Tanzanians, why are u guys so sad?

Tanzanians, why are u guys so sad?

Kwa sababu sisi ni intelligent people, intelligent people are always sad kwani wana uwezo wa kujua kinachoendelea Duniani hivyo huwanyima raha maishani na wengi hata hufa wapweke, ukiona mtu anacheka cheka hovyo hata kama hana kazi, chakula cha kutosha, makazi duni , hiv, global warming, hivi vyote havimsumbui ujue huyo ni low IQ guy!

Sasa angalia kwa mfano Raila Odinga kafanya watu wamejitolea kwa ajili yake wengine wamekufa na kulemaa kwa ajili yake leo hii anakwenda kukutana na Raisi Uhuru Kenyata na kucheka cheka na kuwasahau wote waliojitolea kwa ajili yake, lkn bado wanacheka cheka tu na next time akiwahitaji atawarudia tena na kuanza kuwapiga blah blah ili wachukuwe risasi kwa ajili yake, na kuanza kuimba ,,hatutaki tear gas tunataka bomu" na bado mtu huyu bado ana furaha maishani, huyo retarded!
Intelligent na bado mko LDC?
 
You want a romantic tone.
Ahaaa haaa haaa

Sisi kina mura tunasemaga, wee mama rhobhi ebu tenganisha mamiguu nirenge (in mura voice).. ahaaa haaa haaa
Hatunaga sweet voice popote pale.

But all in all, we WANTED such a guy MAANA nchi uliza, kila kukicha watu wanapiga madili tu, halafu Mimi hata buku nilikuwa sipati wakati wengine wanapiga hela ya MAANA. Tuvumilie tu, MAANA hata awamu iliyopita kelele zilikuwa nyingi SANA eti serikali ilikuwa LEGELEGE. Na watu wakaenda mbali ZAIDI kwamba JESHI LISHIKE HATAMU YA UONGOZI. Lkn tunashuku hilo la JESHI halikutokea, amekuja kiongozi wa kiraia ambaye anayafanyia KAZI kikamili yale yoote ambayo yalilalamikiwa sana na waTanzania wengi. Kinachonishangaza, ni pale ninapoona watu wakilalamika na kusahau yale yoote yaliyopita. SASA sijajua, ni wale waliokuwa wakinufaika na mfumo uliopita ndiyo wanaolalama, au ni ile kasumba ya binadamu "hakuna jema". MAANA lazima tukubali kuwa binadamu ni kiumbe wa ajabu SANA, na hata ukisoma kwenye vitabu, vinasema kuna kipindi hata aliyewaumba aliwahi kusema hivi niliwaumba hawa kwa sababu gani? Pengine alijuta kutokana na matendo wanayofanya. Unawapa kila kitu lkn bado hawaridhiki. Wanalalamika tu.
Tumuache tu RAIS afanye KAZI, MAANA huo uhuru ambayo watu wanausema tumekuwa nao kwa miongo kama mitatu hivi, lkn bado haikutusaidia, bado nchi ni masikini kwa uzembe na kutowajibika na rushwa na wizi vyote hivyo vikifanyika chini ya KIVULI CHA UHURU.
RAIS ANAkuwa mkali hivyo kwa sababu anataarifa kamili na usahihi wa kiwango kikubwa watoto jinsi nchi hii ilivyokuwa inaliwa na baadhi ya wenzetu kwa kushirikiana na wageni. Nchi ilikuwa shamba la bibi, watu wanachukuwa bila kufanywa lolote. SASA bibi kapata mjukuu mwenye nia njema ya kulinda mali. Tumuunge mkono na kumtia moyo azidazidishe hizi jitihada za KUJENGA uchumi na kulinda raslimali.
Hizo tafiti zisiwatie kiwewe, MAANA uhalisia wake unatia mashaka, mfano NCHI INAONGOZA KWA FURAHA DUNIANI, HALAFU KWA UPANDE MWINGINE IKO JUU KATIKA ORODHA YA NCHI AMBAZO RAIA WAKE WANAJIUA DUNIANI. MIMI BINAFSI SIJAELEWA. Nilitegemea wasio na furaha ndiyo waongoje kujiua na WENYE furaha wasiwe na sababu ya kujiua MAANA wana amani ya sura, roho, nafasi na AKILI. Hivyo hawana sababu ya kujiua.
Lingine ni vita ya uchumi, tusishangae kupata sifa mbaya hasa toka kwa mabepari. Na hilo halishangazi, MAANA hata Nelson Mandera aliwahi kuwa kwenye ORODHA YA MAGAIDI ya Marekani. Unaweza ukashangaa kwamba hivi naye Mandera alikuwa akiua watu!!? Jibu ni la, kwa sababu alikuwa akipinga sera za ubaguzi wa rangi wa makaburu. Hivyo jambo hilo liliwaudhi mabepari na ndiyo maana wakamwita Mandera gaidi. Ni majuzi tu rais wa Marekani aliyepita Obama akalitoa jina hilo kwenye ORODHA YA ugaidi na kusema ni aibu na dunia haitatuelewa kuwa na jina Mandera kama gaidi. Kwa hiyo maadam KUNA dalili za wazi za vita ya uchumi dhidi ya mabepari tutegemee mengi sana ya kutuvunja moyo na hata kutuchafua.

