Tanzanians Show us your Estates

Tanzanians Show us your Estates

Unajua km hzo nyumba sio chafu km za kibera,bali zimekaa ktk mfumo wa nuclear settlement.
Kingine hyo robo ya robo ya Daresalam hujakuona Kijichi,kibamba,makabe,sinza,kinondoni,ilala boma,kigamboni,chamazi na etc.
Jua kwamba Dar ni kubwa kuliko Nairobi sawa kijana.
Yani hzo nyumba ni robo ya robo ya Daresalam sawa kuna maeneo mengi yamejengeka
Kama haya ndio maisha mazuri TZ wacha nitulize tu kibera [emoji849][emoji90][emoji90][emoji86][emoji16][emoji16][emoji16][emoji116][emoji116]View attachment 1118194View attachment 1118195
 
Usibishe ww nyie hamna social welfare sufficiently.
Unajua km kwetu hvyo vtu vyote vapatikana kiurahisi.
Na kingine hyo Gdp inabaki serikalini lakn socially kenya mko vbaya.
Chapati na Ugali ni staple food Kenya. Na tena sh. 50 sio bei ya chapati. Chapati ni sh.10 Kenya. Kazi ndogo ndogo Kenya hulipa ksh.1000 kwa siku. Hata wale unaita maskini hutengeneza pesa mingi kuliko mtanzania wakawaida kwa siku ju kwa slums wao hulipa rent na inafaa kuwa ksh.3000 kwa mwezi. Watoto wao lazima waende Shule ju masomo Ni lazima Kenya. Hapo wanatumia 10k and above. In short....Kenya is a middle income country and way richer than Tz, it is only in Kenya where you find mtu anauza maindi Choma na anaendesha V8.You just can't compare a hustling nation with a lazy village nation.
 
Tz nakubali kuna watu lazies,lakn now magufuli anatunyoosha ndio maana watu wenye kujitegemea wameongezeka.
Japokuwa Gdp yetu ndogo ni 1.8 dollar lakn watu tunaishi maisha simple tunajenga kiurahisi,tunanunua vyakula kwa bei rahisi shortly socially tz tuko vzuri.
Sio ww mwenye Gdp kubwa lakn kula yako ya mzozo,kujenga taabu unapanga hadi sasa hv, kijana kenya socially mko vbaya msibishe ishi ki reality sio kwa uchumi wa makaratasi usiowanufaisha wananchi ila mabwanyeye wachache
Chapati na Ugali ni staple food Kenya. Na tena sh. 50 sio bei ya chapati. Chapati ni sh.10 Kenya. Kazi ndogo ndogo Kenya hulipa ksh.1000 kwa siku. Hata wale unaita maskini hutengeneza pesa mingi kuliko mtanzania wakawaida kwa siku ju kwa slums wao hulipa rent na inafaa kuwa ksh.3000 kwa mwezi. Watoto wao lazima waende Shule ju masomo Ni lazima Kenya. Hapo wanatumia 10k and above. In short....Kenya is a middle income country and way richer than Tz, it is only in Kenya where you find mtu anauza maindi Choma na anaendesha V8.You just can't compare a hustling nation with a lazy village nation.
 
Kama wanalipwa vzur hao madaktari wako wasingegoma
ummayed...eti unasema wafanyikazi wa serikali tanzania wanalipwa vizuri kuliko kenya....bwahahaaa..kisha eti ukawataja madaktari...yani kwanza kw madaktari usiguse...
 
Stop being a lier bro. Kazi gani Kenya inalipa 1k iliyo ndogo. Wakenya msingekuwa mnakimbilia TZ kufundisha shule za English Medium kwa mishahara ya 300,000 TZS. Huo uzwazwa. Mimi siwezi kwenda Kenya nikafanya kazi ya 1million TZS.

Kenya kuna tabala la watu wachache sana wenye hela. Mtu anashindia githeri kwenye slums eti amiliki gari...loh. Rent ni 3000 hii hapa Tz ni zaidi ya elfu 60 napata chumba en suite modern kabisa maeneo potential ya mji. Kenya maisha ni magumu honestly. Jamaa alikuja kwangu Kibada nikamwambia hapa nalipa 300,000 TZS rent akashangaa. Anasema nyumba kama ile kenya ni 1mil TZS rent yake per month. Kenya maisha ni magumu.Uzuri wa Tz unaweza kuearn kidogo na ukaishi standard life. The case is different with Kenya.

Eti Kenya imejaa magari. Unachekesha wewe. Kenya kumiliki gari is very expensive....very expensive. Been to Nairobi several times na yule Mkenya rafiki yangu na ni manager pale Equity makao makuu anasema kila mara huku TZ gari mpya huuzwa cheap kuliko Ke.

