Iselamagazi
JF-Expert Member
- Sep 26, 2011
- 6,020
- 6,161
Kwani kunani? Mbona tuko vizuri tuuu?Mungu wa Mbinguni. Irehemu nchi yangu Tanzania.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwani kunani? Mbona tuko vizuri tuuu?Mungu wa Mbinguni. Irehemu nchi yangu Tanzania.
Unanipa wasi wasi kama kweli umesoma na kuelewa kilichoandikwa...je unataka ataje majina yapi mengine wakati kila kitu kimehatamiwa na ofisi moja (mtu mmoja) kiasi hata wawakilishi wetu wako gizani. Taratibu zote za matumizi zilizo rasmi zimewekwa kando na zinazotumika ni zile zimehatamiwa na mtu moja.Article hii ni None sense. Imejaa matamanio binafsi ya kuona UFISADI wa Magu ambayo hayajatimilika.
Baada ya kuona miaka inaenda hajapata UFISADI wowote wa dhahiri, kaona aandike matamanio yake.
Kama anaamini mafisadi wamemshinda Magu atumie style ya Dr Slaa. Taja majina ya hao Mafisadi waliomshinda, taja wameiba Tshs ngapi kutoka account ipi na hizo pesa zilitolewa na nani kupitia benki gani.
Ukiisoma article hii inaonesha FISADI la Ansbert hapa linaitwa SERIKALI.
Ni vema Ansbert aache kuandika matamanio yake. Aseme tu pesa ya serikali ilitumika NJE YA BUDGET, ili tujadiliane ilitumika kufanya nini na je kama hicho kilichofanyika ni kwa manufaa yake binafsi au iwapo hakina manufaa kwa nchi.
Article hii ni None sense. Imejaa matamanio binafsi ya kuona UFISADI wa Magu ambayo hayajatimilika.
Baada ya kuona miaka inaenda hajapata UFISADI wowote wa dhahiri, kaona aandike matamanio yake.
Kama anaamini mafisadi wamemshinda Magu atumie style ya Dr Slaa. Taja majina ya hao Mafisadi waliomshinda, taja wameiba Tshs ngapi kutoka account ipi na hizo pesa zilitolewa na nani kupitia benki gani.
Ukiisoma article hii inaonesha FISADI la Ansbert hapa linaitwa SERIKALI.
Ni vema Ansbert aache kuandika matamanio yake. Aseme tu pesa ya serikali ilitumika NJE YA BUDGET, ili tujadiliane ilitumika kufanya nini na je kama hicho kilichofanyika ni kwa manufaa yake binafsi au iwapo hakina manufaa kwa nchi.
There was nothing like fighting corruption , the guy is a seriuos film actor, and he did manage to win some international plaudits when he become president by some carefully orchestrated actions managed by his cronies, in tanzania he is and was known as one of the most corrupt leaders , when he was the minister he presided on selling 1000's of government houses and him and his relatjves benefited openly, he bought a ferry, wh8ch remains unused and was moved to the army (make it national secret), impounded an international fish8ng trawler, causing the country to incur huge lossez, and he is now openly putting any rich person or business leaders i jail on trumped charges unless you pay ransom money, you will rot in jail. , he is building an international airport at his small home village in chato, bigger than the one build by mobutu in gbadolite, in short he has never been fighting corruption, he is extremely corrupt and he used his means to become the presidentKwa hisani ya SAUTI KUBWA - Ansbert Ngurumo
Magufuli loses battle against corruption!
TANZANIA’s President John Magufuli, once hailed by western media as a “bulldozer of graft” has officially lost the battle against corruption. While he enjoys branding himself as a corruption fighter, audit reports show that he is presiding over a corrupt government that spends billions of public funds unscrupulously, with no regard to laws and laid down procedures.
Worse still, his government keeps working to block or silence those attempting to find out and publicise findings about grand corruption in his regime – particularly deficiencies associated with his leadership judgements.
The latest audit report by the Controller and Auditor General (CAG) reveals that during the year 2017/2018, the Magufuli government squandered trillions of shillings through dubious deals and transactions, including illegal procurements and misappropriation through the country’s treasury.
In total, Tsh 1.3 trillion (equivalent to $562 million, was “embezzled.” Out of this amount, the treasury faces an audit query amounting to Tsh 885 billion (equivalent to $382.7m). Tsh 432.7 billion, equivalent to $188m, was embezzled through procurement of goods and services from five entities whose suppliers were neither approved nor legally registered.
