Tanzania’s mobile money transactions totals $22.5 billion

Tanzania’s mobile money transactions totals $22.5 billion

Naangali ya Tanzania ni Q3, naagalia ya Kenya nayo pia ni Q3. Sasa sijuwi wakenya wanabisha nini. Labda wanategemea Q4 wataibia kutupita lakini sio rahisi na uchaguzi na mgomo wa NASA.
Hahaha. Eh Watanzania mna vituko. Hata hamjasoma hio report ya Kenya na mshaanza kupiga tarumbeta. Hivi mbona hamjui kwamba the term 'quarter' inatumika kumaanisha muda wa miezi mitatu kwa mwaka. Hii ni kumaanisha 3rd quarter ya 2017 ni muda wa miezi mitatu yaani: July, August na September. Hio ni data ya Kenya. However,data ya Tanzania, kichwa chake tu kinasema kuwa hio data ni ya miezi yote kuanzia January hadi september. Correct me if I am wrong. Prove kwamba hio data ya T.Z ni ya 3rd quarter na sio ya miezi tisa
 
Hahaha. Eh Watanzania mna vituko. Hata hamjasoma hio report ya Kenya na mshaanza kupiga tarumbeta. Hivi mbona hamjui kwamba the term 'quarter' inatumika kumaanisha muda wa miezi mitatu kwa mwaka. Hii ni kumaanisha 3rd quarter ya 2017 ni muda wa miezi mitatu yaani: July, August na September. Hio ni data ya Kenya. However,data ya Tanzania, kichwa chake tu kinasema kuwa hio data ni ya miezi yote kuanzia January hadi september. Correct me if I am wrong. Prove kwamba hio data ya T.Z ni ya 3rd quarter na sio ya miezi tisa
https://citizentv.co.ke/news/kenya-responds-to-dishonest-eu-report-on-2017-elections-187671/
Ninyi ni kawaida yenu kupinga kila kitu ambacho mnadhani hamkipendi, hamjaanza leo, reports zote zinatolewa kwa kutumia format moja hapa EA, ili ziweze kutumika katika EAC, hiyo ndiyo harmonization within EAC.
 
Of course you are right umeongea kitu kikubwa "population is growing fast but resources are diminishing" hii hali ndio inawafanya wakenya wawe wadogo kwetu leo na kesho resources muscles hawana kwa namna Tanzania ilivyo barikiwa kwa rasilimali nyingi Kenya hana ubavu wa kujilinganisha na Tanzania kwa namna yoyote ile.
Sio resources muscle ya juu na chini ya ardhi tunawaacha nyuma. Political muscle Kenya haiwezi kufikia ya Tanzania anytime soon.
 
Hahaha. Eh Watanzania mna vituko. Hata hamjasoma hio report ya Kenya na mshaanza kupiga tarumbeta. Hivi mbona hamjui kwamba the term 'quarter' inatumika kumaanisha muda wa miezi mitatu kwa mwaka. Hii ni kumaanisha 3rd quarter ya 2017 ni muda wa miezi mitatu yaani: July, August na September. Hio ni data ya Kenya. However,data ya Tanzania, kichwa chake tu kinasema kuwa hio data ni ya miezi yote kuanzia January hadi september. Correct me if I am wrong. Prove kwamba hio data ya T.Z ni ya 3rd quarter na sio ya miezi tisa
Kama ni January hadi September inaitwaje 3Q report? Kwanza una unga ndani?
 
Hahaha. Eh Watanzania mna vituko. Hata hamjasoma hio report ya Kenya na mshaanza kupiga tarumbeta. Hivi mbona hamjui kwamba the term 'quarter' inatumika kumaanisha muda wa miezi mitatu kwa mwaka. Hii ni kumaanisha 3rd quarter ya 2017 ni muda wa miezi mitatu yaani: July, August na September. Hio ni data ya Kenya. However,data ya Tanzania, kichwa chake tu kinasema kuwa hio data ni ya miezi yote kuanzia January hadi september. Correct me if I am wrong. Prove kwamba hio data ya T.Z ni ya 3rd quarter na sio ya miezi tisa
Mobile Money Transactions in Tanzania Reach TZS 50 Trillion in 2016-17 - TanzaniaInvest
Soma hiyo report uone, ukweli ni kwamba Kenya economy can't fight Tanzania's
 
Hahaha. Eh Watanzania mna vituko. Hata hamjasoma hio report ya Kenya na mshaanza kupiga tarumbeta. Hivi mbona hamjui kwamba the term 'quarter' inatumika kumaanisha muda wa miezi mitatu kwa mwaka. Hii ni kumaanisha 3rd quarter ya 2017 ni muda wa miezi mitatu yaani: July, August na September. Hio ni data ya Kenya. However,data ya Tanzania, kichwa chake tu kinasema kuwa hio data ni ya miezi yote kuanzia January hadi september. Correct me if I am wrong. Prove kwamba hio data ya T.Z ni ya 3rd quarter na sio ya miezi tisa
Tanzania Top Country In Mobile Money Usage In Africa - TanzaniaInvest

Tunaendelea kushusha kibano kabla ya kutoa mifano[emoji12] [emoji12] [emoji12]
 
Sio resources muscle ya juu na chini ya ardhi tunawaacha nyuma. Political muscle Kenya haiwezi kufikia ya Tanzania anytime soon.
The sleeping giant is no longer sleeping hawa jamaa walijua Tanzania itabaki kua backward permanently na sisi tukawa tunawaangalia tu wamekukuruka weeeee tukawaambia mmemaliza?