CC: mulisaaa
Ulichofanya wewe unaegemea upande mmoja. Kwa taarifa hawamu hii inapiga pesa kuliko hata awamu ya Kikwete. Electronic passport na vichwa vya treni vya bandarini zote zile ni dili. Huwezi jua sasa kwa sababu Magu kaibinya media.
Nachoweza ukwambia serikali hii haina pesa. Waziri wa fedha kakiri week hii kuwa hawana pesa. Wafanyakazi wa procurement BOT Magu kawabadili akiwa na nia yaku print pesa. Siri kubwa ya Magu kukutana na Lowassa ilikuwa anamuuliza pesa walikuwa wanazipataje, nani Kikwete aliye mwambia aongee na Lowassa kwani ndiye aliyekuwa akiratibu mikakati yakuleta pesa nchini kwa kuongea na wafanyabiashara wakubwa.
Msione anaongea kwakuji tutumua kuwa wana pesa. Ukweli hali ni mbaya serikali haina pesa. Magu anaishi kwa propaganda and he is very good at that. Tuna raisi wa kulipiza visasi na mwenye jaziba. Anaendesha nchi utazani ni mwalimu mkuu wa shule. Kiongozi wa nchi lazima uwemsikivu naukubali mawazo mbadala.

Sisi Uhuru tunaongeĺea niule wakujieleza. Leo hii ukienda Bar ukitaka kuiongelea serikali lazima uangalie umezungukwa na nani. Tunaishi kama watumwa ndani ya nchi.
Kama ni swala la maendeleo basi kulikuwa hakuna haja yakuwafukuza wakoloni. Tungewaacha wakaendelea kututupa baharini kama Magu anavyofanya tukapata hizo flyover na SGR.
Tunarahisi wa ajabu kweli. Kama yesu alipingwa yeye nani kutokupingwa.? Watu nchini wanauliwa hovyo na wengine kutupwa baharini. Msitufanye wajinga. Mimi ni mmoja niliyezunguka TZ yote kumpigia Magu kampeni lakini hapa swala nikwamba CCM tulikosea.
 
Kwa sababu sisi ni intelligent people, intelligent people are always sad kwani wana uwezo wa kujua kinachoendelea Duniani hivyo huwanyima raha maishani na wengi hata hufa wapweke, ukiona mtu anacheka cheka hovyo hata kama hana kazi, chakula cha kutosha, makazi duni , hiv, global warming, hivi vyote havimsumbui ujue huyo ni low IQ guy!

