antimatter
JF-Expert Member
- Feb 26, 2017
- 47,274
- 126,778
Hii nyeusi tii sijawahi kuona, ni mtama, au😁
👇
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hii nyeusi tii sijawahi kuona, ni mtama, au😁
Eeh viko vingiAsante, leo ndipo nimeiona kumbe kuna vyakula vingi mno hatuvifahamu.
Lenie njoo ukazieNdizi kaanga na nyama chomaView attachment 2635480View attachment 2635481
[emoji23] Nina picha nyingi na nazipost haraka hivyo siku-notisi hilo, mawazo yangu yalikuwa kwenye kuongelea ndizi..kumradhi member wa chakula chetu pendwa[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Eti nyama choma, sema " kitimoto", mbona unaionea aibu mboga aisee
Hata mimi sifahamu, hope waje wenyeji wenye chakula chao watupe mrejesho.
Hahaha..Ngoma hiyo hapo kwenye kibakuli..kionjo pendwa cha mamura kule kanda maalumu [emoji23]View attachment 2635492
Asante sana kwa picha nzuri hizi. Ila hapo kwenye ugaliwenye rangi ya kijani iloyoiva Sana nimepita kapa.
My wetu huyo 😋Nyieeee nyie 😍😍
Nakaziaaaa
Kitumbua ukigonga mixer na maharage, basi we siku nzima nikunywa maji tu kama nyoka..[emoji23]