Tanzanians Show us your Estates

Tanzanians Show us your Estates

Kijana mwenye uchumi mzuri hawez kuwa na madeni makubwa,hawez kuwa na mzozo wa wanawake kumiliki ardhi km mlivyo kenya hawez akawa ana sehem kuna njaa miaka nenda miaka rudi sawa remedy urselves
haha these guys compare themselves with kibera wanaona wao wako better.,, that's why you keep posting pics of kibera so that you can console yourselves that you are better than Nairobi.,,You forget kibera is hypothetically 1% of total area in Nairobi which you can't compare with over 90% dar slum which look like this[emoji116][emoji116][emoji116][emoji23][emoji23]
View attachment 1115996View attachment 1115997View attachment 1115998

Keep comparing dar slum with kibera utakufa ukiona how developed Nairobi really is
 
Nikukosoe hiswanul bahri ww.
Kuna land act ya 1993 na kuna land act ya 2014 .
Hii mpya mtu unaenda kuchukua hati miliki ya kiwanja chako milele na unailipia kodi ya ardhi 10000 kwa mwaka.
Kuna ardhi inayomilikiwa na serikali ambayo wakiamua ht kukuondoa hwakulip ikijulikana km reserve na public land na kuna ardhi inayomilikiwa na wananchi ikijulikana km village land.Ukitaka kumilik ardhi ya serikal unaenda kupewa waraka wa miaka 99 hyo 33 wameifuta baada ya kuja hyo land law ya 2014 baada ya hapo inakua miliki yako kabisa ila ukiwa na village land unaenda kuchukua hati miliki ya kiwanja au shamba au ardhi yako kiujumla na unailipia 10000 kodi kwa mwaka.
Hujui unaropoka mm nishachukua baada ya mzee wangu kunikamilishia ujenzi wa nyumba yangu na hyo hati miliki ni ya milele akija mwanangu atamiliki akija wajukuu watamiliki.
Kujua hujui unabwabwaja
kisha tupia hyo link nikuumbue....heheeee...leo kuna mtu nataka nimtoe povu kabisa....

uaniulizi kukodisha na wakti umeniletea miaka hapa...mtu bongo hana uhuru wa kukaa na ardhi milele atakavyo...it's either 33yrs 66ys au 99yrs....sasa hko si ndio kukodishiwa...ati baada ya 99 ndio unaweza kuwa na right ya kuimiliki na n mpka serikali ikubali...ikikataa una renew kitu....bwahaaa
 
Wewe hukuja tz na wala humiliki ardhi tz.
Mm nimejenga Nina nyumba kigamboni nikaambiwa nikachukue hati miliki ya kiwanja changu nimeshaichukua na ya milele sawa mzee baba.Baba kaniwekea bcuz anajua still sijakua kivile ndio kwanza 19 naelekea 20 years naweza kuhadaika na ujana nikafanya upuuz.
Usitake kupingana na nachoongea ilhal nimekifanya nyauba mmoja
ummayed....wacha kunidanganya hapa....general land na reserved land ukitaka unakodisha kw hyo miaka...huwez nidanganya mm...bwahahaaaa....

labda uwe unaishi kijijini...manake village land land ndio ni ya community ...heheeeee!!!wewe na simon km mnaishi kijijini kubalini tu...wenzenu hapa waneshakubali tu km mnakodishiwa ardhi kutoka kw serikali....
 
Duh asee we ni bure kabisa asa hapo umerekebisha nn ni sawa na kutofautisha killing and murdering pole sana.
Kama zinatofauti na umeitumia vibaya kwanini nisiseme? i just pointed it out, kama haijakusaidia itamsaidia mwingine. Anyway ukipata content constructive njoo tujadiliane.
 
