Tanzania's Nando has been Disqualified from the Big Brother House

I wish Feza gets out this coming Sunday. Hana anachofanya zaidi ya kulala na Oneal all the time. Afanye aondoke tu na yeye. As for Nando, katuaibisha mno kama nchi. Kweli wazazi leleeni watoto wenu ipasavyo maana Nando ni mfano wa troubled kids wengi walioko ktk jamii. Ukiona mwanao wa mwaka mmoja anaua sisimizi mkanye na muombee, akikua ataua mende, then panya, then paka, then mbwa, then ataanza dhalilisha watu esp wa jinsia tofauti, baada ya hapo watch out....:he will kill human being! Na akishaua mmoja, he won't stop hadi astopishwe kwa kuuwawa. Mamake Nando ni vema akamchukua mtoto wake akafanyiwe therapy seriously....else.....

Sent from my BlackBerry 9900 using JamiiForums
 
Akili ndogo sana na saikolojia iliyo chini. That was what suffered him. Nani anapenda violence siku hizi? Au dogo alidhani kule ni Marekani? Anatumia kiingereza cha kimarekani aonekani mjaaaaanjaaaaaa kumbe ye ndo bonge la mbwiga.
Anyway, kwanza ni mchezo wa kishetani hauna faida kwa Afrika. Haya mambo ya kucopy na kupesti. Wawaachie waingereza haya mambo.

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
Hebu bandika picha ya huyo binti hapa tumuone.





Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 


nikweli feza na oneal wamejizolea sifa mbaya sana ya umbea,chuki na kujitenga na wenzao sidhani kama watapona....
west afrika na SA ambao ni wapigaji sana wa kura,watampigia kura yeyote atayewekwa na HOH leo jioni....
 
Mkuu kuna baadhi ya washiriki huwajui majina au..??? Man from Ethiopia anaitwa Bimp

YI, are you watching this show kweli ?au unacomments from other source!!?

It is too soft kumjua Bimp!!
 

Strike zilifika tatu lkn sio kwa mtiririko wako hapo juu, go back to big what he said!!
 
are you an angel?

Donlt judge people while you don't know the sh*t they have been thru.
...who gives the f..if he has been through shit..that's his own prob not ours(Tanzanians)...he should have realized that ametumwa kuiwakilisha Tz the minute he walked through that door...gross
 

Duh...kutoka kwenye kuua sisimizi hadi mtu!!!!
 
Sijuio hata unaongelea nini

Unadhani ukiiwakilisha nchi ndio ubinadamu wako unabadilika? gross square
Unadhani watanzania wanatengenezwa na wakenya? Ni mtanzania mmoja mmoja ndio wanatengeneza taifa la watanzania.

Sasa kama shida ya mtu mmoja mmoja sio dili, kwa nini unaitaka serikali ikuifanyie mambo fulani, wee ni nani? Kwa nini shida zako serikali izijali? Grow down kid!

...who gives the f..if he has been through shit..that's his own prob not ours(Tanzanians)...he should have realized that ametumwa kuiwakilisha Tz the minute he walked through that door...gross
 
"are you an angel?

Donlt judge people while you don't know the sh*t they have been thru." From Kongosho

Kama unajuwa you have been through hell and huwezi kuwa na watu kwa nini kwenda kujiunga na BBA au vitu kama hivyo. Kaa nyumbani kwako uhangaike na past zako. Ila maisha ni lazima yasonge mbele sio kukumbuka mambo au mapito mabaya ya maisha yako siku zotee... Nando na Feza hapa mwishoni wametia aibuuuuuuuu sanaaaaaaaa, Feza kutwa umbeyaaaaaaaa, Feza kapoteza mwelekeo wa maisha kabisaaaaaaaaaa... Nando bangi zake zimemharibia sanaaa, but he was one of the best BBA member nimesikitikaaaaaaaaaa sanaaaaaaaaaaa
 