Tukawapiga kwanza na BRT
Tukaja oil pipeline
Tukaja midege (strong Tanzanian airways is the Kenyan airways permanent death)
Tukaja ports expansion & construction
Tukaja bullet train
Tukaja Stiglers gorge (more than 2200 megawatts)
Tupo viwanda vinaota kama uyoga

Dah ebwana list ndefu.....
 
Sio resources muscle ya juu na chini ya ardhi tunawaacha nyuma. Political muscle Kenya haiwezi kufikia ya Tanzania anytime soon.
Umeongea political muscles nikakumbuka hii, hivi Kenya kitu kama hiki kinaweza kutokea kweli??

Dah Tanzania kweli ni kisiwa cha amani siasa safi utaifa kwanza
 
Mmempata kibano mpaka macho yameshindwa kupeleka taarifa sahihi kwenye ubongo hahaha Tanzania itaendelea kuwanyanyasa mpaka mshike adabu sisi ndio kidume hapa mashariki
Electioneering months people reduced their spending and instead opted to save for the Uknown while your people spent as much as they could yet got that little compared to your humongous population of 56 million peasants. Weka report ya mwaka mzima uone vile tunawachapa mchana na usiku 365 days...
 
Electioneering months people reduced their spending and instead opted to save for the Uknown while your people spent as much as they could yet got that little compared to your humongous population of 56 million peasants. Weka report ya mwaka mzima uone vile tunawachapa mchana na usiku 365 days...
And you are the only nation doing election twice a year with price tag of 1$ billion each yet in turkana people living like animals.
 
Kama ni January hadi September inaitwaje 3Q report? Kwanza una unga ndani?

halafu hawa jamaa tangu serikali yao ifute ruzuku ya unga wamechanganyikiwa ile balaa. wanajifanya hapa wenyewe ni wachapa KAZI, wanaweza kujitegemea, kumbe wananunuliwa unga na Kenyatta.
teh teh teh teh teh tihiii mido inkamu bana.
 
halafu hawa jamaa tangu serikali yao ifute ruzuku ya unga wamechanganyikiwa ile balaa. wanajifanya hapa wenyewe ni wachapa KAZI, wanaweza kujitegemea, kumbe wananunuliwa unga na Kenyatta.
teh teh teh teh teh tihiii mido inkamu bana.
[emoji85] [emoji85] [emoji85] [emoji85] [emoji85] [emoji85] [emoji85] [emoji85]
 
halafu hawa jamaa tangu serikali yao ifute ruzuku ya unga wamechanganyikiwa ile balaa. wanajifanya hapa wenyewe ni wachapa KAZI, wanaweza kujitegemea, kumbe wananunuliwa unga na Kenyatta.
teh teh teh teh teh tihiii mido inkamu bana.
Hahaha kumbe wanakula stamp food hahaha kama umido ndio wastaili hii Tanzania hatuutaki hahaha
 
LDC ligi yenu kina Somalia Kenya hamutawahi iweza, we always a decade ahead.
Kilichobaki ni domo tu, huu mziki mzito sana kwenu, na tunawaambia bado, hii ni kionjo tu, mziki wenyewe hatujawachezea[emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
The sleeping giant is no longer sleeping hawa jamaa walijua Tanzania itabaki kua backward permanently na sisi tukawa tunawaangalia tu wamekukuruka weeeee tukawaambia mmemaliza?

Tukawapiga kwanza na BRT
Tukaja oil pipeline
Tukaja midege (strong Tanzanian airways is the Kenyan airways permanent death)
Tukaja ports expansion & construction
Tukaja bullet train
Tukaja Stiglers gorge (more than 2200 megawatts)
Tupo viwanda vinaota kama uyoga

Dah ebwana list ndefu.....
Kenyatta alikuja na ile CoW akafikiri he has it all in bag, Tanzania tumewasha moto kidogo tu na kuwaonyesha who's the boss in this neighborhood.
Umeongea political muscles nikakumbuka hii, hivi Kenya kitu kama hiki kinaweza kutokea kweli??

Dah Tanzania kweli ni kisiwa cha amani siasa safi utaifa kwanza
 
Back
Top Bottom