Tanzanians have a longer life expectancy than Kenyans and Nigerians!

Tanzanians have a longer life expectancy than Kenyans and Nigerians!

unaruhusiwa kuendelea kujipa faraja.
[emoji23] [emoji23] [emoji116] [emoji116] [emoji23] [emoji23]
aac3ce567b2d56534d9187c96d93f9b4.jpg
fca550be4f4a2353de731562526b2abe.jpg

Bro kadoda11 nini kilikutendekea maana naona siku hizi umeishia kurusha rusha kauli za watu kwenye twitter, mbona umepunguza uwezo wako wa kujadili hoja kiasi hiki. Huko Twitter ni mtandao wa Kijamii kama huu wa JF, wale ni watu kama sisi na kauli zao binafsi haziwezi kuwa kama kielelezo chochote humu.

Bora upambane kama ndugu zako wengine humu ambao hata tukibishana, ila unaona wanatumia akili zao wenyewe. Kama vipi ikiwa lazima ulete source za nje, basi tuletee taarifa za kwenye magazeti au za taasisi fulani fulani ambazo zimefanyiwa utafiti. Lakini kuleta kauli sijui za eti bwana 'Kennedy bin Mahangaiko' kaandika kwenye Twitter, hivyo tuziamini na kuziheshimu, wadau wanaishia kuzipuuza na kuendelea na majadiliano ya WanaJF....ni ushauri tu.
 
Bro kadoda11 nini kilikutendekea maana naona siku hizi umeishia kurusha rusha kauli za watu kwenye twitter, mbona umepunguza uwezo wako wa kujadili hoja kiasi hiki. Huko Twitter ni mtandao wa Kijamii kama huu wa JF, wale ni watu kama sisi na kauli zao binafsi haziwezi kuwa kama kielelezo chochote humu.

Bora upambane kama ndugu zako wengine humu ambao hata tukibishana, ila unaona wanatumia akili zao wenyewe. Kama vipi ikiwa lazima ulete source za nje, basi tuletee taarifa za kwenye magazeti au za taasisi fulani fulani ambazo zimefanyiwa utafiti. Lakini kuleta kauli sijui za eti bwana 'Kennedy bin Mahangaiko' kaandika kwenye Twitter, hivyo tuziamini na kuziheshimu, wadau wanaishia kuzipuuza na kuendelea na majadiliano ya WanaJF....ni ushauri tu.

nilifanya utafiti mdogo na nikabiani wakenya mnaogoza kwa kutumia twitter EA,kwa hilo nawapongeza.

kwanini natumia screenshots za twitter kama reference ktk mijadala na wakenya?.

majibu:
wakenya hawana online social forum kubwa inayowaunganisha pamoja.

badala yake,wengi wao pamoja na tofauti zao za kikabira/kisiasa, wame opt kutumia twitter kama uwanja wao pekee wa ku-express madhira mbalimbali ya kisiasa,kiuchumi na kijamii wanayokumbana nayo kila siku ndani ya nchi yao.

hii inapelekea twitter kuwa chanzo sahihi na chaharaka cha kupata updates mbalimbali kuhusu hali halisi ya wakenya.

Kingine ni ukweli na uwazi.
tweets za wakenya zipo real sio fake.
ni tofauti na article za the standard au daily nation ambapo habari inaweza kuwa fabricated ili kuficha ukweli.

ili kuthibitisha kuwa tweets za wakenya zipo real na hazipindishi ukweli,Isome hii[emoji116] [emoji116]
cd0e48df39173ffb6be7c917261e7450.jpg


i have discovered that using screenshots from twitter is of big help when engaging with kenyans over socio-economic matters happening in both Tanzania and Kenya.
one doesn't need to write much.

siku hizi huwa sipotezi mda kuandika maneno mengi ninapokabiliana na wakenya hapa jf.

ni mwendo wa screenshots tu.na wengi "wenyu" huwa mnazisoma kimya kimya na "kuhepa" maana mnajua zimebeba ukweli.[emoji23][emoji23]
 
nilifanya utafiti mdogo na nikabiani wakenya mnaogoza kwa kutumia twitter EA,kwa hilo nawapongeza.

kwanini natumia screenshots za twitter kama reference ktk mijadala na wakenya?.

majibu:
wakenya hawana online social forum kubwa inayowaunganisha pamoja.

badala yake,wengi wao pamoja na tofauti zao za kikabira/kisiasa, wame opt kutumia twitter kama uwanja wao pekee wa ku-express madhira mbalimbali ya kisiasa,kiuchumi na kijamii wanayokumbana nayo kila siku ndani ya nchi yao.

hii inapelekea twitter kuwa chanzo sahihi na chaharaka cha kupata updates mbalimbali kuhusu hali halisi ya wakenya.

Kingine ni ukweli na uwazi.
tweets za wakenya zipo real sio fake.
ni tofauti na article za the standard au daily nation ambapo habari inaweza kuwa fabricated ili kuficha ukweli.

ili kuthibitisha kuwa tweets za wakenya zipo real na hazipindishi ukweli,Isome hii[emoji116] [emoji116]
cd0e48df39173ffb6be7c917261e7450.jpg


i have discovered that using screenshots from twitter is of big help when engaging with kenyans over socio-economic matters happening in both Tanzania and Kenya.
one doesn't need to write much.

siku hizi huwa sipotezi mda kuandika maneno mengi ninapokabiliana na wakenya hapa jf.

ni mwendo wa screenshots tu.na wengi "wenyu" huwa mnazisoma kimya kimya na "kuhepa" maana mnajua zimebeba ukweli.[emoji23][emoji23]
Kidonda we had already talked about this before... this makes you look like a stalker. umbea utaacha wewe,, ama tukuvishe rinda?
 
Kidonda we had already talked about this before... this makes you look like a stalker. umbea utaacha wewe,, ama tukuvishe rinda?
nikiona mnatema povu namna hii kuhusu screenshots,huwa nafurahi sana maana najua sindano inawaingia barabara.

nilishasema kuwa sitoaacha kuweka screenshots hata mkasirike.
[emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
nikiona mnatema povu namna hii kuhusu screenshots,huwa nafurahi sana maana najua sindano inawaingia barabara.

nilishasema kuwa sitoaacha kuweka screenshots hata mkasirike.
[emoji23] [emoji23] [emoji23]
Hahaha usiache Mkuu keep dropping
 
Yaani wa Kenya mnaniacha hoi kelele zote hizi mtu asiyezijua tofauti za uchumi wa Tanzania and Kenya may think these guys have over wider gap between kumbe tofauti its only decimal places .

Wakenya mmetuzidi wapi jamani mbona you are overeating emptiness acheni ushamba nani asiyoijua Kenya ilivyodhoofu na chovu?
 
Back
Top Bottom