This is not the first time the CAG’s report queries the treasury over misappropriation of public funds. Last year, the audit raised the same query over Tsh 751 billion (equivalent to $324.6m) embezzled in the year 2016/2017.
The CAG writes emphatically about this: “I reiterate my prior year recommendation, and ( I am) advising accounting officer to keep refraining from diversion of funds, and adhere to expenditures that only fall within the approved budget and the Government Financial Statistics (GFS) codes. Whenever such diversion is inevitable and in line with authority, reallocation warrant has to be sought in conjunction with Section 41 of the Budget Act No. 11 of 2015.”
In 2018, the Public Accounts Committee (PAC) of the National Assembly, having read the CAG’s report for the year 2016/17, discovered that Tsh 1.5 trillion ($640m) was “missing.” The government did not have any reasonable explanation.
The parliament ordered a re-audit of the same. When the re-audit report was presented in February 2019, it revealed further anomalies, with the missing funds shooting to Tsh 2.4 trillion ($1.03bn).
Informed sources within the government say authorities are obviously exasperated by the CAG’s reports, and they are behind a current barrage of accusations by the National Assembly Speaker, Job Ndugai, against the CAG Prof. Mussa Assad.
It is understood that some procurement is executed by direct orders from the president, whose nephew, Dotto James, permanent secretary for the ministry of finance, is the treasurer general.
On several occasions, Magufuli has said publicly that he personally ordered the purchase of air crafts, on advice from Rwanda’s President Paul Kagame, against budgetary approval. A few months ago, he said in a public address that the air crafts, managed by Air Tanzania Corporation Limited (ATCL), had made huge financial profits.
But reports reveal that for the past three years, ATCL has incurred massive losses. In 2014/15, the losses amounted to Tsh 94.3 billion. In 2015/16, it made losses to the tune of Tsh 109.2 billion, while in 2017/18, the losses were Tsh 113.7 billion.
Reacting to incessant audit queries, and in effort to avoid further audit, the government is now rearranging the government procurement unit, putting it in the president’s office. Sources say the move is being executed following “orders from above,” but it will definitely cause further embarrassment and bring about more scandals against the president as he becomes the procurer-in-chief.
Magufuli enjoys working without being monitored or audited; and he hates criticism of any kind. This attitude explains his government’s brutality and hostility against critical media, opposition parties, objective academic researches, and strongly opinionated civil leaders. His most recent action was to block publication of an annual report by IMF on the state of the economy in Tanzania.
By this behaviour, it is obvious that Magufuli has lost the battle against corruption. He has moved miles away from the integrity that he was once, wrongly, of course, associated with. Some circles within his own government point out that there has never been a more corrupt regime before him.
Its NOT speculation sir.Why do we speculate? For example, the squandered amount...is there any report which indicates how the money was squandered? I suspect most of the said money was used without following procurement processes or being used without budgetary approvals.
EPA has some specific details, Escrow as well...in order to have a solid case, it is better to talk with details and show the evidence of where the misappropriated money has gone.
Lets be honest....trillion of Tsh is not a joke....that is alot of money. CAG has highlighted something...then other with grievances should come up with all the missing information.
For now the figures are just hanging in the air without being supported with evidence
Article hii ni None sense. Imejaa matamanio binafsi ya kuona UFISADI wa Magu ambayo hayajatimilika.
Baada ya kuona miaka inaenda hajapata UFISADI wowote wa dhahiri, kaona aandike matamanio yake.
Kama anaamini mafisadi wamemshinda Magu atumie style ya Dr Slaa. Taja majina ya hao Mafisadi waliomshinda, taja wameiba Tshs ngapi kutoka account ipi na hizo pesa zilitolewa na nani kupitia benki gani.
Ukiisoma article hii inaonesha FISADI la Ansbert hapa linaitwa SERIKALI.
Ni vema Ansbert aache kuandika matamanio yake. Aseme tu pesa ya serikali ilitumika NJE YA BUDGET, ili tujadiliane ilitumika kufanya nini na je kama hicho kilichofanyika ni kwa manufaa yake binafsi au iwapo hakina manufaa kwa nchi.
Article hii ni None sense. Imejaa matamanio binafsi ya kuona UFISADI wa Magu ambayo hayajatimilika.
