Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ugali unadumaza akili na unasababisha magonjwa yasiyo ya kuambukiza, kiriba tumbo etc
Yote hayo ni junk foodzVipi kuhusu Mbute, Makopa, Mchembe na Matobolwa...??
angalia avator yangu hiyo picha ni ugali wa asili tuupendao, tena unashibisha ukila asubuhi mpaka jioni. Ni ugali unaoshauriwa utumiwe na wenye kisukari pia. Ugali wa uwele shikamooDunia ya leo watu wengi ufanya utalii wa ndani au wa nje ya nchi zao si kwa ajili ya vivutio vya asili vya mazingira na majengo tu bali kwa ajili ya kufurahia utalii wa vyakula vya asili na tamaduni za jamii mbalimbali.
Kama watanzania ni fursa kwetu pia kutangaza na kujivunia vyakula vyetu vya asili na vya kitamaduni, kwani Tanzania tumejaaliwa sana kuwa na vyakula vingi vya asili na vyenye ladha nzuri pengine kuliko nchi yeyote ile barani Afrika, ningeomba kupitia uzi huu yeyote yule mwenye picha nzuri ya chakula cha asili cha kitanzania na jina la chakula chenyewe iwe ni kiswahili au kikabila asisite kutupia hapa hili tusaidiane katika kuutangaza utamaduni wetu.
Kwahiyo mkuu, hivyo vyakula vya mizizi pia ni Janki fudi sijui ndio mnaita Jacky food...🤔Yote hayo ni junk foodz
Viazi vitamu, magimbi, viazi vikuu, siyo junk foodKwahiyo mkuu, hivyo vyakula vya mizizi pia ni Janki fudi sijui ndio mnaita Jacky food...🤔
Dah! Sasa kwa kuwa wazungu wanatumia mazao hayo katika kulishia mifugo yao kama sisi tusivyo thamini mende au konokono Je, hiyo inatosha kujustify kuwa siyo vyakula bora kwa mchina?Pamoja na ugali kupendwa sana kwa baadhi ya nchi za Africa, lakini siyo chakula cha kuliwa na binadamu.
Ieleweke kwamba Mahindi, mtama, uwele, etc ni kwa ajili ya kulisha ngombe, kuku na nguruwe.
Asante mkuu kwa kuthamini utanzania na kujivunia uafrika wako.angalia avator yangu hiyo picha ni ugali wa asili tuupendao, tena unashibisha ukila asubuhi mpaka jioni. Ni ugali unaoshauriwa utumiwe na wenye kisukari pia. Ugali wa uwele shikamoo
Leta ushahidi wa kisayansi uliyothibitishwa na kupitishwa na mamlaka husika za afya na chakula juu ya madai yako.Ugali unadumaza akili na unasababisha magonjwa yasiyo ya kuambukiza, kiriba tumbo etc
Ebu tunaomba uusogeze hapa mezani ukiweza hili tuushuhudie ulivyoUgali wetu mweusi wa utegi sijauona. Nakata rufaa.
Sasa nilitaja Mbute, Makopa, Matobolwa na Michembe.. ndipo ukasema wewe kwamba hizo zote zipo kwenye kundi la Juck food mkuu...😊Viazi vitamu, magimbi, viazi vikuu, siyo junk food
Vimenikuza na kunilea hivi.
Dah, Matobolwa ni Matamu sana.Vipi kuhusu Mbute, Makopa, Mchembe na Matobolwa...??
[emoji23]Hii ngoma inaongoza kwa kuwa na wafuasi wengi kuliko inavyodhaniwa..ushauri kwa serikali waanzishe tozo kwa kitoweo pendwa[emoji125][emoji125][emoji125]Kwa mlo huu, kumbe nihaki kabisa kuikata faru joni mani aloni...[emoji39]
Kijana wa .sio.tz akikutana na Matobolwa atabeti kwamba ni kokoto...🤣🤣Dah, Matobolwa ni Matamu sana.
Huyo hajawahi kula hayo.Kijana wa .sio.tz akikutana na Matobolwa atabeti kwamba ni kokoto...🤣🤣
Muache Chipsi wa watu anavyopendwa yale si mapenzi bali mahabaMkuu, ebu acha kuwasimanga wanaume wa Daslam...[emoji1787]