Sasa angalia kwa mfano Raila Odinga kafanya watu wamejitolea kwa ajili yake wengine wamekufa na kulemaa kwa ajili yake leo hii anakwenda kukutana na Raisi Uhuru Kenyata na kucheka cheka na kuwasahau wote waliojitolea kwa ajili yake, lkn bado wanacheka cheka tu na next time akiwahitaji atawarudia tena na kuanza kuwapiga blah blah ili wachukuwe risasi kwa ajili yake, na kuanza kuimba ,,hatutaki tear gas tunataka bomu" na bado mtu huyu bado ana furaha maishani, huyo retarded!

Unachekesha sana, hivyo nyie mnajiona intelligent kuzidi watu wa mataifa mengine duniani...hehehe! Eti Mtanzania hapo mtaa wa makazi duni wa Tandale anaaumiza kichwa akiwaza 'global warming'
 
Haya bana
Ahaaa haaa haaa

Halafu wewe umeng'ang'ania issue za kujinyonga, hivi unajua Mwafrika kabla afikie hatua ya kujinyonga huwa amepitia mangapi. Wenzetu Ulaya mtoto ukimkaripia tu hilo ni sababu tosha la kufanya makubwa, lakini sisi vitoto vyetu vimezoea mapigo tangu siku ya kuzaliwa.
 
Tatizo sio vitu ulivyo orozesha. Tatizo TZ ni Uhuru. Kwa sasa hatuna tofauti na Rwanda au Burundi. Tunaishi kwa wasiwasi. Tanzania ya Magu na JK kwenye swala la uhuru nitofauti sana japo kwenye maendeleo Magu nampa tiki. Watanzania hawana furaha. Kila kona mtu kanuna
Nakuhakikishia hata hiyo tiki hana,sikuzote sera za ukomunist zinapoanza mnaona kama kuna kitu kitatokea,lakini mwisho wake hakuna kitu. Kaangalie Venezuela,North Korea etc.

Jamaa hajui hata future ya dunia ni nini,tunaenda tuu kwa maguvu !
 
You want a romantic tone.
Ahaaa haaa haaa

Sisi kina mura tunasemaga, wee mama rhobhi ebu tenganisha mamiguu nirenge (in mura voice).. ahaaa haaa haaa
Hatunaga sweet voice popote pale.