Baada ya kuona miaka inaenda hajapata UFISADI wowote wa dhahiri, kaona aandike matamanio yake.
Kama anaamini mafisadi wamemshinda Magu atumie style ya Dr Slaa. Taja majina ya hao Mafisadi waliomshinda, taja wameiba Tshs ngapi kutoka account ipi na hizo pesa zilitolewa na nani kupitia benki gani.
Ukiisoma article hii inaonesha FISADI la Ansbert hapa linaitwa SERIKALI.
Ni vema Ansbert aache kuandika matamanio yake. Aseme tu pesa ya serikali ilitumika NJE YA BUDGET, ili tujadiliane ilitumika kufanya nini na je kama hicho kilichofanyika ni kwa manufaa yake binafsi au iwapo hakina manufaa kwa nchi.
Yeeeeesss!!! It sound's.Article hii ni None sense. Imejaa matamanio binafsi ya kuona UFISADI wa Magu ambayo hayajatimilika.
Baada ya kuona miaka inaenda hajapata UFISADI wowote wa dhahiri, kaona aandike matamanio yake.
Kama anaamini mafisadi wamemshinda Magu atumie style ya Dr Slaa. Taja majina ya hao Mafisadi waliomshinda, taja wameiba Tshs ngapi kutoka account ipi na hizo pesa zilitolewa na nani kupitia benki gani.
Ukiisoma article hii inaonesha FISADI la Ansbert hapa linaitwa SERIKALI.
Ni vema Ansbert aache kuandika matamanio yake. Aseme tu pesa ya serikali ilitumika NJE YA BUDGET, ili tujadiliane ilitumika kufanya nini na je kama hicho kilichofanyika ni kwa manufaa yake binafsi au iwapo hakina manufaa kwa nchi.
Can you list those of you calling dubios deals?How about squandering trillions of shillings through dubious deals and transactions, including illegal procurements and misappropriation through the country’s treasury.
CAG nae kaishia kuwa ansbet ngurumo.Mama wa Bukoba alitumbuliwa live tu kwa kutojua roadfund ni kiasi gani sembuse ripoti inayoonyesha wizi wa fedha za umma twaenda mwezi sasa tuliempa kura akalinde pesa zetu kimya hadi sasa,Takukuru kimya,Bunge kimya,vyombo vyote kimya,CAG aliyeibua wizi wamepewa misukosuko.Je unahitaji PhD kuelewa.Angekuwa na dhamira ya dhati acha ya majukwani kupambana na ufisadi tulitegemea hadi sasa moto unawaka wezi wako mahabusu.Wengine wako ndani mwaka wa Tatu sasa kwa tuhuma tu familia zao zikiteseka Lkn wezi wa mabilioni wako huru.Utasema kuna dhamira ya kupambana na ufisadi? Ufisadi na uhujumu uchumi ni fimbo ya kuwachapia wasio upande wao.
Have you read the full report? I bet you haven't and that should come as no surprise. You have no idea what this thread is about and as such you have no business commenting on its contents. Do you even understand what embezzlement and misappropriation of funds mean? Poor you, does your guardian know you are here?CAG nae kaishia kuwa ansbet ngurumo.
Kachukua taarifa zingine toka taarifa za utouh na ku zi update halafu analeta mikanganganyiko tu,huyu mzee alistahili kwenda kuwa sheikh huko bakwata tu.
mkuu pesa ya umma inatolewa na bunge ( wananchi) kwa serikali ili itumie,Sasa hivi ukichukua Pesa yangu na kuitumia bila idhini yangu hiyo ni nini?Using funds without parliament approval is different from stealing as it happened with Escrow or other scandals. We need more information before taking such a position.
Kibaya zaidi orofessor amegeuka kuwa tawi la upinzani.and that’s the problem. Wapinzani wa serikali wanataka kuona serikali imepinduliwa kwa ripoti isiyokuwa na ushahidi. Prof Assad anajua anachokifanya ila wapinzani wanaona ni mtu wao, hahaha
Huko bungeni ni sawa kama unavyosema.mkuu pesa ya umma inatolewa na bunge ( wananchi) kwa serikali ili itumie,Sasa hivi ukichukua Pesa yangu na kuitumia bila idhini yangu hiyo ni nini?
