Labda walikuwa wanakuja nairobi...sisi si tunapanda precison au Kq kuja nairobi .au ulitaka twende addis ndo tushuke nairobiKuna mnigeria, mtogo, mjerumani etc so wamaanisha hakuna ndege ya Addis-Lagos??? Kuna hadi Mozambique Kuna mmoja na Kuna direct flights to maputo
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23][emoji23]Msimu wa Kilimo huu sio wa kuranda randa hewani
Hehe Buda Tanzanians hadi president hukaa Tz Sana Sana.. Si watu wa kutravelLabda walikuwa wanakuja nairobi...sisi si tunapanda precison au Kq kuja nairobi .au ulitaka twende addis ndo tushuke nairobi
Sent using Jamii Forums mobile app
Na jee mrwanda na bunganda?.. Hakuna direct flights to Kampala na Kigali???.. Buda bossHuyo Mnaija yawezekana anatoka Nigeria kwenda Kenya. Sasa Mtanzania anayetaka kutoka hapa kwenda Kenya anatakiwa aende Ethiopia?
Na kuna watu kama mimi nilishajiapiza ni marufuku kupitia Nairobi kwa safari yangu ya nje, sipapendi kabisa Nairobi, ni wezi na hawana customer care, kuna siku nimepanda, kidogo niache na ndege ya kuunganisha bongo after coming from Schipol, then kuna siku nimepanda ndege kuja dar from Nairobi kulikuwa na inzi, li abiria lilikuwa linachati na simu as if vifo havituhusu. Pia wizi wa mizigo ukipita Nairobi ni nje njeEthiopian airlines inakuja mara mbili kwa siku Dar
Saa kumi asubuhi B737
Saa saba mchaba B787/B767
kilimanjaro Daily na Airbus A350 ..yes you read correct A350
Zanzibar daily B787/A350
Sasa kwann wa Tz tupitie nairobi tena na ethiopian
Mada yako haina kichwa wala miguu
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna Direct flight ya Ethiopian Airways inatua JNIA kila siku.
Sasa ya nini upande ya Jomo Kenyatta wakati ipo ya kuja nyumbani direct?
Wacha ujinga mmeanza conspiracy! Why should a Tanzanian fly to Dar, Kilimanjaro/Arusha or Zanzibar from Addis Ababa via Nairobi while there are daily direct flights to those destinations from Addis Ababa using dreamliner?
Na kuna watu kama mimi nilishajiapiza ni marufuku kupitia Nairobi kwa safari yangu ya nje, sipapendi kabisa Nairobi, ni wezi na hawana customer care, kuna siku nimepanda, kidogo niache na ndege ya kuunganisha bongo after coming from Schipol, then kuna siku nimepanda ndege kuja dar from Nairobi kulikuwa na inzi, li abiria lilikuwa linachati na simu as if vifo havituhusu. Pia wizi wa mizigo ukipita Nairobi ni nje nje
Poleni watu wa Hub ya East Africa. maana mnapenda kujitukuza mpaka ktk majanga ya vifo πππHehe Buda Tanzanians hadi president hukaa Tz Sana Sana.. Si watu wa kutravel
Sent using Jamii Forums mobile app
Canadians travel to Nairobi via Addis as there is no other less time consuming flight that connects Canada to Kenya aside Ethiopian airlines that goes there! U will be so stupid to think a Tanzanian traveller will choose flying from say Toronto in Canada to Addis then Nairobi before to Dar/Kilimanjaro/Zanzibar. While he can reach home from Addis straight! Sorry to ur Baba aliuza ng'ombe kupeleka ng'Ombe nyingine shule!Does that mean Tanzanians only travel 'to Tanzania'. They don't travel to other countries?
Ni kama kuuliza, why should a Canadian travel to Canada from Addis via Nairobi?
Are you assuming the Canadian was travelling back home and not Nairobi?
Canadians travel to Nairobi via Addis as there is no other less time consuming flight that connects Canada to Kenya aside Ethiopian airlines that goes there! U will be so stupid to think a Tanzanian traveller will choose flying from say Toronto in Canada to Addis then Nairobi before to Dar/Kilimanjaro/Zanzibar. While he can reach home from Addis straight! Sorry to ur Baba aliuza ng'ombe kupeleka ng'Ombe nyingine shule!
wiki ilopita kulikuwa ni habari ya msiba wa ruge kisha kibonde, ilikuwa kila kona ninhabari ya msiba ikawa very stressful period, mungu katuepusha hili tushukuru na kuwaombea wengine waliopatwa na msiba mungu awatulize katika kipindi hiki kigumu, pole sana kwaoHapa Kuna hadi Togo, Somalia, Uganda, Nigeria, Rwanda.. Yani kwa majirani wetu wote Tanzania pekee ndio hawapo... Nimeelewa kwa nini ATCL hubeba abiria wawili kutoka dar hadi Kampala.. Na abiria Hawa hukua Wananchi wa UgandaView attachment 1042850View attachment 1042851View attachment 1042852
Sent using Jamii Forums mobile app
ππππThere President has a phobia for flying what do expect of Wananchi???