But all in all, we WANTED such a guy MAANA nchi uliza, kila kukicha watu wanapiga madili tu, halafu Mimi hata buku nilikuwa sipati wakati wengine wanapiga hela ya MAANA. Tuvumilie tu, MAANA hata awamu iliyopita kelele zilikuwa nyingi SANA eti serikali ilikuwa LEGELEGE. Na watu wakaenda mbali ZAIDI kwamba JESHI LISHIKE HATAMU YA UONGOZI. Lkn tunashuku hilo la JESHI halikutokea, amekuja kiongozi wa kiraia ambaye anayafanyia KAZI kikamili yale yoote ambayo yalilalamikiwa sana na waTanzania wengi. Kinachonishangaza, ni pale ninapoona watu wakilalamika na kusahau yale yoote yaliyopita. SASA sijajua, ni wale waliokuwa wakinufaika na mfumo uliopita ndiyo wanaolalama, au ni ile kasumba ya binadamu "hakuna jema". MAANA lazima tukubali kuwa binadamu ni kiumbe wa ajabu SANA, na hata ukisoma kwenye vitabu, vinasema kuna kipindi hata aliyewaumba aliwahi kusema hivi niliwaumba hawa kwa sababu gani? Pengine alijuta kutokana na matendo wanayofanya. Unawapa kila kitu lkn bado hawaridhiki. Wanalalamika tu.
Tumuache tu RAIS afanye KAZI, MAANA huo uhuru ambayo watu wanausema tumekuwa nao kwa miongo kama mitatu hivi, lkn bado haikutusaidia, bado nchi ni masikini kwa uzembe na kutowajibika na rushwa na wizi vyote hivyo vikifanyika chini ya KIVULI CHA UHURU.
RAIS ANAkuwa mkali hivyo kwa sababu anataarifa kamili na usahihi wa kiwango kikubwa watoto jinsi nchi hii ilivyokuwa inaliwa na baadhi ya wenzetu kwa kushirikiana na wageni. Nchi ilikuwa shamba la bibi, watu wanachukuwa bila kufanywa lolote. SASA bibi kapata mjukuu mwenye nia njema ya kulinda mali. Tumuunge mkono na kumtia moyo azidazidishe hizi jitihada za KUJENGA uchumi na kulinda raslimali.
Hizo tafiti zisiwatie kiwewe, MAANA uhalisia wake unatia mashaka, mfano NCHI INAONGOZA KWA FURAHA DUNIANI, HALAFU KWA UPANDE MWINGINE IKO JUU KATIKA ORODHA YA NCHI AMBAZO RAIA WAKE WANAJIUA DUNIANI. MIMI BINAFSI SIJAELEWA. Nilitegemea wasio na furaha ndiyo waongoje kujiua na WENYE furaha wasiwe na sababu ya kujiua MAANA wana amani ya sura, roho, nafasi na AKILI. Hivyo hawana sababu ya kujiua.
Lingine ni vita ya uchumi, tusishangae kupata sifa mbaya hasa toka kwa mabepari. Na hilo halishangazi, MAANA hata Nelson Mandera aliwahi kuwa kwenye ORODHA YA MAGAIDI ya Marekani. Unaweza ukashangaa kwamba hivi naye Mandera alikuwa akiua watu!!? Jibu ni la, kwa sababu alikuwa akipinga sera za ubaguzi wa rangi wa makaburu. Hivyo jambo hilo liliwaudhi mabepari na ndiyo maana wakamwita Mandera gaidi. Ni majuzi tu rais wa Marekani aliyepita Obama akalitoa jina hilo kwenye ORODHA YA ugaidi na kusema ni aibu na dunia haitatuelewa kuwa na jina Mandera kama gaidi. Kwa hiyo maadam KUNA dalili za wazi za vita ya uchumi dhidi ya mabepari tutegemee mengi sana ya kutuvunja moyo na hata kutuchafua.

CC: mulisaaa
hao waliokula nchi, yeye hawajui???? mbona hawashtakiwi??? akili kumkichwa
 
Ulichofanya wewe unaegemea upande mmoja. Kwa taarifa hawamu hii inapiga pesa kuliko hata awamu ya Kikwete. Electronic passport na vichwa vya treni vya bandarini zote zile ni dili. Huwezi jua sasa kwa sababu Magu kaibinya media
Nachoweza ukwambia serikali hii haina pesa. Waziri wa fedha kakiri week hii kuwa hawana pesa. Wafanyakazi wa procurement BOT Magu kawabadili akiwa na nia yaku print pesa. Siri kubwa ya Magu kukutana na Lowassa ilikuwa anamuuliza pesa walikuwa wanazipataje nani Kikwete aliye mwambia aongee na Lowassa
Msione anaongea kwakuji tutumua kuwa wana pesa. Ukweli hali ni mbaya serikali haina pesa. Magu anaishi kwa propaganda and he is very good at that. Tuna raisi wa kulipiza visasi.
Sisi Uhuru tunaongĺea niule wakujieleza. Leo hii ukienda Bar ukitaka kuiongelea serikali lazima uangalie umezungukwa na nani. Tunaishi kama watumwa ndani ya nchi
Kama ni swala la maendeleo basi kulikuwa hakuna haja yakuwafukuza wakoloni. Tungewaacha wakaendelea kututupa baharini kama Magu anavyofanya tukapata hizo flyover na SGR.
Tunarahisi wa ajabu kweli. Kama yesu alipingwa yeye nani kutokupingwa.? Watu nchini wanauliwa hovyo na wengine kutupwa baharini. Msitufanye wajinga. Mimi ni mmoja niliyezunguka TZ yote kumpigia Magu kampeni lakini hapa swala nikwamba CCM tulikosea.
Usipotoshe umma kusema Magufuli ndio alimwomba Lowassa kwenda Ikulu, huu ni uwongo. In fact Magufuli ndio alinyoosha mkono mara kwanza baada ya uchaguzi 2015 na kumleta TB Joshua kusaidia kusuluhisha, kila mtu anajuwa jinsi Lowassa na kina Mbowe walivyo ringa. This time it was the other way round, alipofikia Magufuli sio pa kumuomba Lowassa aje Ikulu amsaidie kuongoza nchi, amsaidie nini wakati Chadema iko kwenye slow death. Lini Dr mpango alisema Tanzania haina pesa na media wasiandike hata neno moja? Unaweza ukawa na hasira zako binafsi na unajihisi unasikilizwa lakini sijaona nchi duniani ambayo wananchi wake wamekaa tu na hakuna mtu anawasikiliza. Awamu hii kama huna cha kujishughulisha na kiwe halali, utaichukua tu. Hakuna namna nyingine.
 