Jamani acheni uzushi, Magufuli ni mtukufu,mtu pekee Kama akishindwa kitu basi hakuna mwingine ndani ya Tanzania anayeweza,ni kiongozi wa malaika mtarajiwa.pesa anagawa yeye barabarani- rais pekee anatembea na maburungutu ya Pesa huku wengine wakitakiwa kutumia mifumo ya malipo ya serikali,yaani siku hizi hata trafic hagusi elfu 30,000 za faini.yeye tu ndo mwenye mamlaka ya kushika Pesa na kuwagawia awatakaoKwa hisani ya SAUTI KUBWA - Ansbert Ngurumo
Magufuli loses battle against corruption!
TANZANIA’s President John Magufuli, once hailed by western media as a “bulldozer of graft” has officially lost the battle against corruption. While he enjoys branding himself as a corruption fighter, audit reports show that he is presiding over a corrupt government that spends billions of public funds unscrupulously, with no regard to laws and laid down procedures.
Worse still, his government keeps working to block or silence those attempting to find out and publicise findings about grand corruption in his regime – particularly deficiencies associated with his leadership judgements.
The latest audit report by the Controller and Auditor General (CAG) reveals that during the year 2017/2018, the Magufuli government squandered trillions of shillings through dubious deals and transactions, including illegal procurements and misappropriation through the country’s treasury.
In total, Tsh 1.3 trillion (equivalent to $562 million, was “embezzled.” Out of this amount, the treasury faces an audit query amounting to Tsh 885 billion (equivalent to $382.7m). Tsh 432.7 billion, equivalent to $188m, was embezzled through procurement of goods and services from five entities whose suppliers were neither approved nor legally registered.
This is not the first time the CAG’s report queries the treasury over misappropriation of public funds. Last year, the audit raised the same query over Tsh 751 billion (equivalent to $324.6m) embezzled in the year 2016/2017.
The CAG writes emphatically about this: “I reiterate my prior year recommendation, and ( I am) advising accounting officer to keep refraining from diversion of funds, and adhere to expenditures that only fall within the approved budget and the Government Financial Statistics (GFS) codes. Whenever such diversion is inevitable and in line with authority, reallocation warrant has to be sought in conjunction with Section 41 of the Budget Act No. 11 of 2015.”
In 2018, the Public Accounts Committee (PAC) of the National Assembly, having read the CAG’s report for the year 2016/17, discovered that Tsh 1.5 trillion ($640m) was “missing.” The government did not have any reasonable explanation.
The parliament ordered a re-audit of the same. When the re-audit report was presented in February 2019, it revealed further anomalies, with the missing funds shooting to Tsh 2.4 trillion ($1.03bn).
Informed sources within the government say authorities are obviously exasperated by the CAG’s reports, and they are behind a current barrage of accusations by the National Assembly Speaker, Job Ndugai, against the CAG Prof. Mussa Assad.
It is understood that some procurement is executed by direct orders from the president, whose nephew, Dotto James, permanent secretary for the ministry of finance, is the treasurer general.
On several occasions, Magufuli has said publicly that he personally ordered the purchase of air crafts, on advice from Rwanda’s President Paul Kagame, against budgetary approval. A few months ago, he said in a public address that the air crafts, managed by Air Tanzania Corporation Limited (ATCL), had made huge financial profits.
But reports reveal that for the past three years, ATCL has incurred massive losses. In 2014/15, the losses amounted to Tsh 94.3 billion. In 2015/16, it made losses to the tune of Tsh 109.2 billion, while in 2017/18, the losses were Tsh 113.7 billion.
Reacting to incessant audit queries, and in effort to avoid further audit, the government is now rearranging the government procurement unit, putting it in the president’s office. Sources say the move is being executed following “orders from above,” but it will definitely cause further embarrassment and bring about more scandals against the president as he becomes the procurer-in-chief.
Magufuli enjoys working without being monitored or audited; and he hates criticism of any kind. This attitude explains his government’s brutality and hostility against critical media, opposition parties, objective academic researches, and strongly opinionated civil leaders. His most recent action was to block publication of an annual report by IMF on the state of the economy in Tanzania.
By this behaviour, it is obvious that Magufuli has lost the battle against corruption. He has moved miles away from the integrity that he was once, wrongly, of course, associated with. Some circles within his own government point out that there has never been a more corrupt regime before him.