Tanzanians don't travel, sijui ni kukosa pesa ama kuna la zaidi!

Bole pale penyewe pako hovyo kama stendi ya ushetu
 
Moja kati ya nyuzi za hovyo zaidi kwa mwaka huu

"Hukue"
"Ukufe"
Ndio nini sasa

Sent using my iPhone using jamiiforum app
 
Sio lazima watz wawemo, inawezekana huo uraia unaona hapo wamo wenye passport za nchi nyingine lakini ukakuta wana asili ya Africa
Sweden,USA, UK, na wengine unaweza kuta sio weupe bali wasomali au wahabeshi

Sent from my SM-G570F using Tapatalk
 
What of Ugandans and rwandese dont they have direct flights to their respective cities wacha ushenzi my friend
 
Hii ajali inaweza kujibu Swali la Ajali ya Pentagon Marekani,yaani mabaki ya ndege kubwa Vile ni vipande vya Bati kama mbili hivi.
Hii ndege ilStall na rubani akashusha Pua iliarudishe lift ikaja mazima. kwa Sababu labda Altitude ilikuwa chini. Ndio Ukisikia mashahidi wakisema Ndege ilikuwa inapaa kielekea Ardhini.
 
Reactions: Oii
Walinilamba begi la laptop wakifikiri laptop imo wakaondoka na begi tupu Nyangauz.
 
Ethiopian Airlknes wana direct flight to Julius Nyerere Airport Dar es Salaam then why should I bother kwenda Nairobi then ntafute ndege ya kuja Tz?
Imagine direct flight ya Ethippia kuja Tanzania unahis utakutana na wakenya wanaoenda Nairobi kwel? Stop these Nonsense
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…