Don't fool yourself. Wakenya mna shida.
Acha ushabiki za kijinga. Kila mweza Watanzania hununua takriban magari 4500 wakati Nairobi pekee the The National Transport and Safety Authority registers 7,000 vehicles monthly. Hiyo ni ya Nairobi pekee yake. Yani kiufupi ni kwamba idadi ya magari inayonunuliwa Nairobi Kwa mwezi pekee ni Mara mbili ya idadi ya magari hununua Tanzania nzima kwa mwezi. Saa zingine ni vizuri kufanya utafiti kidogo Kabla ya kutangazia dunia nzima ulivo mjinga
Screenshot_20190605-145303.png
Screenshot_20190605-145224.png
 
Acha ushabiki za kijinga. Kila mweza Watanzania hununua takriban magari 4500 wakati Nairobi pekee the The National Transport and Safety Authority registers 7,000 vehicles monthly. Hiyo ni ya Nairobi pekee yake. Yani kiufupi ni kwamba idadi ya magari inayonunuliwa Nairobi Kwa mwezi pekee ni Mara mbili ya idadi ya magari hununua Tanzania nzima kwa mwezi. Saa zingine ni vizuri kufanya utafiti kidogo Kabla ya kutangazia dunia nzima ulivo mjinga
View attachment 1118538View attachment 1118539
Hivi unaakili sawa sawa? Unaleta data za 2014 kwa issue ya 2019. Bro, tuishie hapa.
 
Hivi unaakili sawa sawa? Unaleta data za 2014 kwa issue ya 2019. Bro, tuishie hapa.
That one alone can't change the fact that uwezo wenu wa kununua na kumiliki magari iko chini sana ukilinganisha na kenya. The difference is just five years, so usituambie eti miujiza imefanyika ndani ya hizo miaka mitano. Kama unapinga leta dhibitisho
 
That one alone can't change the fact that uwezo wenu wa kununua na kumiliki magari iko chini sana ukilinganisha na kenya. The difference is just five years, so usituambie eti miujiza imefanyika ndani ya hizo miaka mitano. Kama unapinga leta dhibitisho
Niqqa, can't argue with you. Go have a rest.
 
Niqqa, can't argue with you. Go have a rest.
You can't argue with me coz you don't have facts and can't prove anything you say. jitahidi ununue gari, huku kwetu Kenya zimejaa
 
Tupande na miparachichi mingi. Watakuja kutubembeleza ili wanunue na maesteit yao!!!
Watanzania mvua zinanyesha. Tufanye kazi tuje kuwalisha hawa manyang'au ya Kenya gunia moja tuwauzie laki 5.
 
Hongera wewe uishio Estate..what air do you breath in?! Just curious!
Hiyo kweli, mpo ovyo sana, nyumba zimetapakaa bila mpango wowote, kwa Kenya tumewekeza sana kwenye mpangilio wa nyumba, kwa mfano hapa ninakoishi ipo sheria baina yetu aina ya nyumba zinazofaa kujengwa na pia hairuhusiwi kujenga nyumba zaidi ya orofa moja.
 
We tushakuzoea data za 2012 uliniletea 2019 unapagawa ww
You can't argue with me coz you don't have facts and can't prove anything you say. jitahidi ununue gari, huku kwetu Kenya zimejaa
 
Ishi kwa reality usiishi kwa kasumba.
Kwann wagome km wanalipwa vzury.
Nimeamin wewe huna akili unaishi kwa kasumba instead of reality
knowledge is powerand you clearly lack knowledge. Ukanda huu , hakuna nchi inayolipa madakitari wake vizuri kuliko Kenya. Soma taarifa eulimike [emoji116] [emoji116] [emoji116] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Hata America inasifiwa kuwa na uchumi mkubwa ila hawaishi maisha mazuri kuizidi Qatar.
Hizo ni uchumi za karatasi na kasumba.
Ingekua wanalipwa vzury kwann wagome.
Unamjua anayelipwa vzury ww
knowledge is powerand you clearly lack knowledge. Ukanda huu , hakuna nchi inayolipa madakitari wake vizuri kuliko Kenya. Soma taarifa eulimike [emoji116] [emoji116] [emoji116] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Wee gari unalo.Au unashabikia waliyonayo.
Awamu ya magufuli watu wananunua magar km pipi kijana we.hujui tu
Acha ushabiki za kijinga. Kila mweza Watanzania hununua takriban magari 4500 wakati Nairobi pekee the The National Transport and Safety Authority registers 7,000 vehicles monthly. Hiyo ni ya Nairobi pekee yake. Yani kiufupi ni kwamba idadi ya magari inayonunuliwa Nairobi Kwa mwezi pekee ni Mara mbili ya idadi ya magari hununua Tanzania nzima kwa mwezi. Saa zingine ni vizuri kufanya utafiti kidogo Kabla ya kutangazia dunia nzima ulivo mjinga
View attachment 1118538View attachment 1118539
 
Ishi kwa reality usiishi kwa kasumba.
Kwann wagome km wanalipwa vzury.
Nimeamin wewe huna akili unaishi kwa kasumba instead of reality
Huenda ikawa halipwi vile inastahili, but what I know is that kila mwisho wa mwezi, wanapokea mishahara mizuri kuliko madakitari Watanzania. Huo ndio ukweli. And anything you say here won't change that fact. Kojoa ulale
 
Back
Top Bottom