Tanzania
Nchi Ya Asali Na Maziwa
Kwanza Wazeni Chakula

Nyumba Hupati Usingizi Wakati Una Njaa
 
South C Nairobi Kenya
1116724
1116725
1116726
1116727
 
Naona mtoa Uzi bila shaka we ndo garderner wa izo nyumba naonq umepost mijengo ya location moja tu.... Bahati mbaya ss wengi humu sio vibarua wa wenye estate hapa bongo na tupo busy sanaaaa na mambo ya noti ss kamq we utaweza njoo bongo tukutembeze kwenye izo estate
 
Achana nae kaka
Naona mtoa Uzi bila shaka we ndo garderner wa izo nyumba naonq umepost mijengo ya location moja tu.... Bahati mbaya ss wengi humu sio vibarua wa wenye estate hapa bongo na tupo busy sanaaaa na mambo ya noti ss kamq we utaweza njoo bongo tukutembeze kwenye izo estate
 
Kijana mwenye uchumi mzuri hawez kuwa na madeni makubwa,hawez kuwa na mzozo wa wanawake kumiliki ardhi km mlivyo kenya hawez akawa ana sehem kuna njaa miaka nenda miaka rudi sawa remedy urselves
Mwenye uchumi mzuri hawezi kuwa na madeni? Which planet do you live in?? Na Aliyekuambia haya ni nani? Ingia google uangalie kiwango cha deni USA iko nayo. Utashangaa sana. Mnajifanya wajuaji ila hakuna mnachoelewa hata moja
 
Tuoneshe slums za bongo na majina yake..
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji16][emoji16]....Mshukulu mchina kwa kuwajengea estate ya kwanza Tanzania[emoji38][emoji38]....na bado hapo anachezea hasara sababu sioni mpangaji yeyote akija kuishi hapo, sababu wanainchi wote wa Dar ni masikini na wanaridhika kuishi kwenye slums [emoji26][emoji16][emoji16]
 
Hebu dhibitisha haya madai yako maana Mimi naweza kukuletea ushahidi kwamba wakenya tunaishi Maisha Bora kuwaliko
Mkenya hawez kuishi maisha anayoishii mtz.. Labda mnaweza kuprentend kuwa na maisha mazuri ila uhalisia unaujua na wala hatutaki bishana na nyie kuhusu hiloo..wakenya mnashida sana..hivi unajua rekodi ya watu wanaojiua Kenya imeeongezeka kiasi gani sababu ya umasikin uliotukuka???
 
Mkenya hawez kuishi maisha anayoishii mtz.. Labda mnaweza kuprentend kuwa na maisha mazuri ila uhalisia unaujua na wala hatutaki bishana na nyie kuhusu hiloo..wakenya mnashida sana..hivi unajua rekodi ya watu wanaojiua Kenya imeeongezeka kiasi gani sababu ya umasikin uliotukuka???
Sasa umeamua kutoa povu. Nimekuuliza Swali rahisi Sana... Unaweza kudhibitisha kwamba Watanzania wanaishi maisha bora kuliko wakenya? Kama huwezi leta dhibitisho, afadhali unyamaza tu. Huo ndio mtindo hapa jf, ukileta madai lazima udhibitishe kutumia links
 
Naona mtoa Uzi bila shaka we ndo garderner wa izo nyumba naonq umepost mijengo ya location moja tu.... Bahati mbaya ss wengi humu sio vibarua wa wenye estate hapa bongo na tupo busy sanaaaa na mambo ya noti ss kamq we utaweza njoo bongo tukutembeze kwenye izo estate
wivu mbaya
 
We maden ya USA siyo ys kukopa sawa mamaa alikua na den la kukopa kwa falme za kiarab limelipwa.
Maden aliyoko nao ni kuhusu athar za vita alizosababisha second world war hiswaanul aswad ww.
Usimlinganishe USA na ww,USA hakopi ili aendeshe miradi wala hakopi ili ajibalance ktk national budget km ufanyavyo ww ila athar za vita alizozisababisha zinamfanya alipe.ht Britain wana maden pia kwa USA ila sio ya kukopa km yako kuku maji ww.
Unadhan USA wana njaa km ww mla sukuma week wa Turkana,Then maden Ya USA yanapungua ilhal yako yanaongezeka.
Nilifikiri uajua kumbe hujui kitu.
Tofautisha anayedaiwa kwa kuharibu mali ya mtu na ww unayedaiwa kwa kukopa lazma utakua na riba kubwa ilhal aliyeharibu kitu cha watu atalipa kulingana na thaman ya kile alichokiharibu ht akichelewa riba haipand kuliko ww uliyekopa ukichelewesha hela kulipa riba yapanda.
Hii ni athari ya kunyaland kula sana sukuma week pumbafyu
Mwenye uchumi mzuri hawezi kuwa na madeni? Which planet do you live in?? Na Aliyekuambia haya ni nani? Ingia google uangalie kiwango cha deni USA iko nayo. Utashangaa sana. Mnajifanya wajuaji ila hakuna mnachoelewa hata moja
 
