They are all stupidThey knew better than scientists. This pandemic imefanya Magufuli adharuliwe sana Africa. Just go to twitter and see South Africans, Nigerians, Kenyans, Ugandans, Rwanda etc are mocking Magufuli.
He is a total failure...Magufuli Mkaidi.....
The guy amefeli kuliongoza taifa letu la Tanzania, he failed totally...
Hakuna kitu jamaa anajua kuongoza sio uchumi, masuala ya kijamii wala wakati wa majanga....
All blames to him
f*** him
Sent using Jamii Forums mobile app
Hatua gani hizo amechukua? Ebu zitajie.Watu mnaosema magufuli kafeli hamjielewi kwa sababu ukiacha mambo ya ibada ambayo ni muhimu hatua mbalimbali zimechukuliwa ili kupunguza maambukizi.kwa hiyo watu mnaosema magufuli kafeli you are fool.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hata gani hizo amechukua? Ebu zitajie.
Ibada kando, nasikia huko kwenu milango za bar na vilabu (night clubs) bado ziko wazi hadi wa leo. Huku Kenya hata mazishi inahudhuriwa na watu wasiozidi 15. In short, mikusanyiko wa aina yoyote ilishapigwa marufukuWatu mnaosema magufuli kafeli hamjielewi kwa sababu ukiacha mambo ya ibada ambayo ni muhimu hatua mbalimbali zimechukuliwa ili kupunguza maambukizi.kwa hiyo watu mnaosema magufuli kafeli you are fool.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ibada kando, nasikia huko kwenu milango za bar na vilabu (night clubs) bado ziko wazi hadi wa leo. Huku Kenya hata mazishi inahudhuriwa na watu wasiozidi 15. In short, mikusanyiko wa aina yoyote ilishapigwa marufuku
So biashara kama hizo ziendelee tu even if they put people's lives at risk just because a few people depend on them? See? Na tukisema ukaidi wa Magufuli mnakatchNdiyo watu wanategemea hizo biashara kujiingizia kipato.government can not take precaution on behave of you hahhahhaaa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Nyie si ndio mlikua mnamshangilia nyie?Sijui zile siku zao tatu za maombi zinaendeleaje. Huyu Magufuli hata akina Sonko wanamshinda kwa akili
Watu watakula nini kwa mfano angalia nyie wakenya watu wanagombana na polisi,Mara wengine wanavuka boda kuna tz kwa sababu watu wanataka chakula.sisi Tanzania tunatumia mfumo wa kila mtu kujilinda kwa sababu watu wengi wanategemea kazi wakikaa bila kazi watakula nini.So biashara kama hizo ziendelee tu even if they put people's lives at risk just because a few people depend on them? See? Na tukisema ukaidi wa Magufuli mnakatch
Nyie si ndio mlikua mnamshangilia nyie?