I can bring hundreds of such pictures from Nairobi but I can't cause it doesn't reflect the true picture on the ground. Leta link from a reliable source to prove to us that more Tanzanians own vehicles than kenyansMmejaza mikebe probox vitz na passo mnasema na nyie mnanunua magari?
Do you kwamba mnauchumi wa mandazi tu lakin mnapiga nao mayowe kila mahali...
Magari hapa mjn Dar Ni yakutosha sana tu hadi periurban roads ziko busyView attachment 1119309
Ulipoamua kutoa data za pande zote ungeweka zilizobalance hujui namna ya kudefend hojaDo you expect a miracle to happen within five years if it hasn't happened in 50 years since you gained independence? Na aliewazuia kuweka figures za 2019 ni nani? Bado mko nyuma sana kubalini yaishe
Umeshaambiwa magari ambayo yamesajiliwa hadi sasa ni 2.5M unataka kusema Kenya yako 25M ama maana siwaelewiI can bring hundreds of such pictures from Nairobi but I can't cause it doesn't reflect the true picture on the ground. Leta link from a reliable source to prove to us that more Tanzanians own vehicles than kenyans
Wewe ndo hujui kudefend hoja. if you feel that what I said wasn't right or doesn't reflect the true picture on the ground, you could have countered my argument by bringing data from your relevant authority with figures on the same. But inside cell you've decided kupiga domo, I rest my caseUlipoamua kutoa data za pande zote ungeweka zilizobalance hujui namna ya kudefend hoja
Au ukae hapo cbd ukipiga picha malls kwa ifinix[emoji1787][emoji1787][emoji1787].wale walimu wanaofunza tanzania si wengi na wana feli tu colledge...pia sana sana wengi wao ni wazee walio retire pia...uani uende tz ukalipwe ksh15k...si kituko...bwahahaaa
hhhhhh!!nipo mgahawani najifungua na wanangu tu.......ila usijali...kesho utanieleza vizuri hayo matatizo yako...kwaheri...Au ukae hapo cbd ukipiga picha malls kwa ifinix[emoji1787][emoji1787][emoji1787].
Umeleft free WIFI area[emoji23][emoji23][emoji23]hhhhhh!!nipo mgahawani najifungua na wanangu tu.......ila usijali...kesho utanieleza vizuri hayo matatizo yako...kwaheri...
Iyo probox unayoidharau ni over 700k Kenya.Mmejaza mikebe probox vitz na passo mnasema na nyie mnanunua magari?
Do you kwamba mnauchumi wa mandazi tu lakin mnapiga nao mayowe kila mahali...
Magari hapa mjn Dar Ni yakutosha sana tu hadi periurban roads ziko busyView attachment 1119309
yani nmeamua kuchungulia ndio nakutakana na matatizo yako...nmeshasema matatizo yako niulize kesho...leo nipo bysyUmeleft free WIFI area[emoji23][emoji23][emoji23]
Naidharau sababu Ni gari Za nyongezaIyo probox unayoidharau ni over 700k Kenya.
Si 250k kama huko LDC
Kwahiyo mnauziwa 700k juu nyinyi ni njuguna???Iyo probox unayoidharau ni over 700k Kenya.
Si 250k kama huko LDC
demand mzee...hzo ni gari za biashara boss...vijijini zimejaa km vile piki piki ..na hapo inauzwa ksh700-900k..na ni juu kenya watu wengi ni watu na biashara zao ..so wana afford...Kwahiyo mnauziwa 700k juu nyinyi ni njuguna???
Iyo gari ndio zinabeba mizigo zimegeuzwa Kua suzuki carry sikuhz nimekuelewa!!demand mzee...hzo ni gari za biashara boss...vijijini zimejaa km vile piki piki ..na hapo inauzwa ksh700-900k..na ni juu kenya watu wengi ni watu na biashara zao ..so wana afford...
tuusan...hzo gari ni punda boss...hao wajapan hapo wamecheza sana...mara ya kwanza kenya zilikuwazauzwa kitu ksh250k...jamaa walizidharau sana...lkn sai wafanyibiashara wamezinunua mpka basi...na bado wanaendelea kuzinunua...Iyo gari ndio zinabeba mizigo zimegeuzwa Kua suzuki carry sikuhz nimekuelewa!!
Sasa kwann taarifa ya TZ ni ya 2014 wakati ya Kenya ni 2016? Maana navyofaham mm mwaka mmoja unabadili mengi tu
Unachekesha wewe.Do you expect a miracle to happen within five years if it hasn't happened in 50 years since you gained independence? Na aliewazuia kuweka figures za 2019 ni nani? Bado mko nyuma sana kubalini yaishe
Do you expect a miracle to happen within five years if it hasn't happened in 50 years since you gained independence? Na aliewazuia kuweka figures za 2019 ni nani? Bado mko nyuma sana kubalini yaishe
ummayed...kaifa kana eid?Ndio maana kenya mna mambo stagnant had tz inawakuta tofaut ni kuwa hela yetu ndio haijafikia thaman yenu ila ukiangalia mambo mlioyafanya kenya miaka kedekede tunayafanya sisi ndan ya miaka kumi how's that wonderful
ahbirnii haulal eid swahib...Ndio maana kenya mna mambo stagnant had tz inawakuta tofaut ni kuwa hela yetu ndio haijafikia thaman yenu ila ukiangalia mambo mlioyafanya kenya miaka kedekede tunayafanya sisi ndan ya miaka kumi how's that wonderful