Unachekesha sana, hivyo nyie mnajiona intelligent kuzidi watu wa mataifa mengine duniani...hehehe! Eti Mtanzania hapo mtaa wa makazi duni wa Tandale anaaumiza kichwa akiwaza 'global warming'
Maneno mengi lakini hamuweki Kenya ni ya ngapi kwenye list, kwa taarifa yako Iraq na Somalia wametajwa wanafurahia sana kuliko Kenya, je analikubali hilo?
 
Halafu wewe umeng'ang'ania issue za kujinyonga, hivi unajua Mwafrika kabla afikie hatua ya kujinyonga huwa amepitia mangapi. Wenzetu Ulaya mtoto ukimkaripia tu hilo ni sababu tosha la kufanya makubwa, lakini sisi vitoto vyetu vimezoea mapigo tangu siku ya kuzaliwa.

Wee bana mbona unataka kupotosha ukweli. Yaani niwe na furaha halafu nijiue tena?
Sasa furaha ni nini?
 
Hizo ni tafiti za kuzusha tafrani kwa jamii.
Hatuna njaa
Hatuna vita
Hatuna ugaidi
Hatuna wafyatuliaji risasi watoto wetu shule
Hatuna ukabila
Mvua kila mwaka inanyesha VIZURI
Mashamba yamestawi
Hatuna majanga ya asili yaliyopitiliza
Tuna rais ambaye ni mkweli hata ukweli hatuupengi na unauma
Watu hawajiui hovyo
Watu wanapendana
Barabara zimejengwa mikoa karibu yote
SGR ndiyo hiyo yaja
Pipeline tunayo na itakinga na kusafirisha mafuta toka Hoima Uganda, lokichar Kenya, kongo, South Sudan
Orodha ni ndefu.
hamna pia demokrasia na uhuru suisahau hio pia...nyie ni maskini wa kutupwa LDC most poor countries in the world...mnawawinda na kuwala albino kisha mna uchawi wa nambari moja barani africa..watoto wa wenyewe mnawaroga...furaha itoke wapi?😀😀😀
 
Ulichofanya wewe unaegemea upande mmoja. Kwa taarifa hawamu hii inapiga pesa kuliko hata awamu ya Kikwete. Electronic passport na vichwa vya treni vya bandarini zote zile ni dili. Huwezi jua sasa kwa sababu Magu kaibinya media.
Nachoweza ukwambia serikali hii haina pesa. Waziri wa fedha kakiri week hii kuwa hawana pesa. Wafanyakazi wa procurement BOT Magu kawabadili akiwa na nia yaku print pesa. Siri kubwa ya Magu kukutana na Lowassa ilikuwa anamuuliza pesa walikuwa wanazipataje, nani Kikwete aliye mwambia aongee na Lowassa kwani ndiye aliyekuwa akiratibu mikakati yakuleta pesa nchini kwa kuongea na wafanyabiashara wakubwa.
Msione anaongea kwakuji tutumua kuwa wana pesa. Ukweli hali ni mbaya serikali haina pesa. Magu anaishi kwa propaganda and he is very good at that. Tuna raisi wa kulipiza visasi na mwenye jaziba. Anaendesha nchi utazani ni mwalimu mkuu wa shule. Kiongozi wa nchi lazima uwemsikivu naukubali mawazo mbadala.

