Tanzanian traditional local foods

Tanzanian traditional local foods

Kwa hizi magimbi, maboga, mamung'unya, mahindi ya kuchemsha kuna mavijana yanweza yakadhani meza imejaa vifaa vya ujenzi...[emoji13]
Halafu mwisho wa siku wanakazana kushindilia vikombe vya alikasusu na vumbi la kongo kumbe tiba ni kula vyakula vya kiumeni, maana mkufu ukishalala hausimami hata ulishwe pweza.[emoji23]
 
Huu msosi mashuzi yake ni kama mabomu ya Taliban....[emoji13] lakini ni msosi wenye afya sana, mavijana yangekula hizi food bilashaka mkongo dast usinge pata soko huku Tanganyika [emoji5]
Kabisa
 
Mkuu..... huku Ibologelo, hii sambusa na mchuzi mix sijawahi kuiona walahi...[emoji2955]
Inaonekana huko makini sana mkuu na lengo la uzi, ni kweli kuna baadhi ya vyakula vichache nimetia udambwi udambwi lakini siyo vya asili ya jamii yetu ila ni kwa kuwa vinapendwa sana na vina walaji wengi ndiyo maana nikavitia pia humu.
 
Napenda sana vyakula asili basi tu nilipo kuvipata ni kipengele, majiji makubwa hayana hizo vitu vya asili kwa wingi km huko vijijini, nikienda home msosi unakuwa hivi, na huwa natangaza kabisa sigusi ngano

asubuhi viazi vitamu/mihogo/magimbi/maboga ya kuchemsha kwa chai yenye mchai chai na mdalasini au tangawizi, ama maziwa mgando,
mchana ni ugali nyama choma, dagaa nk ama ndizi zile zipikwe kienyeji, na mboga za majani zilizochemshwa tu na chumvi matunda ama juice,

Usiku wali/ndizi/makande maharage, samaki mchemsho tu, nk na huwa najisikia kurudisha uhai,

Hata maji ya home yapo tofauti na haya ya huku, kwakweli ni mateso
 
Kuna vyakula ni popular mfano biryani, sambusa au chipsi n.k lakini kiasili unakuta ni vya kutoka mataifa mengine, lakini unapozungumzia vyakula vinavyopendwa lazima uvitaje kwa kuwa nje ya vile vyakula vya asili mlaji bado ategemee kukutana navyo mtaani pindi akitembelea nchi yetu, pili kitendo cha jamii kutumia kila mara aina fulani ya chakula hata kama si cha asili kwa kipindi kirefu ukifanya chakula hicho kuwa sehemu ya tamaduni yetu.
 
Mpk sasa sijaona mtori...
MTORI (Banana soup)

Wachagga mpo!!?
Screenshot_20230526-222128~2.jpg
Screenshot_20230526-222144~2.jpg
Screenshot_20230526-222238~2.jpg
Screenshot_20230526-222226~2.jpg
Screenshot_20230526-222238~2.jpg
Screenshot_20230526-222419~2.jpg
Screenshot_20230526-222412~2.jpg
 
Napenda sana vyakula asili basi tu nilipo kuvipata ni kipengele, majiji makubwa hayana hizo vitu vya asili kwa wingi km huko vijijini, nikienda home msosi unakuwa hivi, na huwa natangaza kabisa sigusi ngano

asubuhi viazi vitamu/mihogo/magimbi/maboga ya kuchemsha kwa chai yenye mchai chai na mdalasini au tangawizi, ama maziwa mgando,
mchana ni ugali nyama choma, dagaa nk ama ndizi zile zipikwe kienyeji, na mboga za majani zilizochemshwa tu na chumvi matunda ama juice,

Usiku wali/ndizi/makande maharage, samaki mchemsho tu, nk na huwa najisikia kurudisha uhai,

Hata maji ya home yapo tofauti na haya ya huku, kwakweli ni mateso

Safi sana!
FB_IMG_16851371860740304.jpg
FB_IMG_16851321676643702.jpg
FB_IMG_16851322016157394.jpg
FB_IMG_16851321471745627.jpg
FB_IMG_16851321401242121.jpg
FB_IMG_16851342955638667.jpg
 
Back
Top Bottom