Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kule kwao wanajengewa barabara km kidogo alafu inajazwa mbwembwe zote ili kuwadanganya si unajua wanapenda sifa [emoji23][emoji23][emoji23]aalfu sasa pesa itakayotumika hapoMavi ya kuku, Uhuru yupi anayeweza kujenga barabara 7,000Km?, hukusikia kipindi cha kampeni za uchaguzi wa 2017 alivyokua anakosolewa na Raila kwa kutojenga hata KM 3,000.
Ninyi mumezoea kudanganywa na corrupt Jubilee yenu. Kama ambavyo mliahidiwa kujengewa 5 big stadia za michezo, hakuna hata moja ilijengwa, hivyo hivyo kwa barabara, hakuna hata 3000km iliyojengwa. Tanzania kwa barabara hamuiwezi acheni kujilinganisha na Tanzania.
Mavi ya kuku, Uhuru yupi anayeweza kujenga barabara 7,000Km?, hukusikia kipindi cha kampeni za uchaguzi wa 2017 alivyokua anakosolewa na Raila kwa kutojenga hata KM 3,000.
Ninyi mumezoea kudanganywa na corrupt Jubilee yenu. Kama ambavyo mliahidiwa kujengewa 5 big stadia za michezo, hakuna hata moja ilijengwa, hivyo hivyo kwa barabara, hakuna hata 3000km iliyojengwa. Tanzania kwa barabara hamuiwezi acheni kujilinganisha na Tanzania.
Mavi ya kuku, Uhuru yupi anayeweza kujenga barabara 7,000Km?, hukusikia kipindi cha kampeni za uchaguzi wa 2017 alivyokua anakosolewa na Raila kwa kutojenga hata KM 3,000.
Ninyi mumezoea kudanganywa na corrupt Jubilee yenu. Kama ambavyo mliahidiwa kujengewa 5 big stadia za michezo, hakuna hata moja ilijengwa, hivyo hivyo kwa barabara, hakuna hata 3000km iliyojengwa. Tanzania kwa barabara hamuiwezi acheni kujilinganisha na Tanzania.
Picha ipi itakayoonyesha kilometer 7000 zilizojengwa na Uhuru?, NDINDA amewashindilia picha za barabara za Tanzania hadi mumechanganyikiwa, bado unahitaji picha zingine?Hehehe kuleta picha imekushinda umebaki ukilialia.
Picha ipi itakayoonyesha kilometer 7000 zilizojengwa na Uhuru?, NDINDA amewashindilia picha za barabara za Tanzania hadi mumechanganyikiwa, bado unahitaji picha zingine?
Picha ipi itakayoonyesha kilometer 7000 zilizojengwa na Uhuru?, NDINDA amewashindilia picha za barabara za Tanzania hadi mumechanganyikiwa, bado unahitaji picha zingine?
joto la jiwe ,game over ,wilson255 na Oii wanafeel kujinyonga kwa sababu wamepigwa 100 nil. Tz ina 12000km na Kenya 21000km paved roads.You must be sick in the head table down real facts from a credible source to ascertain your claims .
kenyas paved road network coverage is almost twice that of Tanzania despite Tanzania having a huge landmass.
Huyu msisiemu tumemzoea. Mwambie alete facts aache domodomoNdida akaona kama hii ngoma jawezi akatotoka, Tuusan akajaribu akakimbia, Ichoboy akakam na midomo mingi pia yeye akavuka fence. Game Over nayeraliona barabara za Kisumu na Nakuru akamute. Sasa wewe ndio umekam na maneno tu, utaweza kweli?
Picha ipi itakayoonyesha kilometer 7000 zilizojengwa na Uhuru?, NDINDA amewashindilia picha za barabara za Tanzania hadi mumechanganyikiwa, bado unahitaji picha zingine?
Hahahahaha, vipi ile harusi yetu?joto la jiwe ,game over ,wilson255 na Oii wanafeel kujinyonga kwa sababu wamepigwa 100 nil. Tz ina 12000km na Kenya 21000km paved roads.
Bw. tuusan kindly bring the report ya paved roads za tz.