu Zari tu.!
Kukaa nje si kujua kizungu. Na kizungu cha kuongea, ni tofauti na cha kuandika!Kama ni kweli huyo mwandishi kakaa nje bado sana english yako bado kabisa jitahid kupitia dictionary vizuri
Alivyokua anamsema Mke wa makonda doh.. She has cause so much pain kwa watu.. Ivi yule mama alimfanyiaga nn..
She's bacccccccccccccccck.Nimefurah kupita maelezo maana Yule dada kwa kujishaua Na kutukana watu, bora abaki hukohuko maana anavyo mponda magufuli uwiiiiiiiii yangu macho
Dada yako huyo, wacha ufala wewe dada yako wewe labda wa Instagram. Sio yetu pumbavuTusimuombee mabaya dada yetu.Tumpe faraja na moyo wa ujasiri.Apambane zaidi
Hatupati chochote kwa matatizo yake.
MANGE KASHARUD WAPENDWA ASANTEN KWA MAOMBI YENU. Ngoja ntafute popcorn zilipo maana cjui kuna mabomu gan Leo.
Ajabu sio talaka mambo yake ndo ajabiCha ajabu ni nini sasa??
Kwani yeye ndio mwanamke wa kwanza duniani kupokea au kutoa talaka?
You wishMANGE KASHARUD WAPENDWA ASANTEN KWA MAOMBI YENU. Ngoja ntafute popcorn zilipo maana cjui kuna mabomu gan Leo.
Sasa si ndowamekujahii ni post ya mwaka jana ilikosa wachangiaji
Hata wahenga walisema polepole sio mwendo na chelewa chelewa utakuta mwana si wako.Attention seeker
sasa wale wapinzani wake washaanza kushangilia wakijua ndoa ndo ishavunjikaSasa si ndowamekuja