Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nani amesema Nkurunzinza sio rais? Kwahivyo Jiwe anaiga sera za role model wake Nkurunzinza? [emoji1] Safi sana, hongera zake.Nae ni Mheshimiwa Rais, ujue hilo
Shida yake kwann hamna Mtanzania aliyekufa kwenye ajali?Msapere Unashida sanaa ndugu yetu, kwahiyo ata wa S.Africa, hawasafiri ?
What of Ugandans and rwandese dont they have direct flights to their respective cities wacha ushenzi my friendU r really stupid I didn't know u hav this shallow thinking! So u want a Tanzanian going to Addis to pass at Nairobi or a guy flying to any of the three destinations in Tanzania to go through Nairobi first! No wonder ET is transporting more Tanzanians plus tourists to Tanzania with this narrow mind that ommit a factor "convinient"!
kwa akili zako mtanzania gan apande ya EAL apitie nairob wakat kuna direct flight toka adis mpaka dsmHapa Kuna hadi Togo, Somalia, Uganda, Nigeria, Rwanda.. Yani kwa majirani wetu wote Tanzania pekee ndio hawapo... Nimeelewa kwa nini ATCL hubeba abiria wawili kutoka dar hadi Kampala.. Na abiria Hawa hukua Wananchi wa UgandaView attachment 1042850View attachment 1042851View attachment 1042852
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]mkuu hiounknown naomba tusiwe ss.Hiyo Unknown huwenda ndiyo sisi Watanzania.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] Kwetu sisi hali imekuwa ngumu tumeamua kutumia magari badala ya ndege.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]mkuu hiounknown naomba tusiwe ss.
Isije Sadiki watu wasiojulkana.
Aliyeandika ni mtanzania au mkenya? Soma kwanza acha kufanya judgementWatanzania mnapenda sifa za kijinga yani mlitaka na-sisi tuwepo kwenye list
So tzs dont do bizThey have their own business! Mnigeria apite Kenya Bila sababu yoyote?
Wabongo tunamachale nywele zikisisimka hatupandi ndege hata kama tumekata ticket,ulishawahi kusikia wapi mbongo kafia angani.Hapa Kuna hadi Togo, Somalia, Uganda, Nigeria, Rwanda.. Yani kwa majirani wetu wote Tanzania pekee ndio hawapo... Nimeelewa kwa nini ATCL hubeba abiria wawili kutoka dar hadi Kampala.. Na abiria Hawa hukua Wananchi wa UgandaView attachment 1042850View attachment 1042851View attachment 1042852
Sent using Jamii Forums mobile app
Wengi wetu husafiri kwa ungo Usiku ndio maana husikii majina kwenye list.Wabongo tunamachale nywele zikisisimka hatupandi ndege hata kama tumekata ticket,ulishawahi kusikia wapi mbongo kafia angani.
Walinilamba begi la laptop wakifikiri laptop imo wakaondoka na begi tupu Nyangauz.Na kuna watu kama mimi nilishajiapiza ni marufuku kupitia Nairobi kwa safari yangu ya nje, sipapendi kabisa Nairobi, ni wezi na hawana customer care, kuna siku nimepanda, kidogo niache na ndege ya kuunganisha bongo after coming from Schipol, then kuna siku nimepanda ndege kuja dar from Nairobi kulikuwa na inzi, li abiria lilikuwa linachati na simu as if vifo havituhusu. Pia wizi wa mizigo ukipita Nairobi ni nje nje