Tanzania's cheap railway may be of poor quality

Ahaaa haaa haaa
Wanataka tukubaliane na wizi uliofanyika kenya.
Huyu mjukuu wa bibi analinda kila kitu. Anakesha.
 
Why ask about quality of each SGR while the specs says the Tanzanian SGR can attain 160km/hr while the Kenyan SGR can attain a maximum of 120km/hr.

Its pretty clear (kibongo bongo wanasemaga iko uchi kbs hii)
 
Usd 4.05/km ? Kilam unamatatizo wewe. Hii dola 4.05 ni sawa na shilling ngapi. Hata elfu 10 haifiki ndo utengeneze kilometre ya SGR mmmmh
Duh, kazi ipo! Umerukia tu comment ya jamaa bila kuangalia, kusoma na kuelewa msingi wa maelezo.
 
Ungeandika kwa kiswahili mkuu.
 
Magufuli negotiate and your President Kenyatta appreciate use common sense you idiot
 
"...may be..." Kalagabaho wewe nyang'au.
 
Mwandishi atakuwa Mkikuyu huyo kapeleka upuuzi wake Rwanda.

Hana kigezo chochote wala ushahidi wowote ukimuuliza kwa nini unasema bei ni ndogo sana.

May be will say "look at a comparable project", the kenyan sgr.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…