We maden ya USA siyo ys kukopa sawa mamaa alikua na den la kukopa kwa falme za kiarab limelipwa.
Maden aliyoko nao ni kuhusu athar za vita alizosababisha second world war hiswaanul aswad ww.
Usimlinganishe USA na ww,USA hakopi ili aendeshe miradi wala hakopi ili ajibalance ktk national budget km ufanyavyo ww ila athar za vita alizozisababisha zinamfanya alipe.ht Britain wana maden pia kwa USA ila sio ya kukopa km yako kuku maji ww.
Unadhan USA wana njaa km ww mla sukuma week wa Turkana,Then maden Ya USA yanapungua ilhal yako yanaongezeka.
Nilifikiri uajua kumbe hujui kitu.
Tofautisha anayedaiwa kwa kuharibu mali ya mtu na ww unayedaiwa kwa kukopa lazma utakua na riba kubwa ilhal aliyeharibu kitu cha watu atalipa kulingana na thaman ya kile alichokiharibu ht akichelewa riba haipand kuliko ww uliyekopa ukichelewesha hela kulipa riba yapanda.
Hii ni athari ya kunyaland kula sana sukuma week pumbafyu
Ulisema Mwenye uchumi kubwa HAWEZI kuwa na deni. sasa kama hata Wewe unakubali USA iko na deni, mbona tubishane. Aina ya deni iko nayo haijalishi. As of 2015, USA had debts accumulating to 16.1 trillion dollars. Soma umakinike!
 
Heee kumbe kunyaland kaka watu wanajiua sana kwa maisha magumu.
Tatizo hawa jamaa uchumi wa makaratasi unawaharibu akili na kuwapaka mafuta kwa mgongo wa chupa.
Halaf nahic huyu dada km sio beki tatu sijuiii maana mawazo yake.
Ww kaka kenya wanaoishi below poverty line wako karibia nusu nchi yani asilimia 43 ya wananchi.
Watasemaje wana social welfare hawa maboya.
Ilhali tz kila siku rais anatangaza ajira mara walimu elfu kadhaa wanahitajika mara madaktar kadhaa wanahtajika mpk sasa asilimia 26.8 tu ya watz wenye uvivu mpk wanaenda kuombaomba kenya ndio wana maisha ya kifukara.
Wapi watu wanaishi vzur.
Huyo beki tatu usibishane nae we mpotezee kaka.
Hata india serikali yake ina uchumi mkubwa lakn wananchi maskin kwa kukithiri ufisadi na kwa kuishi kikabila na kuekeana matabaka ya maskin na matajir km kenya
Mkenya hawez kuishi maisha anayoishii mtz.. Labda mnaweza kuprentend kuwa na maisha mazuri ila uhalisia unaujua na wala hatutaki bishana na nyie kuhusu hiloo..wakenya mnashida sana..hivi unajua rekodi ya watu wanaojiua Kenya imeeongezeka kiasi gani sababu ya umasikin uliotukuka???
 
Asee hii ndio shida yenu wakenya Umeshinda mama maana
Ulisema Mwenye uchumi kubwa HAWEZI kuwa na deni. sasa kama hata Wewe unakubali USA iko na deni, mbona tubishane. Aina ya deni iko nayo haijalishi
 
Weweee kenya sgr turns to be a big elephant.Badala ya kukaa na kuweka ma estate nenda ukajadili na. Wala sukuma week wenzako kuhusu hasara za uendeshaji wa sgr huko kwenu kunyaland
wivu mbaya
 
Nawewe nidhibitishie wakenya wanamaisha mazuri kuliko watz hahahahaha ...kitendo cha kuwa na njaa auu upungufu wa chakula ni kitu huwez kikuta tz saa cjui mwenye njaa anamshindana mwenye shibe buuuaaahahahaha
Sasa umeamua kutoa povu. Nimekuuliza Swali rahisi Sana... Unaweza kudhibitisha kwamba Watanzania wanaishi maisha bora kuliko wakenya? Kama huwezi leta dhibitisho, afadhali unyamaza tu. Huo ndio mtindo hapa jf, ukileta madai lazima udhibitishe kutumia links
 
Back
Top Bottom