Mlambivu, it is very true Feza has changed a lot, watu walimpenda Feza nae angekuwa hata kwenye top 5, ila amepata wehu kwenye hilo penzi lake la kijinga. Yaani mtu anapata nafasi kama hii halafu anaichezea hawa watoto machokaraa ni wajinga sanaaa. Hii ndiyo nafasi yao ya kutokea kimaisha, huyu Feza angeweza hata kuchukuliwa kwenye modeling, uimbaji, acting etc, etc, ila sasa tupa kuleeeeee, kwisha habari yakee...amezidi umbeyaaaaaaaaaaa, amepoteza muelekeo wa maisha yake inasikitisha sanaaaaaaaaaa, natamani akitoka niongee nae, kwanza nimzabuwe kibao kimoja cha nguvuuuuuuu, nani alimtuma kwenda kutafuta wanaume huko BBA house mjinga sana, alitakiwa atumie akili yake vizuri. Nasema this time ni lazima atatoka mjinga mwehu kabisaaaaaaaaaa, ameniboajeeeeee, na huyo Nando mjinga mmoja nae hovyooo sanaaa...
 
...who gives the f..if he has been through shit..that's his own prob not ours(Tanzanians)...he should have realized that ametumwa kuiwakilisha Tz the minute he walked through that door...gross
Hebu na wewe tuondolee ujinga wako, ni Tanzania ipi imemtuma kutuwakilisha? yeye ni mshiriki kutoka Tanzania that's it na ametumwa na Multi choice Tanzania, acheni kugeneralise ujinga wa wachache ku-endorse kama wa Taifa. Nonsense.
 
McbenFrank, jamnai hii ni reality show, anayetaka kuangalia na aangalie, asiyetaka basiii, halazimishwi mtu kuanglia wala kushiriki. Na kwa vile kule ndani ni pagumu kila mwaka mahela yanapanda, mwaka huu ni USD 300,000/= sasa ebu tujiuulize, je no bora kwenda BBA house ushinde upate USD 300,000?? au ni bora ukae ofisini kwako ufoji marisiti wee, uibee weee, useme uongoooo, usaini mikataba ya hovyoooo, uibe mapesa ya serikali, au ni bora ukashiriki BBA upate USD 300,000??? NANI BORA??!! ANAYEIBA MAPESA YA SERIKALI YA TANZANIA??? AU ANYESHIRIKI BBA?? Jamani tuwe wakweli... huu ni mchezo kama michezo mingine tuu, sema huu mchezo unachukuwa siku 91 ndani ya nyumba... hakuna madili yoyote yanayoharibika hapa. Nyie mnaojidai kuongea ni nyi nyie mnatembea na wake za watu, mnatembea na waume za watu, mnawatia watoto wa shule mimba, kutwa kuwaambukiza wenzenu HIV, wababa kuzaa nje ya ndoa zenu sa zoteee, BORA KUSHIRIKI BBA KULIKO HAYO MENGINE MNAYOYAFANYA KILA SIKU, KUTWAA KWA WAGANGA WA KIENYEJI KUROGA WENZENU ohhhhh, sasa jamani waacheni vijana wajitafutie mapesa na ajira...
 
MREMBO BY NATURE, napenda mtazamo wakooo, uko juu, na umeuelewa vizuri sana huu mchezo...
 

This week asipotoka ashukuru sana!!!!!!!!!
 
This week asipotoka ashukuru sana!!!!!!!!!

Its true asipotoka this week Feza akatambike but there is possibility kuwa anatoka on sunday yeye pamoja na bwana wake...Feza alianza vizuri sana i don't know what went wrong...i like the other girl Dillish that girl is smart anajua amekwenda pale kutafuta nini na siyo kuendekeza mapenzi...Feza badala ya ku-play game anabakia kuangalia maisha ya watu na kuendekeza gossip...play your game...its all about money girl....at the end of the day huyu mwanaume atakupeleka wapi....mapenzi ya long distance Botswana na Tanzania mmh.....Mwanaume mwenyewe anaonekana very controlling...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…