Sisi Uhuru tunaongeĺea niule wakujieleza. Leo hii ukienda Bar ukitaka kuiongelea serikali lazima uangalie umezungukwa na nani. Tunaishi kama watumwa ndani ya nchi.
Kama ni swala la maendeleo basi kulikuwa hakuna haja yakuwafukuza wakoloni. Tungewaacha wakaendelea kututupa baharini kama Magu anavyofanya tukapata hizo flyover na SGR.
Tunarahisi wa ajabu kweli. Kama yesu alipingwa yeye nani kutokupingwa.? Watu nchini wanauliwa hovyo na wengine kutupwa baharini. Msitufanye wajinga. Mimi ni mmoja niliyezunguka TZ yote kumpigia Magu kampeni lakini hapa swala nikwamba CCM tulikosea.
Hatukatai kuna mapungufu, kwa sababu JPM hajatokea mbinguni. lkn haya maneno ya ulalamishi hayatakuja kuisha. Muache ngosha apige KAZI. Kama unakumbuka hata kipindi cha Kikwete watu walilalamika SANA. Kaja JPMwatu wanaendelea kulalamika, mpaka unajiuliza hawa wanataka nini? Kukiwa na mvua bora ya jua, kukiwa na jua bora mvua. SASA mbona hamueleweki? Hutaweza kumfurahisha kila mmoja.
 
hamna pia demokrasia na uhuru suisahau hio pia...nyie ni maskini wa kutupwa LDC most poor countries in the world...mnawawinda na kuwala albino kisha mna uchawi wa nambari moja barani africa..watoto wa wenyewe mnawaroga...furaha itoke wapi?😀😀😀

Kwanza hamna kiingereza cha most poor. Halafu msipende kumeza taarifa kama dodoki. Be critical when you read any piece of discourse.

The question you have been asked; are Somalis and Afghanistans happier than Kenyans?
 
Maneno mengi lakini hamuweki Kenya ni ya ngapi kwenye list, kwa taarifa yako Iraq na Somalia wametajwa wanafurahia sana kuliko Kenya, je analikubali hilo?

Inawezekana maana vigezo wanatumia vya kisayansi sio mawazo ya hapo kitaa baada ya kushiba uji wa ulezi, usitegemee sana mapicha ya media za ulaya kuhusu Somalia na Iraq.
 
TUJUE NINI KINASABABISHA FURAHA, VIGEZO GANI WAMEVITUMIA KUSEMA HAWA WANA FURAHA NA HAWA WANA HUZUNI
 
Inawezekana maana vigezo wanatumia vya kisayansi sio mawazo ya hapo kitaa baada ya kushiba uji wa ulezi, usitegemee sana mapicha ya media za ulaya kuhusu Somalia na Iraq.
Wengi walioulizwa kwenye hiyo ripoti ni wakimbizi na watu wanao hama kutoka upande mmoja wa nchi kwenda mwingine. Swali ni kwamba wanajisikiaje wanapofika nchi nyingine au sehemu nyingine? Kulikuwa hakuna wahusika wa nchi fulani walio shiriki kwenye utafiti huu.
 
Siasa ina mambo mengi ndani yake, kusema tu generally kwamba hatufurahishwi na hali ilivyo kisiasa sio sahihi. Kuna mambo kisiasa yako sawa na mengine yanahitaji maboresho. Suala la uhuru kwa mapana yake linahitaji lifanyiwe marekebisho ASAP.

Upande wa maendeleo namkubali sana Magu na nampa tick kubwa.


Naelewa hilo. Lakini ukweli ni kwamba watz wengi hawafurahishwi na sera fulani za rais aliyepo kwa sasa, imebainika hivo katika comments tumeona hapa na pia kwenye nyuzi nyingine nyingi.
 
Back
Top Bottom