Ummayed
JF-Expert Member
- May 21, 2019
- 6,155
- 2,580
Unajua km hzo nyumba sio chafu km za kibera,bali zimekaa ktk mfumo wa nuclear settlement.
Kingine hyo robo ya robo ya Daresalam hujakuona Kijichi,kibamba,makabe,sinza,kinondoni,ilala boma,kigamboni,chamazi na etc.
Jua kwamba Dar ni kubwa kuliko Nairobi sawa kijana.
Yani hzo nyumba ni robo ya robo ya Daresalam sawa kuna maeneo mengi yamejengeka
Kingine hyo robo ya robo ya Daresalam hujakuona Kijichi,kibamba,makabe,sinza,kinondoni,ilala boma,kigamboni,chamazi na etc.
Jua kwamba Dar ni kubwa kuliko Nairobi sawa kijana.
Yani hzo nyumba ni robo ya robo ya Daresalam sawa kuna maeneo mengi yamejengeka
Kama haya ndio maisha mazuri TZ wacha nitulize tu kibera [emoji849][emoji90][emoji90][emoji86][emoji16][emoji16][emoji16][emoji116][emoji116]View attachment 1118194View attachment 1118195