Luoman
Member
- Jul 2, 2020
- 20
- 44
Ebu angalia hizi animation picture kwanzaWacha kupotosha hii si Mbezi Luis bus station!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ebu angalia hizi animation picture kwanzaWacha kupotosha hii si Mbezi Luis bus station!
Halafu angalia hii picha kamili then ufanye comparisonWacha kupotosha hii si Mbezi Luis bus station!
Robert Alai anasema ukweli, omba omba wenu wamejaa Kila Kona ya Kenya. Waafrika wengine wakitorokea Ulaya wenu wanatorokea Kenya(Ulaya ya Watanzania).
Hio Dodoma Station bado haitoshi wakulima Market yetu. Mnajaribu mtafika tu!
View attachment 1496430
Hiki ulichoandika hapa ni uongo.Mr What,
Hujafika Nairobi ndugu. Jomo kenyata Airport,sio mchezo,hata hii airport yetu,tunayojivunia terminal three,haingii kwa Kenya. Jomo Kenyata Airport, ni kubwa, Nzuri, Mara 10 ya hii ya kwetu.
Anabwabwaja tu kwa maneno ya kusikia bila kuzingatia vigezo.Hahahaha, Capacity ya JKIA ni 7M pax, while JNIA is 9M
Sio EA Tu mkuu...ukitoa OT ya S.afrika hakuna zaidi ya hii JNIA kwa ukanda huu wa Sub-saharaWw unaongea nn mbona km umepigwa risas ya kalio [emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]u
Huo ujinga wako weka[emoji117][emoji1005] hakuna airport km terminal three EA nzima...liko wazi kabisa ilo....
Hili Ni gereza?wkulima market is more like a correction facility....
kwa kipi BBI au?
Endelea kujifariji our Dar bus terminal is bigger than ur Nairobi SGR Terminus!Halafu angalia hii picha kamili then ufanye comparisonView attachment 1497345View attachment 1497346
linaonekana kama gereza tu au mental facilityHili Ni gereza?
bure kabisaElewa tu kua kua wako mbali kuliko nyie watumwa wa dikteta kamili
Sijawahi fika terminal 3 ila huwa naiona kwenye picha. Nadhani labda JKIA ni kubwa kuliko ternminal 3 ila kwa u-modern, terminal 3 inaweza kuwa modern zaidi kuliko JKIAMr What,
Hujafika Nairobi ndugu. Jomo kenyata Airport,sio mchezo,hata hii airport yetu,tunayojivunia terminal three,haingii kwa Kenya. Jomo Kenyata Airport, ni kubwa, Nzuri, Mara 10 ya hii ya kwetu.
Wameona vile full parking lot ya ndege inakaa[emoji23][emoji23]