last time I checked, Watanzania mnakodisha ardhi kutoka Kwa serikali yenu 'tukufu' sisiemu. Kati yangu mkenya na wewe mdangangiza nani hana ardhi?Hivi wakenya mna hata ardhi ya kujenga? Kama mlima kilimanjaro mnatuonesha picha upo Kenya sembuse nyumba za Google?
Gharama ya kukodisha ni sawa na bure. Na hakuna ukomo. Kwaio wewe endelea kuisifia ardhi ya ukoo wa Kenyattalast time I checked, Watanzania mnakodisha ardhi kutoka Kwa serikali yenu 'tukufu' sisiemu. Kati yangu mkenya na wewe mdangangiza nani hana ardhi?
Kweli ujinga haina dawa. Mimi niko na kipande cha ardhi niliyoridhi kutoka Kwa babangu ambaye pia aliridhi kutoka Kwa babake (babu yangu). Asante Kwa kunikumbusha kwamba Kenyatta ni babu yangu 🤣🤣🤣🤣Gharama ya kukodisha ni sawa na bure. Na hakuna ukomo. Kwaio wewe endelea kuisifia ardhi ya ukoo wa Kenyatta
Jinga kweli wewe. Namaanisha kwamba ni asilimia ndogo Sana ya wakenya wanamiliki ardhi. And chansi ni ndogo Sana kwa ambae hakurithi ardhi kumiliki ardhi. So wakenya asilimia kubwa NI hawana ardhi na Wala hawataweza kumiliki ardhi kwani imeshamilikiwa na wachache. Usichoelewa nini wewe chokoraa?Kweli ujinga haina dawa. Mimi niko na kipande cha ardhi niliyoridhi kutoka Kwa babangu ambaye pia aliridhi kutoka Kwa babake (babu yangu). Asante Kwa kunikumbusha kwamba Kenyatta ni babu yangu [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji16][emoji16]....Mshukulu mchina kwa kuwajengea estate ya kwanza Tanzania[emoji38][emoji38]....na bado hapo anachezea hasara sababu sioni mpangaji yeyote akija kuishi hapo, sababu wanainchi wote wa Dar ni masikini na wanaridhika kuishi kwenye slums [emoji26][emoji16][emoji16]
Hebu dhibitisha haya madai yako maana Mimi naweza kukuletea ushahidi kwamba wakenya tunaishi Maisha Bora kuwaliko
last time I checked, Watanzania mnakodisha ardhi kutoka Kwa serikali yenu 'tukufu' sisiemu. Kati yangu mkenya na wewe mdangangiza nani hana ardhi?
Heka kumi ndogo bro watu wana hadi Heka 100 tena na zaidi na wanalima zoteUnaona ulivyo mropokaji.
Huku kuna watu wana maeneo heka kumi kumi nambie Kenya ipo iyo usiropoke wewe hakuna mtu anayekodisha ardhi.ya serikali but serikali ndio inafanya hvyo kwetu
Jinga kweli wewe. Namaanisha kwamba ni asilimia ndogo Sana ya wakenya wanamiliki ardhi. And chansi ni ndogo Sana kwa ambae hakurithi ardhi kumiliki ardhi. So wakenya asilimia kubwa NI hawana ardhi na Wala hawataweza kumiliki ardhi kwani imeshamilikiwa na wachache. Usichoelewa nini wewe chokoraa?
Took this with my phone. Show us where you guys live. View attachment 1109156View attachment 1109157View attachment 1109158View attachment 1109159View attachment 1109160View attachment 1109161
Then huyo chokoraa hajui km huku kigamboni viwanja vinauzwa bei ya pipi tena vikuuuubwa anataka kulinganisha sisi na wao wanaofurahia utajir wa wachacheHeka kumi ndogo bro watu wana hadi Heka 100 tena na zaidi na wanalima zote
Wanafurahia kukaa estate [emoji23][emoji23][emoji23]Then huyo chokoraa hajui km huku kigamboni viwanja vinauzwa bei ya pipi tena vikuuuubwa anataka kulinganisha sisi na wao wanaofurahia utajir wa wachache
Wewe unafurahia kuishi kwenye haya mabanda?Mbona mwongo ww tz kuna slums km za kibera.
Km ulikua hujui nyumba zanunuliwa kwa kasi ktk kila miji mipya inayojengwa kigamboni,kijichi etc kwa bei nafuu saw kijana
haya ni mambo ambayo mumeaminishwa na serikali yenu sisiemu kutoka enzi za Nyerere. Nilikuwa nafatilia Sana ile kipindi cha "Wasia Wa Baba" na ninajua kweli kwamba haya mambo Alikuwa akiyasema Sana Nyerere. Yote tisa, unaweza kudhibitisha hapa kwamba madai unaposema ni kweli? Leta link go prove your point. That's the nature of JF. If you can't prove anything here then you better shut the ***k up!Jinga kweli wewe. Namaanisha kwamba ni asilimia ndogo Sana ya wakenya wanamiliki ardhi. And chansi ni ndogo Sana kwa ambae hakurithi ardhi kumiliki ardhi. So wakenya asilimia kubwa NI hawana ardhi na Wala hawataweza kumiliki ardhi kwani imeshamilikiwa na wachache. Usichoelewa nini wewe chokoraa?
Ni dhahiri huwezi dhibitisha vitu unasema so nenda ukojoe ulaleAhahahahha usilete ya matajir wachache ukajiunganisha na ww mla sukuma week .
Sawa totoz
Link ya Nini wakati life yenu tunaijua na mmejaa huku bongo. Why should I prove to you wakati ukweli unaujua. Kwani uwongo wakenya wengi hawana ardhi kutokana na Sera ya mkoloni ya kipande system?haya ni mambo ambayo mumeaminishwa na serikali yenu sisiemu kutoka enzi za Nyerere. Nilikuwa nafatilia Sana ile kipindi cha "Wasia Wa Baba" na ninajua kweli kwamba haya mambo Alikuwa akiyasema Sana Nyerere. Yote tisa, unaweza kudhibitisha hapa kwamba madai unaposema ni kweli? Leta link go prove your point. That's the nature of JF. If you can't prove anything here then you better shut the ***k up!
Kenya is one of the most unequal countries in the sub-region. Forty two percent of its population of 44 million, live below the poverty line. ... Large segments of the population, including the burgeoning urban poor, are highly vulnerable to climatic, economic and social shocks.Took this with my phone. Show us where you guys live. View attachment 1109156View attachment 1109157View attachment 1109158View attachment 1109159View attachment 1109160View attachment 1109161
Wewe unafurahia kuishi kwenye haya mabanda?View attachment 1115592
Kenya is one of the most unequal countries in the sub-region. Forty two percent of its population of 44 million, live below the poverty line. ... Large segments of the population, including the burgeoning urban poor, are highly vulnerable to climatic, economic and social shocks.Kenya won the roads battle by a huge Margin.. Tanzanians please redeem yourselves with this although it's quite tricky.
Mtuonyeshe mitaa ya mabanda NairobiHiyo sasa ni sauti ya Mdanganyika wakati amefinywa kabisa.Tulishazoea hiyo.Mtuonyeshe Tandale na Mwananyamala kwa Kopa