Tanzanians Show us your Estates

Tanzanians Show us your Estates

Wakenya hamjui kujenga nyumba nzuri. Ni vile tu hakuna mtu mwenye time ya kupiga picha. Ila ukitaka kujua nyumba nzuri bongo zipoje, Tembelea maeneo kama Tua Ngoma- Kigamboni, Mbweni, Mikocheni, Goba, Masaki nk....
Ukitoka huko, nyumba za Nby utaziona kama Taka taka.
 
Wakenya hamjui kujenga nyumba nzuri. Ni vile tu hakuna mtu mwenye time ya kupiga picha. Ila ukitaka kujua nyumba nzuri bongo zipoje, Tembelea maeneo kama Tua Ngoma- Kigamboni, Mbweni, Mikocheni, Goba, Masaki nk....
Ukitoka huko, nyumba za Nby utaziona kama Taka taka.
weka picha hapa..masaki ligi yake huku ni Fedha embakasi
 
Fumba City Z'bar
1111409


1111410
 
Watanzania tufanyeni kazi, maswala ya kuingia google na fb kutafuta nyumba nzuri ili tuwaonyeshe awa wakenya na sisi tupo vizuri ni ujinga....


Tufanye kazi tukawasaidie wakenya wanaokufa na njaa, sisi nchi yetu imebarikiwa na hilo tunalijuwa na hakuna haja ya kuwaonyesha wakenya kama tupo vizuri... Waacheni watapetape
Una akili kubwa waache hao wapambane na sifa zao za ki dada
 
  • Thanks
Reactions: Oii
Back
Top Bottom