KING KIGODA
JF-Expert Member
- Dec 28, 2018
- 3,893
- 3,145
Nswalu ndiyo jina lake.Ni mlenda uliokaushwa na kusagwa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nswalu ndiyo jina lake.Ni mlenda uliokaushwa na kusagwa.
Ntalali/Nsungwi.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji122][emoji122][emoji122][emoji122]
Kwa wale wasiyofahamu,hivyo ni viazi vitamu vinavyo hifadhiwa kwa njia mbili.Picha ya kwanza ni viazi vibichi vilivyu katwa katika hali ya vipande bapa na kukaushwa kwa jua(MICHEMBE AU MAKEWE).Picha namba tatu, maandalizi yanafana kiatua naya picha namba 1,ila tofauti ni hapa viazi vinachemshwa kwanza kisha ndiyo vikatwa na kuanikwa(MATOWOLWA AU MATOVOLWA).
Mkoa gani au kabila gani wanayaita kwa jina hilo?Ntalali/Nsungwi.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji122][emoji122][emoji122][emoji122]
Safi kabisa mkuu, kwa kujua vyakula vya asili yako.Nswalu ndiyo jina lake.Ni mlenda uliokaushwa na kusagwa.View attachment 2711744
Nakubaliana nawe kwa asilimia 100 ni kweli chanzo cha magonjwa mengi yasiyo ya kuambukiza ikiwemo magonjwa yanayosababishwa na uzito uliopitiliza, BP, kisukari, kansa, n.k nimatokeo ya ulaji wa vyakula vya mafuta, sukari nyingi za viwandani, chumvi nyingi, kemikali na mitindo mibovu ya maisha, tunatakiwa kuishi sehemu fulani ya maisha yetu kiasili na kuenzi vyakula vya kijadi hili kurejesha nuru ya afya zetu ambayo imepotezwa na ukisasa.Vyakula vya mijini zaidi na kiafya havipo vizuri kwa sababu ya mafuta mengi.
Umekuwa mtu wa kwanza kwenye uzi huu kuutambua ugali huu, tafadhali tuelezee kama unafahamu maandalizi yake mpaka kupelekea muhogo huo kuwa na rangi hiyo, pia unaweza kututanabaisha ugali huu ni maarufu kwa wenyeji wa mkoa gani.Muhogo huo kijana.
Vitu roho inapenda
Ntalala ni kwa wanyamwezi Tabora na Nsugwi ni kwa wasukuma Mwanza.Mkoa gani au kabila gani wanayaita kwa jina hilo?
MATOWOLWA asili ya utengenezaji wake ni mkoa wa Tabora hasa wilaya ya Sikonge.Ni njia iliyotumiwa tangu zamani na wahenga wa mkoa huo ikiwa ni njia ya kuhifadhi chakula kwa muda mrefu.Matowolwa uweza kuhifadhika kwa miaka hata zaidi ya mitatu bila ya kuharibika wala kubunguliwa.Na ndiyo njia bora zaidi inayokuwezesha kuhifadhi zao la viazi vitamu kwa muda mrefu zaidi.Asante sana mkuu huwezi amini hata mie ufahamu huo sikuwa nao juu ya tofauti za uandaaji wa viazi hivi pendwa na majina yake, mie nilikuwa najua kuwa vyote huitwa michembe,
Pili kama unafahamu historia ya makabila au asili ya ukataji au uchongaji huu wa viazi vitamu ulipoanzia na kwanini wavumbuzi walivutiwa kufanya hivyo, unaweza share nasi hapa tujifunze.
Haswa!Upo sahihi mkuu.Nakubaliana nawe kwa asilimia 100 ni kweli chanzo cha magonjwa mengi yasiyo ya kuambukiza ikiwemo magonjwa yanayosababishwa na uzito uliopitiliza, BP, kisukari, kansa, n.k nimatokeo ya ulaji wa vyakula vya mafuta, sukari nyingi za viwandani, chumvi nyingi, kemikali na mitindo mibovu ya maisha, tunatakiwa kuishi sehemu fulani ya maisha yetu kiasili na kuenzi vyakula vya kijadi hili kurejesha nuru ya afya zetu ambayo imepotezwa na ukisasa.
Mmmh!Hii imekaa poa sana.