Tanzanian traditional local foods

Tanzanian traditional local foods

[emoji23][emoji1787]
FB_IMG_17039203235514859.jpg
FB_IMG_17035723570623737.jpg
FB_IMG_17040309546659723.jpg
FB_IMG_17032382938322711.jpg
 
ni wakali acha tuu ni kitoweo kizuri ila ukijichanganya kwao unakuwa kitoweo
Piranha,kuna siku walitafuna watu beach wanakula mbususu na pumbu.
Beach party ikageuka dimbwi la damu.
Wapo amazon sea,sasa wale watalii sijui walikua wapi wakavagamuana nao
Walitafunwa mpk walikoma.
 
Piranha,kuna siku walitafuna watu beach wanakula mbususu na pumbu.
Beach party ikageuka dimbwi la damu.
Wapo amazon sea,sasa wale watalii sijui walikua wapi wakavagamuana nao
Walitafunwa mpk walikoma.
hio movie ilinifanya niogope kuogelea sehemu nisizozijua vizuri paka leo nliona kichwa cha dushe kikielea kwenye maji haahaa
 
Nataka kuona wangapi wanajua majina ya viungo..

(Hiliki, karafuu, uwatu, giligilani, binzari nyembamba,staranise, pilipili nyekundu, tangawizi, zabibu kavu)
FB_IMG_17061924078522734.jpg
 
Back
Top Bottom